Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
ha ha ha haaaaaaa! sijui umestuka nini ,ni He if tht ll do...:eyebrows:
sio vibaya kujua. Thanx.
ha ha ha haaaaaaa! sijui umestuka nini ,ni He if tht ll do...:eyebrows:
ok! poa ,u r welcome!sio vibaya kujua. Thanx.
Itabidi tuanzishe JF MOVIES ..
Tuna script. Za kutosha humu ndani ..
Good idea.I apreciatethink TWICE. Hivi kama angekuoa, halafu baadaye ukagundua ana kiburudisho kingine tena ungefanyaje? You can choose to restart your love life with somebody else. I mean YOU CAN CHOOSE, if you wish. And do it while you still have time.
hlf mimi niwe starring mwenyewe.halafu mi niwe mke wa starring!
Heeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!! Jamani dunia hii imetikiswa na MAPENZI............mi cna ushauri dada angu ila jua mme wa mtu sumu na usije ukavunja ndoa ya watu....
Sina hamu na wanaume mie! Nlichofanyiwa,sihitaj mume wala kidume
Naandika nikitambua kua ww ni mmoja wa member wa jf na naamini pia utasoma topic hii.
Nashindwa kukukumbuka kwa mabaya cse nimebakiwa na mazuri zaidi kuliko mabaya.Nakumbuka tulivyo fahamiana kwa mara ya kwanza ulipo kuja kazini kwangu ambapo na wewe ulikuja kikazi.Tuliendelea kuzoeana mpaka ulipo niomba no zangu za cmu naww ukanipatia zako.
Nakumbuka cku nzuri ya j3 tulipo toka pamoja kwa kufahamiana zaidi ambapo tulizungumza mengi ambapo pia ulinambia wajomba zako wanakulazimisha umuoe bint ambae uliwatambulisha lkn ww unahisi aumpendi -nakumbuka nilikushauri umuoe ukasema uwezi,atukuzungumzia sana ilo.Ilipo fika sa moja za usiku ulinirudisha nyumbani-Niliipenda sana siku iyo.
Siku iliyobadili furaha yangu gafla na kuanza kujuta kwanini nilikutana na ww ni siku tuliyo shinda pamoa kwa furaha alafu usiku wake nilipokupigia ili kukutakia usiku mwema,simu ilipo pokelewa nikasikia sauti ya kike.nilikosa uvumilivu na kukata ile simu lkn badae mpokeaji akani text kuniuliza vp mbona kama nina hasira?kwakua nilizoea namna unavyoandika msg nilijua ukua ww,nilijibu g9t then nikalala mpaka asubuhi alipo nipigia nakuanza kunitukana kunambia mm ni malaya nimuache mumewe kwani yy ni mke wa ndoa.Sikubishana nae zaidi ya kupiga kimya mpaka ulipo omba tukutane unielezee ukweli,tulikutana lkn pia sikukuelewa .
Kinachonishangaza mpaka leo ni kitendo cha ww kufunga ndoa angali tulisha fahamiana alafu unarudi kunambia kua bado unanipenda na uta fight mapenzi yetu mpaka mwisho.
Pamoja na kwamba nimeandika kwa ajili yako naamini pia auto soma peke yako watasoma na wengine na bila shaka watapenda kunishauri.Wenzangu mliopenda na kupendwa pia, ivi haya yanaweza kua mapenzi kweli?
Ukweli ni kwamba japo una mke mimi bado nakupenda sana as if nothing hapen bt sipo tayari kukutana na wewe tena popote,upendo wangu utabki moyoni mpaka atakapotokea mwingine
hlf mimi niwe starring mwenyewe.
mbali naye na Mwenyezi Mungu atakuletea yule aliyemwandaa kwa ajili yako...............huyo ana wenyewe.....
Na nusa nusa harufu nzuri kama unaelekea kuja kwangu :biggrin:Ushauri mzuri bro nimeuchukua.Much thanx
Naandika nikitambua kua ww ni mmoja wa member wa jf na naamini pia utasoma topic hii.
Nashindwa kukukumbuka kwa mabaya cse nimebakiwa na mazuri zaidi kuliko mabaya.Nakumbuka tulivyo fahamiana kwa mara ya kwanza ulipo kuja kazini kwangu ambapo na wewe ulikuja kikazi.Tuliendelea kuzoeana mpaka ulipo niomba no zangu za cmu naww ukanipatia zako.
Nakumbuka cku nzuri ya j3 tulipo toka pamoja kwa kufahamiana zaidi ambapo tulizungumza mengi ambapo pia ulinambia wajomba zako wanakulazimisha umuoe bint ambae uliwatambulisha lkn ww unahisi aumpendi -nakumbuka nilikushauri umuoe ukasema uwezi,atukuzungumzia sana ilo.Ilipo fika sa moja za usiku ulinirudisha nyumbani-Niliipenda sana siku iyo.
Siku iliyobadili furaha yangu gafla na kuanza kujuta kwanini nilikutana na ww ni siku tuliyo shinda pamoa kwa furaha alafu usiku wake nilipokupigia ili kukutakia usiku mwema,simu ilipo pokelewa nikasikia sauti ya kike.nilikosa uvumilivu na kukata ile simu lkn badae mpokeaji akani text kuniuliza vp mbona kama nina hasira?kwakua nilizoea namna unavyoandika msg nilijua ukua ww,nilijibu g9t then nikalala mpaka asubuhi alipo nipigia nakuanza kunitukana kunambia mm ni malaya nimuache mumewe kwani yy ni mke wa ndoa.Sikubishana nae zaidi ya kupiga kimya mpaka ulipo omba tukutane unielezee ukweli,tulikutana lkn pia sikukuelewa .
Kinachonishangaza mpaka leo ni kitendo cha ww kufunga ndoa angali tulisha fahamiana alafu unarudi kunambia kua bado unanipenda na uta fight mapenzi yetu mpaka mwisho.
Pamoja na kwamba nimeandika kwa ajili yako naamini pia auto soma peke yako watasoma na wengine na bila shaka watapenda kunishauri.Wenzangu mliopenda na kupendwa pia, ivi haya yanaweza kua mapenzi kweli?
Ukweli ni kwamba japo una mke mimi bado nakupenda sana as if nothing hapen bt sipo tayari kukutana na wewe tena popote,upendo wangu utabki moyoni mpaka atakapotokea mwingine
Amina, hebu come this way nikunong'oneze kitu.eti eh.. Sijui nani atakuwa adui..?
Btw wanaume wote waliojaa mtu ukaparamie mme wa mtu jamani, si kujitafutia mabalaa huko!