''Sio lazima wote tuimbe wengine inatosha kuwa wasikilizaji''...Afande Sele (Ni Mtazamo)..Nina balaa gani kiumbe cha Mungu miee manake kila thread ninayoanzisha inaishia kupotezewa tu? Mweeee
Nina balaa gani kiumbe cha Mungu miee manake kila thread ninayoanzisha inaishia kupotezewa tu? Mweeee
Hebu nitajie baadhi ya thread zako kama tatu tofauti zilihusu nini ili nikazichangie sasa hivi!.Nina balaa gani kiumbe cha Mungu miee manake kila thread ninayoanzisha inaishia kupotezewa tu? Mweeee
Pole sana...tumia staili ya wanamuziki wa kikongo na muziki wa dance kwa kutaja taja majina ya member waandamizi,mfano papaaa Rev Masanilo, wapi Saint mutoto ya fulani...na wengine na wengine na eventually utabuy tention yao! Regards!
Pole sana...tumia staili ya wanamuziki wa kikongo na muziki wa dance kwa kutaja taja majina ya member waandamizi,mfano papaaa Rev Masanilo, wapi Saint mutoto ya fulani...na wengine na wengine na eventually utabuy tention yao! Regards!
We umejiunga jana na leo tayari ushaanza kulalamika. Mgeni kweli wewe?
ngoja niichangie...utapata wachangiaji wengi!!!
Nina balaa gani kiumbe cha Mungu miee manake kila thread ninayoanzisha inaishia kupotezewa tu? Mweeee
Bundaja, kumbe lengo la hizo thread zako ambazo hazikuchangiww likikuwa ni kujulikana!.Nisaidieni wakuu na mimi nijulikane. Mweeeee
daahhhh Acha fujo basi..
anyway : KARIBU
halafu una thread mbili tu ulizo anzisha
https://www.jamiiforums.com/complaints-congrats-advice/190525-mchaga25-na-mwita25.html ( Mchaga25 na Mwita25)
na ya pili ndo hii ya leo..
https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/190661-thread-zangu-hazichangiwi.html ( Thread zangu hazichangiwi)
usema ukweli hauna topic ya maana uliyoanzisha..
kama ukianzisha topic yenye kuvutia au topic fulani
inayohusiana na maisha ya kila siku hata ukiweka picha tu
au utani utapata wachangiaji wengi tu ...
tulia acha papara..
asante na karibu tena..
Bundaja, kumbe lengo la hizo thread zako ambazo hazikuchangiww likikuwa ni kujulikana!.
Kama ni kweli umejiunga jana, ulikuwa hujui utoke vipi. Basi kupitia thead hii umeshatoka, utajulikana sana tuu!, then what next?.
Naona hii thread yangu imeanza kuchangiwa. Asante Mungu mieee
Afrodenzi, asante kwa hii, kumbe siku hizi jf ni popular kihivi mpaka mtu anajiunga na kupost utumbo ili tuu ajulikane!. Tunapiga hatua!.daahhhh Acha fujo basi..
anyway : KARIBU
halafu una thread mbili tu ulizo anzisha
https://www.jamiiforums.com/complaints-congrats-advice/190525-mchaga25-na-mwita25.html ( Mchaga25 na Mwita25)
na ya pili ndo hii ya leo..
https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/190661-thread-zangu-hazichangiwi.html ( Thread zangu hazichangiwi)
usema ukweli hauna topic ya maana uliyoanzisha..
kama ukianzisha topic yenye kuvutia au topic fulani
inayohusiana na maisha ya kila siku hata ukiweka picha tu
au utani utapata wachangiaji wengi tu ...
tulia acha papara..
asante na karibu tena..
hahahahahahahha
sjui kwa nini ila umenichekesha ..
asante
na pata wasi wasi we ni mgeni mwenyeji.. (MM)