Three Most Racist nations on Earth

Sasa Mbona mnatuchanganya hapo naona kuna RIPOTI kadhaa zaidi ya UONGO WEJNU !!!

Kwanza tuwe wa kweli humuhumu nchini tuna ficha yetu :- i.e Mauaji ya ALBINO ni ndugu zetu wenye ulimavu wa ngozi...TZ ni nchi pekee na iliyokubuhu ktk kuwa POTEZA na kuwa SAFISHA nduguzao ktk mambo ya kishirikina n!!
Pili VIBIBI vikongwe wanaUliwa bila hatia....!! TAKWIMU zipo ila mnaficha Sura zenu na nyuso zenu shimoni bali mnanyanyuwa MiK*undu yenu JUUUUU!! Kabla hamja sema ya watu au kunyoshea vidole wengine ..Pakueni kwenu na mutazame UBAGUZI MNAO WAFANYIA NDUGU ZENU nchini MWENU !!

ILAN RAMON wewe ndo mbaguzi hata kwa avatar yakom imedhihiri !! Umejaa UONGO na Huna ila UPOTOVU/UPOTOFU!!
Sexer
Haha mkuu ungesema tu mnakua kama mbuni ungeeleweka ,eti mnaficha nyuso zenu shimoni ..........
 
3. Russia


In Russia, a lot of Xenophobia and ‘nationalist’ feelings still prevail. Even today, Russians are racist towards the people whom they feel are not ethnically and truly Russians. Apart from that, they are racist towards Africans, Far Asians, Caucasians, Chinese etc. It culminates with hate and later develops into gross crimes against humanity. The Russian government, along with UN have tried to do their best to stop such incidences of racism but they still continue to take place in not only the remote places but also big cities.

2. Pakistan


Pakistan is an Islamic majority country and even then, there are many conflicts that take place there between the two sects of Shia and Sunni. There have been crimes between the two sects for ages and nothing is being done about it. Apart from that, the long war with the neighbor India is something that is known to all the world. There have been incidences of racism between Indians and Pakistanis. Apart from that, other races like Africans and Latin Americans are also discriminated against.

1. India


A land of so much diversity is also the most racist country in the world. Indians are the most racist people in the world and even today, a child born in the Indian family is taught to worship anyone with white skin and look down upon anyone with dark skin. And thus was born the Indian racism against Africans and other dark skinned people. A fair skinned foreigner gets treated like a god and a dark skinned one is treated very badly.Among Indians themselves too there are conflicts between castes and people from different regions like the problem between Marathi Manoos and Biharis. And yet, Indians won’t accept this fact and boast about the culture and diversity and acceptance. It is high time we open our eyes to what the situation truly is and take the saying “Athithi Devo Bhava” (Guest is God) in a positive manner.

Such a list can only show us that no matter what laws and rules exist, no paper can change us. We have to change ourselves and our mentality for a better tomorrow and to ensure that no lives are further harmed for the selfishness of for the egotism of some.
Source: listovative.com/top-12-most-racist-countries-in-the-world/
4.Israel
5. Germany
6. Japan
7. Rwanda
8. Australia
9. UK
10. USA
11. Saudi Arabia
12. South Africa
 
Kama nilivyosema hakuna nchi iliyokamilika na kwanza kama kuna mfano ambao tunaweza kutafuta kuhusu ukamilifu wa au nchi inayokaribia ukamilifu Marekani haiwezi kuwemo hata kwenye top 10 za nchi zote Duniani!
Na hayo yote uliyosema khs Uchina au nchi yetu ni sawa lkn tofauti ni kwamba sijawahi kusikia Wachina au sisi tukisema kwamba sisi ni jamii bora Duniani na kuwanyooshea wengine kidole, Uchina pmj na matatizo yake yote kama jamii inafahamu kwamba ina safari ndefu na ina changamoto nyingi na kila Kiongozi wa Uchina hulisema hilo na sijawahi kusikia Kiongozi wa Uchina akiinyoshea Marekani au nchi nyingie kidole kwamba hakuna Demokrasia au sijui unakosea kufanya hivi!


