tido ameisaidia chadema? Alikuwa akitangaza bila upendeleo wakati wa uchaguzi mkuu? Hii mbona siielewi?
Nightangale, the unfortunate thing is SIO SISI TENA tunapima Perfomance ya wanaotekeleza majukumu ya taifa. Kama ukifuatilia mjadala huu vizuri, unaona bila shaka yeyote kwamba ufisadi ndiyo nguvu kubwa inayoleta mabadiliko katika mifumo yetu. Na hata kama sisi(wananchi) tungekuwa tunamwona TIDO kama mchapakazi ambaye angetusaidia kuendeleza kile kitengo chetu tena kwa muda, bado tusingeweza kushawishi hao wenye maslahi binafsi wafanye tofauti na walichofanya. Na ninaweza kuhakikishia (labda wajitokeze wapinzani ), swala la Tido halitajadiliwa katika kikao cha bunge kinachofuata. Maana yake nchi inatawaliwa bila kanuni bila sheria, inakwenda kwa utashi wa kiufisadi tulioulea sisi wenyewe! Inasikitisha.
Lakini binafsi, Tido alikuwa ananiuzi sana alipokuwa anaelekeza matangazo ya TBC kwenye kiingereza, kama vile kubeza kiswahili. Nililaumu sana kubadili jina la TVT kuwa TBC! Niliona kama ukoloni mambo leo! Nilimwona kama bado alikuwa na tongotongo ya Uingereza. Kwa hivyo sikuwahi kumpenda kwa sababu hii. Ila kile chombo kimefanya maendeleo makubwa na kwa ajili hiyo napenda kumpongeza Tido na Timu yake kwa pamoja.
Human nature..... ni balaa!! Kweli binadamu tuna maajabu sana tu duh!
but you should give due credit to tido alipoifikisha tbc
Mundo wewe ni mdogo wangu nini? hata mie sielewi
Itakuwa muujiza. Jenerali yuko huru sana kiakili, kimawazo, kiutendaji na mtu safi kupita kiasi. Atafanya kazi na nani kwenye serikali ya CCM na CCM yenyewe?Generali for TBC? I am just speculating
Wakati anazima mikutano ya Chadema pale jangwani alifikiri ni vizuri. Mifisadi itakuwa ilikasirishwa na midahalo ya wagombea kwenye uchaguzi wa 2010.
Mundo na mundu, u dont have to crack ur heads on that...
i will never do this if i love my country... politicizing professions!!!
Kazi itangazwe na yeye aombe... kwani alikujaje kutoka huko UK, was the process competitive??
What happened to him was not unexpected kabisa, kumbukeni wanasema ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga... how was he recruited in teh first place? what about his allies who came along with him?? Guys...
hebu acheni kuleta siasa hapa....
Kila kazi lazima ishindanishwe....
Itakuwa muujiza. Jenerali yuko huru sana kiakili, kimawazo, kiutendaji na mtu safi kupita kiasi. Atafanya kazi na nani kwenye serikali ya CCM na CCM yenyewe?
Itakuwa muujiza. Jenerali yuko huru sana kiakili, kimawazo, kiutendaji na mtu safi kupita kiasi. Atafanya kazi na nani kwenye serikali ya CCM na CCM yenyewe?
....aende zake tu,mnafiki mkubwa yule! alianza kuigeuka CCM baaada ya watu kumpigia kelele pia alisoma upepo ulivyokuwa unaenda. mchumia tumbo tu!
Tido pole,mafisadi sio watu .ndio shukurani yao kwako.
Hivi K24 ni mali yake Jeff?Kama ana ubavu afanye kama Jeff Koinange,aanzishe Media Network yake.
Ingekuwa inashindanishwa mbona kila mtu angeridhika..? but you know our country Acid.. especially the fact that our president has got no final say., and if has; a corrupted say. kuna washenzi wanamrimot control. What Tido has done for TBC and TZ kinaonekana waziwazi and in normal practice hakustahili kuwa treated that way.. WILL I BE THERE WATCHING TBC-si si em..?
For the poor Tanzania citizens I cant avoid politics.. the fighter!