The Fixer
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 1,365
- 583
Leo asubuhi Wafanyakazi wa Kitengo cha kupakuwa makontena katika hii Bandari ya Salama wameanza mmgomo wao kufuatie kile ambacho waliona kama kuwa na wasiwasi wa mafao yao pale ambapo kuna tetesi kuwa TICTS inaweza kusimamishwa kutoa huduma hiyo na serikali.
Wafanyakazi hao amboa walimwandikia CEO Bwana Nivel na kutaka kujua kama TICTS watasimamishwa wao kama wafanyakazi watalipwa vip ? kwakuwa katika mikataba yao hakuna mahala ambapo TICTS inaonyesha kama wao wakikwamisha mkataba malipo yanakuwaje ?
More updates baadae.........!!
Wafanyakazi hao amboa walimwandikia CEO Bwana Nivel na kutaka kujua kama TICTS watasimamishwa wao kama wafanyakazi watalipwa vip ? kwakuwa katika mikataba yao hakuna mahala ambapo TICTS inaonyesha kama wao wakikwamisha mkataba malipo yanakuwaje ?
More updates baadae.........!!