Ni siku nyingi sasa naona matatizo ya Tigo yanazidi kuongezeka.
- Upatikanaji wa network ni tatizo hata sehemu za mijini
- siku hizi wana tatizo la mawasiliano ukipiga co unaambiwa network busy, au namba haipatikani wakati sio kweli...
sure, sometimes mpaka urudie kupiga namba mara ya pili ndio unaipata.! nadhani wanahitajika kufanya uongezaji wa rooms zaidi ili watu wawe available all the times. waeja wamekuwa zaidi ila mitambo iko vile vile.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.