fikirijohnas
Member
- Nov 10, 2018
- 46
- 25
Habari ndg zangu.
Ninaomba tiba ya fangasi kwenye nyumba ambayo tayari imeathirika na fangasi ya ukutani.
-rangi na tofali vinapukutika kutokana na unyevu wa maji.
Ahsanteni.
Ninaomba tiba ya fangasi kwenye nyumba ambayo tayari imeathirika na fangasi ya ukutani.
-rangi na tofali vinapukutika kutokana na unyevu wa maji.
Ahsanteni.