Three Most Racist nations on Earth


Kama ningekuwa mtu wa kutoa maamuzi au kwenye nafasi yoyote ile kwenye hili swala ni lazima ningekuwa nafahamu yote ambayo siyafahamu leo hii!

Zanzibar kwangu mimi binafsi haijawahi kuwa muhimu ktk maisha yangu ya kila siku na ndiyo maana sielewi kwa sana mambo yao hata kufika huko nimefika mara moja tu hivyo ukiniuliuza sijui kuhusu Baraza la Wawakilishi au sijui Tume ya uchaguzi Zanzibar siwezi kufahamu ninachojua ni kile nilichofundishwa shuleni kwamba tunashea Jeshi, Mambo ya Ndani, Fedha na Mambo ya Nje baasi labda na kwamba asilimia kubwa ya Wananchi wa Zanzibar wale weusi wana asili ya kwetu yaani wanatoka Lindi, Kilwa, Mt, Tabora , Tanga mpka Kigoma n,k!
Hivyo you have a decision to make and its your call utakachojitetea nacho ni hicho cha Zanzibar kutowahi kuwa muhimu kwako na pia kuna Mzanzibar anaweza akawa na mawazo kama yako kwamba Tanganyika haijawahi kuwa muhimu kwake so what the heck is this all about ??kwa kifupi nime elewa dhamira yako japo umeamua kutumia diplomasia kufikisha ujumbe wako ,naheshimu mawazo yako
Asante kwa muda wako
 
Hivyo you have a decision to make and its your call utakachojitetea nacho ni hicho cha Zanzibar kutowahi kuwa muhimu kwako na pia kuna Mzanzibar anaweza akawa na mawazo kama yako kwamba Tanganyika haijawahi kuwa muhimu kwake so what the heck is this all about ??kwa kifupi nime elewa dhamira yako japo umeamua kutumia diplomasia kufikisha ujumbe wako ,naheshimu mawazo yako
Asante kwa muda wako


Usijali, Pamoja Sana, TZ yetu Daima!
 
Ndiyo nakwambia hiyo ndiyo maana ya Ubaguzi, kama hauna Power hauwezi kuwa mbaguzi utambagua nani? na kivipi? Ulishawahi kukutana na Muhindi hapa TanZania analalamika kubaguliwa? Lkn ni Watz wangapi wanalalamika kubaguliwa na Wahindi hapa hapa TanZania ingawaje sisi ni asilimia zaidi ya 98% ya Watz wakati Wahindi wote hawafiki hata laki tano?
Utambaguaje mtu unayemtegemea akupe mkate wako wa kila siku uishi?
Bakhresa hawezi kulalamika kubaguliwa TanZania kwa maana hakuna anayemgabua, ni nani anambagua Bakhresa na kivipi? na huwo Ubaguzi unamuathiri Bakhresa nini? Utambaguaje mtu ambaye ndiyo anakuajiri yaani unamuhitaji ili uishi?

Mtu anayebaguliwa ina maana ananyimwa haki zake za msingi kuishi kikamilifu kama binadamu wengine ktk jamii yake na hii ikiwa ni pamoja na haki ya kufanya kazi, makazi, huduma za Afya na hapa kwa mfano ni lini ulisikia Muhindia anakwenda kutibiwa Muhimbili, Mwananyamala au sijui Kriuki Memorial? lkn ni Watz wangapi weusi kama mimi tunakwenda kutibiwa Hindu mandal, Aga Khan au Regency? mambo ya Elimu ni lini ulisikia Muhindi anang'ang'ania kusoma Makongo, sijui Turiani lkn ni Watz wangapi weusi tunajazana Shule za Wahindi kama Shabaan Robert, Al Muntazir, n.k , ustawi jamii ni lini ulisikia Muhindi au Mwarabu TZ amezuia kuingia club au Hotelini? Lkn ni mara ngapi tunasikia Watz weusi kama mimi wanalia kuzuia kuingia Hoteli za Wahindi? Hata coco beach tu kuna kipindi hapo nyuma Wahindi walikuwa na sehemu yao watu walilalamika lkn mbona hakuna Muhindi aliyekuwa anang'ang'ania kuja sehemu za kwetu na kudai kuwa anabaguliwa?

