MwanaHaki R I P Oct 17, 2006 2,401 705 Apr 24, 2010 #21 Huu ni wizi. Wanatangaza bei ya shilingi moja kwa sekunde, hawatangazi hiyo ya PEAK, kwa nini? Hapa tunawajibika kulalamika rasmi kwa TCRA Consumer Consultative Council, wawarekebishe!
Huu ni wizi. Wanatangaza bei ya shilingi moja kwa sekunde, hawatangazi hiyo ya PEAK, kwa nini? Hapa tunawajibika kulalamika rasmi kwa TCRA Consumer Consultative Council, wawarekebishe!
Tumsifu Samwel JF-Expert Member Jul 30, 2007 1,407 159 Apr 24, 2010 #22 View attachment 9746 Ina maana hii yote ni kanya boya?