Ni ajabu sana unaisifia Marekani na kuisema Uchina kwamba inakalia kimabavu S. China Sea, na vipi kuhusu Marekani inakalia nchi ngapi kimabavu hapa Duniani? Marekani ina military base ngapi Dunia hii, Marekani imesababisha vita na vifo vya watu wangapi Dunia hii, Marekani imefanya coup de tat ngapi Dunia hii kuanzia covert operation irani, Guatemala, Chile mpaka Kongo ?Kuna vita vingapi vinaendelea hapa Duniani vilivyosababishwa na Marekani mpka upate uhalali wa kuishutumu Uchina kuikalia South China Sea tena Sea ambayo inashea mpaka wake kijiografia angalau wanaweza kuwa na sababu?

Hivyo hayo yote uliyoyaorodhesha ni cosmetic tu na Marekani kama nchi ni wazuri sana kwenye mambo cosmetic, kujaribu kuwaonyesha wengine jinsi gani walivyokuwa wazuri na democratic lkn ukweli unabakiwa kuwa ikiwa kama Marekani ni moja kati ya nchi tajiri Duniani kiuchumi na lkn ni moja kazi ya unequaled countries hapa Duniani ukilinganisha na nchi ambazo ziko ngazi sawa ya kimaendeleo na Marekani, Marekani ndiyo nchi yenye homeless wengi klk nchi yoyote ile iliyo ngazi sawa kimaendeleo, ukija kwenye mambo ya afya wala ndiyo usiseme, mpaka leo hii Marekani inashutumiwa hata mashirika ya Kimataifa kama amnesty International kwa kunyonga watu, kuna wafungwa wengi Marekani wamefungwa zaidi ya Miaka 40 bila ya hatia na wengine walishanyongwa bila ya hatia lkn hiyo ni mada nyingine na ngumu!
Hivi kumbe ukiweka uccm pembeni unakua mtu wa kutumainiwa ?? kwa hili unastahili pongezi
 
Kama kuna kitu Marekani anaweza kukifanya vizuri au sijui niseme Mzungu ni kudanganya watu, hayo yote ambayo wanaita Demokrasia ni uongo mtupu na una lengo moja tu la kupumbaza na kuendelea kutawala watu, nchi zote za Wazungu zinatawaliwa na maelite na tofauti tuu iliyopo kati ya maelite wakizungu na tuseme ya sehemu nyingine kama Uchina maelite Wakizungu wako clever wana experience kubwa sana na hii ni kutokana na mapinduzi yaliyofanywa huko nyuma kama mapinduzi ya Ufaransa na Napoleon na jamii zao hivyo wamejifunza na wanakwenda wakibadilika kulingana na muda!

Lkn lengo ni lile lile kutawala walio wengi, hivyo mambo sijui ya kuandamana, kuwa hacker wakati kiongozi akihutubia ni moja kati ya hizo mbinu za kuwafanya watawaliwa wajione kwamba wanaahueni na sababu kubwa ya wao maelite kuruhusu hayo mambo ni kwamba wanajua hayana madhara yoyote yale kwenye utawala wao na ndiyo maana maandamano yanaruhusiwa kwa kiasi fulani lkn wakiona kwamba yana madhara basi hata huyapiga marufuku na hutumia Polisi na nguvu mfano Genoa Italia ambako waandamanaji wengi waliumizwa na Polisi na wengine kukamatwa!


