thread ya kuchakachua

Lucas

JF-Expert Member
Dec 3, 2011
2,457
1,108
wadau nipo tu sasa napumzika hivyo natafuta thread yoyte ya mtu niichakachue bila kupewa BAN,

tena kabla sijafika mbali nashukuru sana bodi kwa kutusaidia kujua pia serengeti boys tulio nao hapa..... au madam FF alishtukia mapema ndio maana akakimbia? wapi ako Rejao? na dada Cantalisia? shushushu wa chitchat Preta tunaomba list mpya ya kapo za chitchat.... halafu udaku editor Bishanga? toleo la mwisho lilitoka lini? Erickb52 una tabia kama makabila ya pwani japo hutokei huko!! wao kila siku sherehe tuuu!!! kuna kijana alikuwa anaitwa The Finest kuna mtu kamuibia modem yake? na yule kijana al maarufu kama babu japo usijeshangaa ukakutana naye mazingira ambayo hutarajii anaitwa Asprin.... leo uko wapi? sweetlady utuletee basi utabiri wa hali ya hewa kwa Arusha... poleni kwa kuvunjiwa NMC..... pakajimy after NMC what follows? Bujibuji kazi zinakwenda? kwa wale wa serikalini jamani muda wetu saa tisa na nusu umepita zamani tuu na wale wa private naona ka muda kenu kamekaribia na kwa walinzi now ni saa 12 asubuhi......


mpo?
 
Last edited by a moderator:
wadau nipo tu sasa napumzika hivyo natafuta thread yoyte ya mtu niichakachue bila kupewa BAN,

tena kabla sijafika mbali nashukuru sana bodi kwa kutusaidia kujua pia serengeti boys tulio nao hapa..... au madam FF alishtukia mapema ndio maana akakimbia? wapi ako Rejao? na dada Cantalisia? shushushu wa chitchat Preta tunaomba list mpya ya kapo za chitchat.... halafu udaku editor Bishanga? toleo la mwisho lilitoka lini? Erickb52 una tabia kama makabila ya pwani japo hutokei huko!! wao kila siku sherehe tuuu!!! kuna kijana alikuwa anaitwa The Finest kuna mtu kamuibia modem yake? na yule kijana al maarufu kama babu japo usijeshangaa ukakutana naye mazingira ambayo hutarajii anaitwa Asprin.... leo uko wapi? sweetlady utuletee basi utabiri wa hali ya hewa kwa Arusha... poleni kwa kuvunjiwa NMC..... pakajimy after NMC what follows? Bujibuji kazi zinakwenda? kwa wale wa serikalini jamani muda wetu saa tisa na nusu umepita zamani tuu na wale wa private naona ka muda kenu kamekaribia na kwa walinzi now ni saa 12 asubuhi......


mpo?
Mimi hapa ndio panihusu....Ndio najiandaa kuingia shifti ya usiku leo. Nimemwacha mke wangu Cantalisia analea. Nimempa ban ya kuingia JF kwa kipindi hiki...
 
Last edited by a moderator:
Mimi hapa ndio panihusu....Ndio najiandaa kuingia shifti ya usiku leo. Nimemwacha mke wangu Cantalisia analea. Nimempa ban ya kuingia JF kwa kipindi hiki...

bro Rejao nilitaka nikutupia ka- like lakini kwa suala la kumpa ban dada yangu Cantalisia nimeahirisha kukupa like.... usisahau koti la mvua hazitabiriki sana siku hizi... bai ze way habari kaka?
 
Last edited by a moderator:
bro Rejao nilitaka nikutupia ka- like lakini kwa suala la kumpa ban dada yangu Cantalisia nimeahirisha kukupa like.... usisahau koti la mvua hazitabiriki sana siku hizi... bai ze way habari kaka?
Aisee hapo sikubaliani na wewe kabisa. like yangu naihitaji!! Nimeshai recognize tayari!! Mwanetu hatutaki kumpandikiza genes za JF mapema yote hii, ndio maana nimeona mama watoto apumzike kwanza!!
 
wadau nipo tu sasa napumzika hivyo natafuta thread yoyte ya mtu niichakachue bila kupewa BAN,

tena kabla sijafika mbali nashukuru sana bodi kwa kutusaidia kujua pia serengeti boys tulio nao hapa..... au madam FF alishtukia mapema ndio maana akakimbia? wapi ako Rejao? na dada Cantalisia? shushushu wa chitchat Preta tunaomba list mpya ya kapo za chitchat.... halafu udaku editor Bishanga? toleo la mwisho lilitoka lini? Erickb52 una tabia kama makabila ya pwani japo hutokei huko!! wao kila siku sherehe tuuu!!! kuna kijana alikuwa anaitwa The Finest kuna mtu kamuibia modem yake? na yule kijana al maarufu kama babu japo usijeshangaa ukakutana naye mazingira ambayo hutarajii anaitwa Asprin.... leo uko wapi? sweetlady utuletee basi utabiri wa hali ya hewa kwa Arusha... poleni kwa kuvunjiwa NMC..... pakajimy after NMC what follows? Bujibuji kazi zinakwenda? kwa wale wa serikalini jamani muda wetu saa tisa na nusu umepita zamani tuu na wale wa private naona ka muda kenu kamekaribia na kwa walinzi now ni saa 12 asubuhi......


mpo?

Arusha hali ya hewa kwa sasa ni nzuri hivyo twawakaribisha wote wanaopenda joto....ila wale wenye aleji na vumbi wasithubutu kujileta huku!

Huyo kijana aitwae The Finest hajaibiwa modem ila alikuwa anatumia lap top ya jirani yake .....sasa bahati mbaya yule jirani kahama!
 
Last edited by a moderator:
Arusha hali ya hewa kwa sasa ni nzuri hivyo twawakaribisha wote wanaopenda joto....ila wale wenye aleji na vumbi wasithubutu kujileta huku!

Huyo kijana aitwae The Finest hajaibiwa modem ila alikuwa anatumia lap top ya jirani yake .....sasa bahati mbaya yule jirani kahama!


uuuwi una maana Lizzy kule ungaltd ana hali mbaya!! Erickb52 hivi kale kagari kako kana ac kweli?
 
Last edited by a moderator:
gari ya erikb52 haina ac, aliifunga pangaboi. Hata air bags hana kawekesha kwa rambo.
\hivi ile binduki yako umetupa wapi maana akija na marungu yule brazza!!! mie nakuruka ati!! hi King'asti?
 
Last edited by a moderator:
Arusha hali ya hewa kwa sasa ni nzuri hivyo twawakaribisha wote wanaopenda joto....ila wale wenye aleji na vumbi wasithubutu kujileta huku!

Huyo kijana aitwae The Finest hajaibiwa modem ila alikuwa anatumia lap top ya jirani yake .....sasa bahati mbaya yule jirani kahama!

aahh kumbe upo mi nimenogewa na huu ubaridi wa arachuga bado nipo nipo sana
 
Back
Top Bottom