Tigo ni buree kabsaa....nilifanyaga makeke kwenye simu yangu nikawa naitaji Puk...kuwapigia wananiuliza maswali kibao.....mwisho muhafaka ni kufika oficni kwao,kufika naambiwa line ni mbovu lazima kuirenew na wakashindwa kutekekeleza hilo....Mungu bariki nikafanikiwa pata hiyo PUK kwenye makbrasha yangu....hawa jamaa vilaza kinoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.