Kama maandamano yangekuwa na uwezo wa kubadilisha chochote kile maelite wa Kizungu wasinge yaruhusu na ndiyo maana Marekani akishaamua kwenda vitani haijalishi wananchi watapinga na kuandamana kiasi gani, vitani wataenda, Bush Wamarekani na Dunia nzima waliandamana mpaka kufanya show ya Bush kurushiwa kiatu lkn bado Marekani alipeleka majeshi vitani na mpaka leo hii hata UN wameshathibitisha kwamba ushahidi walioutoa akina Bush ulikuwa wa uongo hakuna hatua yoyote ile iliyochukuliwa kwa wahusika na bado Obama anaendelea kutumia majeshi kuvamia nchi nyingine kana kwamba hakuna kilichotokea kama Libya, Syria, Somalia, Mali, Chad, Irak, n.k

Hivyo tofauti ni kwamba watawala wa Kizungu ni wajanja na wanajua kuwadanganya na watawaliwa kwa vitu cosmetic kama sijui constitutional monarch lkn hakuna anayemchagua Mfalme wala anayeweza kumfukuza kazi, yeye pamoja na familia yake wanaishi kwa jasho la Wanachi wao na wao Wafalme na familia zao hawafanyi kazi!
Nashukuru kwamba umeelewa hata hapa kwetu hakuna demokrasia sasa unaposhupalia upinzani kosa lao ni lipi ?? Kwa maneno yako umesema demokrasia ni uongo mtupu na njia ya kupumbaza watu ili waendelee kutawala
 
Nashukuru kwamba umeelewa hata hapa kwetu hakuna demokrasia sasa unaposhupalia upinzani kosa lao ni lipi ?? Kwa maneno yako umesema demokrasia ni uongo mtupu na njia ya kupumbaza watu ili waendelee kutawala


Ndiyo maanake hata chadema kwenyewe hakuna Demokrasia ya kweli na ndiyo maana Lowasa alikaribishwa ndani ya masaa mawili akapewa nafasi ya kugombea uraisi hakuna mkutano wa kumchagua Mbowe kuwa Mwenyekiti wa chama, ameongoza Chama chaguzi tatu ambazo ameshindwa zote lkn bado ni Mwenyekiti wa Chama kwa hali ya kawaida alipaswa aachie ngazi kwa maana hakuna miujiza tena kama ameshindwa mara tatu na kuna watu wengine wanaoweza kujaribu lkn hilo haliwezekani kwa sababu hakuna wa kumuondoa kwani yeye na Mzee Mtei ambaye ni baba yake ndiyo Alfa na Omega wa siasa za chadema!
 
Ndiyo maanake hata chadema kwenyewe hakuna Demokrasia ya kweli na ndiyo maana Lowasa alikaribishwa ndani ya masaa mawili akapewa nafasi ya kugombea uraisi hakuna mkutano wa kumchagua Mbowe kuwa Mwenyekiti wa chama, ameongoza Chama chaguzi tatu ambazo ameshindwa zote lkn bado ni Mwenyekiti wa Chama kwa hali ya kawaida alipaswa aachie ngazi kwa maana hakuna miujiza tena kama ameshindwa mara tatu na kuna watu wengine wanaoweza kujaribu lkn hilo haliwezekani kwa sababu hakuna wa kumuondoa kwani yeye na Mzee Mtei ambaye ni baba yake ndiyo Alfa na Omega wa siasa za chadema!
Sasa kama ndio hivyo kwa mfano wako huo mzuri ulivyoelezea racism ,ccm au chadema wanapata wapi mandate ya kuwanyoshea wenzao vidole ???
 
Sasa kama ndio hivyo kwa mfano wako huo mzuri ulivyoelezea racism ,ccm au chadema wanapata wapi mandate ya kuwanyoshea wenzao vidole ???


Hawapaswi kufanya hivyo kwa maana wote wawili wako sawa kwa namna moja ama nyingine na ndiyo maana unaona Bungeni likija kwenye swala la fedha Wabunge wote wa chadema, CUF, CCM n.k huungana na kutaka kulipwa fedha zaidi ngawaje wanajua fika kwamba maisha ya wananchi wanaowaongoza ni duni kupita kiasi lkn bado wanasema kwamba kwa kumnukuu Tundu Lisu anahitaji kulipwa milioni 300 kwa kuwa Ubunge umemtia umaskini, sasa ni nani alimlazimisha hata agombee Ubunge kama alijua utamtia Umaskini na hivi amegombea tena, sasa jiulize milioni 300 kwa hali duni wa watu wetu ukizimwaga kijijini zitasaidia watu wetu kwa kiasi gani?

