Tigo mnatupa usumbufu mkubwa sijui ni Dar es Salaam peke yake au na mikoani

Mshume Kiyate

JF-Expert Member
Feb 27, 2011
6,766
894
Kuanzia asubuhi ya leo 17 may 2011, wakazi wa Dar es Salaam ukipiga simu inakwenda kwa mtu mwingine bila kukusudia, sijui tatizo ni nini? wengine mpaka tumetukanwa
 
Leo wanamatatizo ya cross-talks ambapo kumekuwa na random system congestions, na hawana kabisa links leo ktk branches zao. Hivyo wapo down tangu asbh ila naona sasa mambo yameanza kuwa shwari.
 
Kila kitu hovyo hadi ss hivi mm nimeunganishwa na m2 nisiyemjua hlf ikakatika, internet yao mbovu sana mpaka tigo pesa haifai kabisa kwa leo.
 
Hawa tigo watu wa hovyo sana,...waizi,mtandao hovyo,huduma hovyo,..kila litu ovyo ovyo tu,.......ntawahama sasa
 
Wasipojiangalia mda si mda wataanza kuloose..kwann wasiboreshe huduma ilohali tunawalipa pesa nyingi tu,alah!
 
jamani kila siku hamlioni lile tangazo kwenye tv?? Wachaneni na kibito kibovu cha bluu kile,,, hamieni kwenye bonge la luxury bus jekundu,,,,
 
Nami pia nimepigiwa cm na mtu ambaye cmfaham ye yuko Zenj me Rocky City eti ananimbia jion hii tuonane pale Makunduchi.?
hao jamaa naomba wawe makini na huduma zao na hilo jina(tgo) wachange coz huleta maana tofauti.
 
Tanzania hii hakuna mtandao unaoweza kuutumia bila matatizo 100%, wote wasanii tuu wamekuja kutunyonya tu washibe then waondoke lakini kiama chao kitakuja tu, tatizo hata nchi zetu zimekosa viongozi wote madodoki tu wanaendeshwa na wawekezeji tu, cha kukusaidia wewe uwe na laini zote tu ukizinguliwa huku badilisha hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom