Ungekuwa na hela Tido ungeanzisha TV na Radio yako ili kuua kabisa TV ya CCM.
Aaa wapi unadhani mafisadi watakubali itokee???? Umesahau wat happened kwa Generali Ulimwengu????
Ungekuwa na hela Tido ungeanzisha TV na Radio yako ili kuua kabisa TV ya CCM.
i will never do this if i love my country... politicizing professions!!!
Kazi itangazwe na yeye aombe... kwani alikujaje kutoka huko UK, was the process competitive??
What happened to him was not unexpected kabisa, kumbukeni wanasema ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga... how was he recruited in teh first place? what about his allies who came along with him?? Guys...
hebu acheni kuleta siasa hapa....
Kila kazi lazima ishindanishwe....
Mkuu I beg to differ.... Kama TV ya taifa inabidi isiendeshwe kwa manufaa ya kibiashara na kuleta faida... hii ni service kwa taifa.... kwahiyo hata vipindi ambavyo havina profit lakini they are informative na educational inabidi iviweke pia.... Hebu niambie faida ya zile kamali kwa jamii...
Mh!penye rangi nyekundu,tutafika kweli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mimi naona watakaoumia kwa dhati kabisa katika wapinzani ni CUF, maana CHADEMA tayari wanachombo chao cha ITV ambacho kiliapa kutotangaza kampeni za CUF na kujikita kidhati kabisa kui promote CHADEMA! sasa hii itakuwa imekula kwa CUF!!! ndio siasa hizi waache walale tu na siasa zao za Unguja na Pemba....
run tbc ofcourse.... Na uwezo wake angeweza kuifanya tbc iwe maradufu kuliko ilivyo sasa.... when you buy messi you dont expect him to perform like peter crouch or eric djemba djemba.... I think you get my point
Sasa tuanze kusubili magofu ya TBC kuondoka kwa huyu jamaa TBC inaenda jehenamu kama ATC
mkuu tunashukuru kwa mtizamo ''binafsi''NImefurahi sana Tido kuondolewa hasa nikikumbuka jinsi alivyomdhalilisha waziri mkuu pinda kwa kumuweka kama pambano la utangulizi ili lowassa aongeee later
safi sana serikali
Naomba ajaye awe professional, neutral and asitoke dailynews wala habari leo na wala siwe na any association.... pia asiwe salva rweyemamu, muhingo rweyemamu au kibaraka mwingine kwani hao wamenifanya nidhani kwamba huna haja ya kusomea uandishi kabisa...
Na nani alisema yeye kufanya kazi BBC ndo kinga ya kutositisha mkataba wake....c'mon people.
If he perfomed well and good, if he did not haya tena...
Uzuri ni sisi wenyewe tunapima hiyo perfomance yake!
nimefurahi sana tido kuondolewa hasa nikikumbuka jinsi alivyomdhalilisha waziri mkuu pinda kwa kumuweka kama pambano la utangulizi ili lowassa aongeee later
safi sana serikali
naomba ajaye awe professional, neutral and asitoke dailynews wala habari leo na wala siwe na any association.... Pia asiwe salva rweyemamu, muhingo rweyemamu au kibaraka mwingine kwani hao wamenifanya nidhani kwamba huna haja ya kusomea uandishi kabisa...
wako wapi wale waliokua wanailaani TBC nao waseme yakwao?? maana hapa naona zimejaa sifa wakati very short while ago nilizoea kusoma mabaya kuhusu TBC na huyu baba??
Au ndio wale mbayuwayu sisi??