Lkn wakisikia mambo complicated sijui escrow mara sijui capacity charges hapo ndipo mishipa inawatoka na kutaka waonyeshwe live kwenye TV na kuwaambia wananchi kwamba nchi yetu inaibiwa lkn wao wanavyoiibia nchi kwa kujilipa posho laki tatu kwa siku kiasi ambacho ndicho Mtz wa kawaida analipwa kwa mwezi tena mwenye familia ya watu 4 mbali na mshahara hawalioni hilo!
 
Ila kusema ukweli na mimi ningekuwa mzungu ningewabagua waafrika. Alafu hivi ni kwanini Afrika tu hasa kusini mwa jangwa la sahara ndo tuliumbwa kuwa weusi tu. Kwa nini mabara mengine wawe weupe? Huwa najiuliza sana haya maswali nashindwa kupata jibu.
Sio kweli yapo mataifa ya north america watu wake in weusi
 
Hawapaswi kufanya hivyo kwa maana wote wawili wako sawa kwa namna moja ama nyingine na ndiyo maana unaona Bungeni likija kwenye swala la fedha Wabunge wote wa chadema, CUF, CCM n.k huungana na kutaka kulipwa fedha zaidi ngawaje wanajua fika kwamba maisha ya wananchi wanaowaongoza ni duni kupita kiasi lkn bado wanasema kwamba kwa kumnukuu Tundu Lisu anahitaji kulipwa milioni 300 kwa kuwa Ubunge umemtia umaskini, sasa ni nani alimlazimisha hata agombee Ubunge kama alijua utamtia Umaskini na hivi amegombea tena, sasa jiulize milioni 300 kwa hali duni wa watu wetu ukizimwaga kijijini zitasaidia watu wetu kwa kiasi gani?

Lkn wakisikia mambo complicated sijui escrow mara sijui capacity charges hapo ndipo mishipa inawatoka na kutaka waonyeshwe live kwenye TV na kuwaambia wananchi kwamba nchi yetu inaibiwa lkn wao wanavyoiibia nchi kwa kujilipa posho laki tatu kwa siku kiasi ambacho ndicho Mtz wa kawaida analipwa kwa mwezi tena mwenye familia ya watu 4 mbali na mshahara hawalioni hilo!
Nashukuru sana kwa majibu mazuri sasa naomba nikuulize ,kumbe likija kwenye swala la pesa au maslahi ya wabunge wote huwa kitu kimoja ,ila linapokuja swala kama hili la Zanzibar kila mmoja anaamini akijuacho ,wewe binafsi mtazamo wako juu ya Zanzibar ni upi ???
 
Sasa ukiua si lazima na wewe uuawe? Tatizo liko wapi?
Huko China hata balozi wa nyumba kumi mweusi hakuna. At least US wana prez Jaluo, kuna black governors, senators, congressmen, sherrifs,etc
If you have the right brain and you are smart, then opportunities are plenty in the US.
you couldn't be more true
japokua kuna ubaguzi kiasi, maana kuna cases za raia weusi kuuwawa na polisi kimakusudi, ila ikitokewa hukemewa sana
 
Source: listovative.com/top-12-most-racist-countries-in-the-world/
4.Israel
5. Germany
6. Japan
7. Rwanda
8. Australia
9. UK
10. USA
11. Saudi Arabia
12. South Africa
Rwanda??? tangia yale mauaji ya kimbari yafanyike, Rwanda wamekua watu wastaarabu sana, nadhani hii research imekosewa
 
Nashukuru sana kwa majibu mazuri sasa naomba nikuulize ,kumbe likija kwenye swala la pesa au maslahi ya wabunge wote huwa kitu kimoja ,ila linapokuja swala kama hili la Zanzibar kila mmoja anaamini akijuacho ,wewe binafsi mtazamo wako juu ya Zanzibar ni upi ???


