Hivi hawa jamaa wazima kweli? Huu ulikuwa wakati muafaka kupandisha gharama za simu na sms? Wapo busy ku-promote wimbo wa mbayuwayu hadi wanakera... hivi kumsikilizisha mtu kitu asichotaka sio kosa?
Inawezekana hawa jamaa wapo kwenye payroll ya kampuni nyingine kwa ahadi ya kuiua tigo....
RIP TIGO
Inawezekana hawa jamaa wapo kwenye payroll ya kampuni nyingine kwa ahadi ya kuiua tigo....
RIP TIGO