Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,671
- 698,668
- Thread starter
- #241
Hiyo conditioner ndio nnMshana jr, you're still good in my books. Be blessed abundantly kwa somo hili.....
Niongezee tu kwenye chumvi ya mawe
- inasaidia mmeng'enyo wa chakula
- inaondoa gesi na kiungulia
-husaidia maumivuu ya miguu kwa kuloweka miguu ndani ya maji ya chumvi kwa dakika kadhaa.
- pia humairisha kinga ya mwili.
- unaweza itumia kama srub ya ngozi
- na pia hujaza nywele kichwani kwa wapendao nywele nyiingi, kwa kuweka kipimo sawa cha chumvi na conditioner changanya kisha paka kwenye nywele, kaa nayo kwa dakika ishirini au nusu saa kisha osha, rudia mara kwa mara kwa matokeo ya haraka.
Virutubisho vya nywele, ukienda dukani ukiulizia utapewaHiyo conditioner ndio nn
Maduka yapi mkuuVirutubisho vya nywele, ukienda dukani ukiulizia utapewa
Mshana, njoo tulonge vya msingi hapa, hivi kwa kutumia chumvi unaweza pata mwenza wa maisha? Maana hili ni janga, nipe maujanja
Ya vipodozi tuMaduka yapi mkuu
Kwa jina lingine inaitwaje, kama unapicha niwekee, vp unachanganya na majiYa vipodozi tu
Kwann usimuoe unae mpendaMshana, njoo tulonge vya msingi hapa, hivi kwa kutumia chumvi unaweza pata mwenza wa maisha? Maana hili ni janga, nipe maujanja
Inawezekana kabisa kwakuwa inabust mvuto na kunga'arisha nyotaMshana, njoo tulonge vya msingi hapa, hivi kwa kutumia chumvi unaweza pata mwenza wa maisha? Maana hili ni janga, nipe maujanja
Kwa jina lingine inaitwaje, kama unapicha niwekee, vp unachanganya na maji
Ebwana umerudi!?Duuuh hatari zaidi mkuu..ngoja nitajaribu siku moja
Haha haha haha haha, mie naolewa sioi mkuu... Isitoshe ni janga sasa nataka iwe kwa faida ya wote wanaopitia uzi huuKwann usimuoe unae mpenda
Haha haha haha haha, mie naolewa sioi mkuu... Isitoshe ni janga sasa nataka iwe kwa faida ya wote wanaopitia uzi huu
We mpuuzi kweliumeambiwa siku7 iyo moja umeitoa wapi
Safi Naunga Mukono HojaHaha haha haha haha, mie naolewa sioi mkuu... Isitoshe ni janga sasa nataka iwe kwa faida ya wote wanaopitia uzi huu
Kwahyo kama mademu walikuwa wanakudengulia ukitumia kitu hiyo itasaidia
Ooooh kumbe sheHaha haha haha haha, mie naolewa sioi mkuu... Isitoshe ni janga sasa nataka iwe kwa faida ya wote wanaopitia uzi huu
Usiwe kicheche itakula kwakoKwahyo kama mademu walikuwa wanakudengulia ukitumia kitu hiyo itasaidia
Hapana we niambie