Sina uelewa mkubwa sana kuhusu siasa za Zanzibar hasa kuhusu Katiba yao na Historia yao kwa ujumla na kipi hasa kilitokea mpaka kusababisha uchaguzi kufutwa, na je Katiba yao ilifwatwa au ilikiukwa na Je Mkuu wa Tume alikuwa na Mamlaka ya kuchukuwa uamuzi aliochukua au ala?
Hivyo inanibidi kwanza nijielimishe kuhusu hayo ili niweze kujua wapi na simama, na kwa bahati mbaya sana kwa sasa sijapata bado muda wa kulifanya hilo, hivyo kwa sasa sina jibu!
 
kwa wazungu wao even homophobic ni racism,,, ndio maana kwenye hiyo ramani hapo juu wameiweka Tanzania katika kundi moja na Russia...
homophobic na racism sio sawa bana
moja ipo based on sexuality nyingine ipo based kwenye skin colour
anyway kwani Tanzania kuna itikadi kali dhidi ya mashoga kihivyo? labda Uganda maana huko wanachomwa moto ila sijawahi ona hiyo hapa tz
ubaguzi dhidi ya mashoga hapa tz ni average na upo duniani kote hata America ambako kuna culture diversity kubwa
 
Sina uelewa mkubwa sana kuhusu siasa za Zanzibar hasa kuhusu Katiba yao na Historia yao kwa ujumla na kipi hasa kilitokea mpaka kusababisha uchaguzi kufutwa, na je Katiba yao ilifwatwa au ilikiukwa na Je Mkuu wa Tume alikuwa na Mamlaka ya kuchukuwa uamuzi aliochukua au ala?
Hivyo inanibidi kwanza nijielimishe kuhusu hayo ili niweze kujua wapi na simama, na kwa bahati mbaya sana kwa sasa sijapata bado muda wa kulifanya hilo, hivyo kwa sasa sina jibu!
Nilijua tu lazima utatumia siasa kunijibu hilo swali hayo mambo sijui ya katiba au historia ndio cosmetic ulizosema kama wamarekani wapendavyo kufanya mambo ,
Kwa ufuatiliaji wako wa mambo unataka kuniambia hujasikia yaliyosemwa juu ya mamlaka ya Jecha aliyo nayo kufuta uchaguzi ?? Hujui katiba inasema nini ?? Tumewasikia wana ccm Kina Membe,Warioba wakisema hili kwa upande wao na pia tumesikia maoni ya wana ukawa kina Tundu Lisu, Maalim Seif,wasio na vyama ,wanasheria nk umesema kwa bahati mbaya hujapata muda wa kulifuatilia hilo kwa kifupi naweza kusema Zanzibar haipo kwenye priorities zako ,utakapo pata mda wa kufuatilia hili na pengine labda ni baada ya uchaguzi wenu wa marudio mliopanga kufanyika hapo mbeleni ,matokeo ya maamuzi yenu yawe mazuri au mabaya vipi utakua na la kusema ??
 
Nilijua tu lazima utatumia siasa kunijibu hilo swali hayo mambo sijui ya katiba au historia ndio cosmetic ulizosema kama wamarekani wapendavyo kufanya mambo ,
Kwa ufuatiliaji wako wa mambo unataka kuniambia hujasikia yaliyosemwa juu ya mamlaka ya Jecha aliyo nayo kufuta uchaguzi ?? Hujui katiba inasema nini ?? Tumewasikia wana ccm Kina Membe,Warioba wakisema hili kwa upande wao na pia tumesikia maoni ya wana ukawa kina Tundu Lisu, Maalim Seif,wasio na vyama ,wanasheria nk umesema kwa bahati mbaya hujapata muda wa kulifuatilia hilo kwa kifupi naweza kusema Zanzibar haipo kwenye priorities zako ,utakapo pata mda wa kufuatilia hili na pengine labda ni baada ya uchaguzi wenu wa marudio mliopanga kufanyika hapo mbeleni ,matokeo ya maamuzi yenu yawe mazuri au mabaya vipi utakua na la kusema ??


