Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Jee kweli Tido Muhando ndio yule yule wa BBC. kwani namkumbuka alipokuwa BBC marais wa Afrika hasa Mh mkapa akiapata kazi kujibu maswala yake. yalikuwa maswala hasa yanagusa jamii na kuonekana kama mkombozi wa Jamii mpya hasa ya kiafrika. Jee ametoka Bush House kaingia Town Hous (tbc)?