UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,597
- 11,991
Hivyo you have a decision to make and its your call utakachojitetea nacho ni hicho cha Zanzibar kutowahi kuwa muhimu kwako na pia kuna Mzanzibar anaweza akawa na mawazo kama yako kwamba Tanganyika haijawahi kuwa muhimu kwake so what the heck is this all about ??kwa kifupi nime elewa dhamira yako japo umeamua kutumia diplomasia kufikisha ujumbe wako ,naheshimu mawazo yako
Kama ningekuwa mtu wa kutoa maamuzi au kwenye nafasi yoyote ile kwenye hili swala ni lazima ningekuwa nafahamu yote ambayo siyafahamu leo hii!
Zanzibar kwangu mimi binafsi haijawahi kuwa muhimu ktk maisha yangu ya kila siku na ndiyo maana sielewi kwa sana mambo yao hata kufika huko nimefika mara moja tu hivyo ukiniuliuza sijui kuhusu Baraza la Wawakilishi au sijui Tume ya uchaguzi Zanzibar siwezi kufahamu ninachojua ni kile nilichofundishwa shuleni kwamba tunashea Jeshi, Mambo ya Ndani, Fedha na Mambo ya Nje baasi labda na kwamba asilimia kubwa ya Wananchi wa Zanzibar wale weusi wana asili ya kwetu yaani wanatoka Lindi, Kilwa, Mt, Tabora , Tanga mpka Kigoma n,k!
Asante kwa muda wako