Sasa utasema je mtu mwenye access na mambo yote haya anabaguliwa na mtu asiye na kitu?
umeandika point mwanzo mwisho. umetisha.
 
Mkuu Donald Trump ni mtu mmoja tu na pia hiyo list ina mataifa ya kizungu wewe kwani Russia sio aZungu unataka list ya waarabu nini ?
Tatizo lako umeshindwa kuelewa kuwa umaarufu wake haukushuka mbinguni bali amepewa na haohao wamarekani. ndo maana anaongoza kwa white house contenders kutoka republican.
 
Tatizo lako umeshindwa kuelewa kuwa umaarufu wake haukushuka mbinguni bali amepewa na haohao wamarekani. ndo maana anaongoza kwa white house contenders kutoka republican.
Umaarufu wa Donald Trump umetokana na ujasiria mali wake wa miaka mingi sio ubaguzi acha utoto na wewe Trump hajaanza kuwa maarufu hizi wala jana
 
Sasa Mbona mnatuchanganya hapo naona kuna RIPOTI kadhaa zaidi ya UONGO WEJNU !!!

Kwanza tuwe wa kweli humuhumu nchini tuna ficha yetu :- i.e Mauaji ya ALBINO ni ndugu zetu wenye ulimavu wa ngozi...TZ ni nchi pekee na iliyokubuhu ktk kuwa POTEZA na kuwa SAFISHA nduguzao ktk mambo ya kishirikina n!!
Pili VIBIBI vikongwe wanaUliwa bila hatia....!! TAKWIMU zipo ila mnaficha Sura zenu na nyuso zenu shimoni bali mnanyanyuwa MiK*undu yenu JUUUUU!! Kabla hamja sema ya watu au kunyoshea vidole wengine ..Pakueni kwenu na mutazame UBAGUZI MNAO WAFANYIA NDUGU ZENU nchini MWENU !!

ILAN RAMON wewe ndo mbaguzi hata kwa avatar yakom imedhihiri !! Umejaa UONGO na Huna ila UPOTOVU/UPOTOFU!!
Sexer


Sheikh Mimi sio mbaguzi lakini naogopa kwenda Arabuni nasikia saudia na emirati hati wahindi wanadeki vyoo?kweli waarabu ni viboko
 
mkuu haueleweki, umesema india ndio most racist then unasema ni Saudi Arabia
halafu ulichoandika hapa kuhusu wahindi kimekaa kama mtu anaye pandikiza chuki dhidi ya wahindi wote

Mkuu wewe ni mhindi au msukule wa mhindi/mwarabu? ?wale wanaopandishwagwa Darini kushusha mizigo? Ukizoea ile kazi unakuwa sawa na msukule tu.alafu some tena vizuri bandiko na w aswasi haujaelewa mkuu au shida lugha ya malkia?
 
Mkuu wewe ni mhindi au msukule wa mhindi/mwarabu? ?wale wanaopandishwagwa Darini kushusha mizigo? Ukizoea ile kazi unakuwa sawa na msukule tu.alafu some tena vizuri bandiko na w aswasi haujaelewa mkuu au shida lugha ya malkia?
wee ni mbumbumbu wa mwisho, unaulizwa swali badala ya kujibu unakashifu? mimi sio mhindi wala muarabu na sifanyi kazi kwa mtu, na sioni sababu ya kumchukia mtu kwa sababu eti ni mhindi au mwarabu, mtu nam judge kutokana na character yake, kama wewe ni mweusi ila unaonekana una ubaguzi kuliko hata wahindi wengine, pole sana, utazidi kuwachukia ila hawaendi popote, watazidi kuja hapa bongo na kutawala watu wasio na akili kama wewe
 