Nikiwa nimeshajielimisha vya kutosha nitakuwa kwenye nafasi ya kutoa hukumu yangu kwa sasa hivi naona kama naburuzwa tu huku na kule, na kama nilivyosema sifahamu mambo ya Zanzibar kiundani hivyo kwa mfano mpaka hivi majuzi sikujua kwamba Tume ya uchaguzi ya Zanzibar ni tofauti na ya Muungano, mimi nilijua Tume ya Muungano ndiyo moja kote lkn kumbe siyo Zanzibar wana yao, hivyo basi ni muhimu kujielimisha kwanza ili niweze kufahamu nasimama wapi!
 
Ubaguzi hata hapa kwetu mwingi mno , makabila matatu yanaongoza kwenye masuala kijamii kama vile Elimu, kazi, Huduma za Afya Tembea uone la kwanza, la pili na Tatu.
 
Nikiwa nimeshajielimisha vya kutosha nitakuwa kwenye nafasi ya kutoa hukumu yangu kwa sasa hivi naona kama naburuzwa tu huku na kule, na kama nilivyosema sifahamu mambo ya Zanzibar kiundani hivyo kwa mfano mpaka hivi majuzi sikujua kwamba Tume ya uchaguzi ya Zanzibar ni tofauti na ya Muungano, mimi nilijua Tume ya Muungano ndiyo moja kote lkn kumbe siyo Zanzibar wana yao, hivyo basi ni muhimu kujielimisha kwanza ili niweze kufahamu nasimama wapi!
Sina tatizo na wewe kujielimisha ila tatizo langu lipo kwenye muda ambao sio rafiki kwetu ,tuseme wewe upo kwenye nafasi ambayo utatakiwa utoe maamuzi ya nini cha kufanya baada ya uchaguzi kufutwa ,hii excuse yako ya kwamba unahitaji muda kujielimisha bado ingekua valid ??kumbuka hapo umepewa timeframe ya kuja na suluhisho,
Kwa kuanzia tu katiba ya Zanzibar imetoa siku 90 za kurudia uchaguzi endapo imebidi urudiwe ,mpaka tunavyoongea siku 90 zimepita kwa maana nyingine ni tumeizarau katiba ,hivyo conclusion yako isibase sana kwenye katiba au tume ya uchaguzi bali iwe tu kwenye utashi wa kawaida kabisa aliopewa mwanadamu na Mungu
 
Sina tatizo na wewe kujielimisha ila tatizo langu lipo kwenye muda ambao sio rafiki kwetu ,tuseme wewe upo kwenye nafasi ambayo utatakiwa utoe maamuzi ya nini cha kufanya baada ya uchaguzi kufutwa ,hii excuse yako ya kwamba unahitaji muda kujielimisha bado ingekua valid ??kumbuka hapo umepewa timeframe ya kuja na suluhisho,


Kama ningekuwa mtu wa kutoa maamuzi au kwenye nafasi yoyote ile kwenye hili swala ni lazima ningekuwa nafahamu yote ambayo siyafahamu leo hii!

Zanzibar kwangu mimi binafsi haijawahi kuwa muhimu ktk maisha yangu ya kila siku na ndiyo maana sielewi kwa sana mambo yao hata kufika huko nimefika mara moja tu hivyo ukiniuliuza sijui kuhusu Baraza la Wawakilishi au sijui Tume ya uchaguzi Zanzibar siwezi kufahamu ninachojua ni kile nilichofundishwa shuleni kwamba tunashea Jeshi, Mambo ya Ndani, Fedha na Mambo ya Nje baasi labda na kwamba asilimia kubwa ya Wananchi wa Zanzibar wale weusi wana asili ya kwetu yaani wanatoka Lindi, Kilwa, Mt, Tabora , Tanga mpka Kigoma n,k!
 
Back
Top Bottom