Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Niliwahi kusoma maoni ya AshaDii, akijibu tuhuma zilizotolewa na mwana JF mmoja akilalamika kwamba kuna member wana ID nyingi kiasi kwamba wanaanzisha uzi na kujijibu wenyewe, alishangaa kwamba iweje mtu aweke uzi na ndani ya dakika 5 kuwepo na maoni 300!
AshaDii alimjibu vizuri sana, nakumbuka alikanusha madai hayo, lakini alitaja sababu kadhaa zinazopelekea mada kuchangiwa kwa kasi kama Rocket....
1. Member ukiwa mshiriki kwenye mijadala mbalimbali humu JF mada zako hazitakosa wachangiaji
2. Aina ya mada, kuna mada ambazo zinahitaji kusomwa tu na watu wakaelimika basi, watu hawaoni umuhimu wa kuchangia, ukitaka kujua idadi ya watu waliosoma mada yako waweza kuangalia idadi ya Views.
3. Timing, mada yako umeiweka muda gani, kuna wakati, hakuna members on line, ukiweka mada yaweza kupita bila kuchangiwa
4. Je unashiriki katika mjadala wa mada yako? kama umeweka mada kisha ukasepa hutapata wachangiaji, kuna watu watakuuliza maswali, na wengine wanaweza kupingana na wewe, hawa wanaaka kujiridhisha na kile ulichoandika, sasa nani anataka kushiriki mjadala bubu kama huo?
Mengine sikumbuki, lakini kama AshaDii yupo online atakusaidia....................
AshaDii alimjibu vizuri sana, nakumbuka alikanusha madai hayo, lakini alitaja sababu kadhaa zinazopelekea mada kuchangiwa kwa kasi kama Rocket....
1. Member ukiwa mshiriki kwenye mijadala mbalimbali humu JF mada zako hazitakosa wachangiaji
2. Aina ya mada, kuna mada ambazo zinahitaji kusomwa tu na watu wakaelimika basi, watu hawaoni umuhimu wa kuchangia, ukitaka kujua idadi ya watu waliosoma mada yako waweza kuangalia idadi ya Views.
3. Timing, mada yako umeiweka muda gani, kuna wakati, hakuna members on line, ukiweka mada yaweza kupita bila kuchangiwa
4. Je unashiriki katika mjadala wa mada yako? kama umeweka mada kisha ukasepa hutapata wachangiaji, kuna watu watakuuliza maswali, na wengine wanaweza kupingana na wewe, hawa wanaaka kujiridhisha na kile ulichoandika, sasa nani anataka kushiriki mjadala bubu kama huo?
Mengine sikumbuki, lakini kama AshaDii yupo online atakusaidia....................