2013
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 11,358
- 6,060
It seems that way though..,viceviersa is always true. Mnapokua na muingiliano sana, jamii wenyeji inaanza kuunda gangs mbalimbali zA kuweza ku-survive na mabadiliko ya kiushindani sehemu husika. Cause siku zote foreigners hawako tayari ku- assimilate utamaduni walizokuta.Sehemu inapokuwa na muingiliano(integration) mkubwa baina ya jamii tofauti tofauti,hata suala la ubaguzi wa Rangi(ama ubaguzi mwingine wa aina yoyote) unakuwa kwa kiwango kidogo ama hupungua with time.''The more a society is isolated the more the chance of it being discriminatory.''
Na wenyeji wanakua na manung'uniko zaidi kuhusu kubaguliwa kutokana na wao kushindwa kwenda sambamba na jamii ya wageni inayohamia.
Ndio maana sheria kali zinaundwa kupambana na uvunjifu wa amani maeneo hayo.
Hapa kwetu wenye asili ya Asia wamejitenga tangu uhuru wanakaa mijini tu na hii si kwa bahati mbaya..it is planned.