waafrica hawana akili, mkifanya hivyo mtarudia umasikini wa miaka ya 47, wahindi ndio wameshikilia asilimia kubwa ya uchumi hapa
akina bakhresa, mo dewji, abood, manji, kwa uchache tu ni wahindi washika dau wakubwa wa uchumi hapa tz
watu weusi hata kufuga nyuki hawawezi
Hapo kufuga nyuki nakukatalia mbona Mzee wa Hakuna namna anafuga kisasa zaidi!
 
South Africa je inayowabagua hata waafrika wenzao nao wangewekwa kwenye world wonders
 
Sheikh Mimi sio mbaguzi lakini naogopa kwenda Arabuni nasikia saudia na emirati hati wahindi wanadeki vyoo?kweli waarabu ni viboko
Mpendwa I R Mwanaume haogopi !! Mwanaume haogopi kazi wala hachagui kazi !! Mwanaume Hupambana na maisha popote !!
FYI, Na kwa haki zote za aliyeumba Dunia na mbingu zake nikuambie haya ya kweli :- Huko Arabuni kuna idadi kubwa sana sana ya wageni yaani sii chini ya milioni 40 !! Na wageni hao wapo waliyoshika posts za wazawaa na wapo wenye kujishughulisha kibiashara na kiufundi (Labour force/mechanics/eLECTRSHEN,NK NK,NK) NA WOTE HAO VIPATO VYAO HAWAKATWI KODI fEDHA ZAO WOTE NI HURU WARUHUSIWA KUTUMA POPOTE BILA MAKATO YA KODI AU KIWANGO !!
MABILIONI YA DOLA HUSAFIRISHWA NJE.... Muhumu ya yote hakuna kushurutishwa kazi kabla ya makubalioano (mikataba inahukumu hatma ya mfanyakazi)
Sasa uliyoyasikia wewe na ukayaamini basi kaa nazo... Huko wapo wenye kuchakarikia masilahi yao !!
Naweza kupa takwimu za idadi ya watu kwa kila TAIFA waliohemea Uarabuni.!!!!!

Wee angalia na okoa maisha ya ALBINO nchini.. wanahitaji kulindwa !!!
 
Hapo kufuga nyuki nakukatalia mbona Mzee wa Hakuna namna anafuga kisasa zaidi!
hapo kwenye kufuga nyuki nimetoa tu mfano mkuu, point yangu ni kuwa waafrica wachache sana wanaweza kufanya project za kisasa ambazo zipo organized na efficient,
huyo mzee wa hakuna namna ni mojawapo ya hao wachache sana na ukicheki unaweza ukakuta hata hiyo project inasimamiwa na wazungu au wahindi kwenye vile vitengo vinavyohitaji utaalamu
 
wee ni mbumbumbu wa mwisho, unaulizwa swali badala ya kujibu unakashifu? mimi sio mhindi wala muarabu na sifanyi kazi kwa mtu, na sioni sababu ya kumchukia mtu kwa sababu eti ni mhindi au mwarabu, mtu nam judge kutokana na character yake, kama wewe ni mweusi ila unaonekana una ubaguzi kuliko hata wahindi wengine, pole sana, utazidi kuwachukia ila hawaendi popote, watazidi kuja hapa bongo na kutawala watu wasio na akili kama wewe

Samahani kumbe hufanyi kazi kwa mtu ndio maana hujakumbana na ubaguzi wa mhindi hata hivo tunaposema wahindi ni wabaguzi sio100%wapo wachache wana unafuu lakini kikubwa misingi ya Taifa lao na utamaduni wao unejengeka kwenye ubaguzi uliohalalishwa na imani yao unaweza ukatafuta zaidi vyanzo vya habari nina imani mitaani unaona kwanini wahindi hawajichanganyia na races zingine ...
 
Back
Top Bottom