stacia
JF-Expert Member
- Oct 31, 2016
- 748
- 1,432
Kuna hili la kuhusu kutokujifuta baada ya kuoga maji ya chumvi (kuacha maji yakauke yenyewe mwilini), hii imekaaje ndugu
cc mshana jr
Kuna hili la kuhusu kutokujifuta baada ya kuoga maji ya chumvi (kuacha maji yakauke yenyewe mwilini), hii imekaaje ndugu
Hapana jifute tuuKuna hili la kuhusu kutokujifuta baada ya kuoga maji ya chumvi (kuacha maji yakauke yenyewe mwilini), hii imekaaje ndugu
cc mshana jr
gud answer!
NITAIPATA WAPI MKUUKinga yetu sisi wanadamu dhidi ya Ibilisi - shetani na maadui wote wa mwanadamu katika ulimwengu wa roho ni DAMU YA YESU!
full stop.
sent from servant of God
Ipo, njoo Kanisani (kwa WALIOOKOKA) utaipata ya kutoshaNITAIPATA WAPI MKUU
MKUU WANAWACHOMEAJE WEKA WAZI NASI TUWA CHOMEE TUGAWANE KA SUNGURA AT!Wanaume siku hizi wanachomewa chumvi wanahonga mpaka viunga vya minazi vya urithi....
Mmhhhh!Ipo, njoo Kanisani (kwa WALIOOKOKA) utaipata ya kutosha
sent from servant of God
kiganja kimoja cha mkonosawa mkuu hapo kwenye "fumba" ndo sijaelewa kiswahili
UNAFANYAJE KWA WADENI MKUU MAANA NINAWADAI WATU FULANI KAMA M150 HIVIMimi niliitumia kwa wadeni wangu walikua wananizungusha muda mrefu nikawanuia kwa kuwataja majina yao wanilipe pesa zangu huwezi amini yani siku hiyo hiyo nilipata pesa zangu. Hata kwenye biashara zangu pia huwa natumia na naona matokeo, na mengine mengi
njiwa ana nguvu ya kuzuia wachawi (anawapa shida kuingia ndani kama nyumba iyo kuna njiwa),VIPI KUHUSU NJIWA JE NI KWELI ANA NGUVU ZOZOTE ZA GIZA NA JE VIPI KUHUSU WATU WANAOKULA NJIWA
njiwa anatumika sana tu, anaweza kuja akakupiga kofi (kukuzaba na mbawa zake hapa magonjwa yatakuandama mfululizo)lakini je kuna ukweli au nguvu yoyote ya kutumia njiwa katika ulimwengu wa gizaa
Akikujibu nitag pls nataka fanya iyo kitu maana kuna bwege mmoja nimemfumania yaani kaniudhi sasa dawa ni kumroga tu hela zote za mshahara nile mimi .....hawa watu ukiwahurumia wanakuona fala sanaMKUU WANAWACHOMEAJE WEKA WAZI NASI TUWA CHOMEE TUGAWANE KA SUNGURA AT!
HahahaaaaaMKUU WANAWACHOMEAJE WEKA WAZI NASI TUWA CHOMEE TUGAWANE KA SUNGURA AT!
Ebhana....sasa huo mkaa hata jikoni au au unauweka ktk kitu specialHahahaaaaa
Utaua mkuu
Choma ni chome
Kwenye mkaa...wanainuizia wanachoma....wanakogea...na nyingine hutupwa njia panda
Huchomokiiii
Hiyo Damu inauzwa wapiKinga yetu sisi wanadamu dhidi ya Ibilisi - shetani na maadui wote wa mwanadamu katika ulimwengu wa roho ni DAMU YA YESU!
full stop.
sent from servant of God
kajibu mkuu soma post inayofuataAkikujibu nitag pls nataka fanya iyo kitu maana kuna bwege mmoja nimemfumania yaani kaniudhi sasa dawa ni kumroga tu hela zote za mshahara nile mimi .....hawa watu ukiwahurumia wanakuona fala sana
Sent using Jamii Forums mobile app
kachucheri mkuuHiyo Damu inauzwa wapi
mkuu acha iwe tu maana kama wanatuchomea kuna ubaya gani nasi tukiwachomeaHahahaaaaa
Utaua mkuu
Choma ni chome
Kwenye mkaa...wanainuizia wanachoma....wanakogea...na nyingine hutupwa njia panda
Huchomokiiii