Though ur a married man, i will always love u

think TWICE. Hivi kama angekuoa, halafu baadaye ukagundua ana kiburudisho kingine tena ungefanyaje? You can choose to restart your love life with somebody else. I mean YOU CAN CHOOSE, if you wish. And do it while you still have time.
Good idea.I apreciate
 
mume wa mtu sumu,!atakudanganya wewe ndio wewe na kumponda mkewe lakini mwisho wa siku atarudi kwa mkewe.hebu fikiri angekuwa hampendi angemuoa? Wanaume wengi tamaa tu,na kina dada nao akishajua mume wa mtu anajifanya hodari anawezathubutu hata kumpa kinyume na maumbile bora aonekane anafaa mwisho wa siku anabaki kulia mwenzie kwa mkeweeeee, ushauri ondoa mawazo nae kabisa hata sijui bado unampenda unajiumiza bure mume wa mtu hapendeki pole dada ndio wanaume haoo
 
mbali naye na Mwenyezi Mungu atakuletea yule aliyemwandaa kwa ajili yako...............huyo ana wenyewe.....
 
Heeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!! Jamani dunia hii imetikiswa na MAPENZI............mi cna ushauri dada angu ila jua mme wa mtu sumu na usije ukavunja ndoa ya watu....

Yep utalaaniwa milele kwani ni agizo kutoka kwa Mungu..........Ndoa na iheshimiwe na watu wote!
 
Sijaona kosa la huyo Mshikaj,kosa ni kuja ofisin kwenu,kuchukua No zako za simu na kukutoa out???????????then what happened??//
Hii tu ndo imekufanya uwe na wivu ivo,????
PS: I was not aware kama u were in love with me, will think about it.....
 
Naandika nikitambua kua ww ni mmoja wa member wa jf na naamini pia utasoma topic hii.
Nashindwa kukukumbuka kwa mabaya cse nimebakiwa na mazuri zaidi kuliko mabaya.Nakumbuka tulivyo fahamiana kwa mara ya kwanza ulipo kuja kazini kwangu ambapo na wewe ulikuja kikazi.Tuliendelea kuzoeana mpaka ulipo niomba no zangu za cmu naww ukanipatia zako.

Nakumbuka cku nzuri ya j3 tulipo toka pamoja kwa kufahamiana zaidi ambapo tulizungumza mengi ambapo pia ulinambia wajomba zako wanakulazimisha umuoe bint ambae uliwatambulisha lkn ww unahisi aumpendi -nakumbuka nilikushauri umuoe ukasema uwezi,atukuzungumzia sana ilo.Ilipo fika sa moja za usiku ulinirudisha nyumbani-Niliipenda sana siku iyo.

Siku iliyobadili furaha yangu gafla na kuanza kujuta kwanini nilikutana na ww ni siku tuliyo shinda pamoa kwa furaha alafu usiku wake nilipokupigia ili kukutakia usiku mwema,simu ilipo pokelewa nikasikia sauti ya kike.nilikosa uvumilivu na kukata ile simu lkn badae mpokeaji akani text kuniuliza vp mbona kama nina hasira?kwakua nilizoea namna unavyoandika msg nilijua ukua ww,nilijibu g9t then nikalala mpaka asubuhi alipo nipigia nakuanza kunitukana kunambia mm ni malaya nimuache mumewe kwani yy ni mke wa ndoa.Sikubishana nae zaidi ya kupiga kimya mpaka ulipo omba tukutane unielezee ukweli,tulikutana lkn pia sikukuelewa .

Kinachonishangaza mpaka leo ni kitendo cha ww kufunga ndoa angali tulisha fahamiana alafu unarudi kunambia kua bado unanipenda na uta fight mapenzi yetu mpaka mwisho.

Pamoja na kwamba nimeandika kwa ajili yako naamini pia auto soma peke yako watasoma na wengine na bila shaka watapenda kunishauri.Wenzangu mliopenda na kupendwa pia, ivi haya yanaweza kua mapenzi kweli?
Ukweli ni kwamba japo una mke mimi bado nakupenda sana as if nothing hapen
bt sipo tayari kukutana na wewe tena popote,upendo wangu utabki moyoni mpaka atakapotokea mwingine

Shemeji.......umejimix katika maelezo yako........ushauri wangu endelea na jamaa na pigania penzi lako.........marriage is nothing but selfishness
 
Naandika nikitambua kua ww ni mmoja wa member wa jf na naamini pia utasoma topic hii.
Nashindwa kukukumbuka kwa mabaya cse nimebakiwa na mazuri zaidi kuliko mabaya.Nakumbuka tulivyo fahamiana kwa mara ya kwanza ulipo kuja kazini kwangu ambapo na wewe ulikuja kikazi.Tuliendelea kuzoeana mpaka ulipo niomba no zangu za cmu naww ukanipatia zako.

Nakumbuka cku nzuri ya j3 tulipo toka pamoja kwa kufahamiana zaidi ambapo tulizungumza mengi ambapo pia ulinambia wajomba zako wanakulazimisha umuoe bint ambae uliwatambulisha lkn ww unahisi aumpendi -nakumbuka nilikushauri umuoe ukasema uwezi,atukuzungumzia sana ilo.Ilipo fika sa moja za usiku ulinirudisha nyumbani-Niliipenda sana siku iyo.

Siku iliyobadili furaha yangu gafla na kuanza kujuta kwanini nilikutana na ww ni siku tuliyo shinda pamoa kwa furaha alafu usiku wake nilipokupigia ili kukutakia usiku mwema,simu ilipo pokelewa nikasikia sauti ya kike.nilikosa uvumilivu na kukata ile simu lkn badae mpokeaji akani text kuniuliza vp mbona kama nina hasira?kwakua nilizoea namna unavyoandika msg nilijua ukua ww,nilijibu g9t then nikalala mpaka asubuhi alipo nipigia nakuanza kunitukana kunambia mm ni malaya nimuache mumewe kwani yy ni mke wa ndoa.Sikubishana nae zaidi ya kupiga kimya mpaka ulipo omba tukutane unielezee ukweli,tulikutana lkn pia sikukuelewa .

Kinachonishangaza mpaka leo ni kitendo cha ww kufunga ndoa angali tulisha fahamiana alafu unarudi kunambia kua bado unanipenda na uta fight mapenzi yetu mpaka mwisho.

Pamoja na kwamba nimeandika kwa ajili yako naamini pia auto soma peke yako watasoma na wengine na bila shaka watapenda kunishauri.Wenzangu mliopenda na kupendwa pia, ivi haya yanaweza kua mapenzi kweli?
Ukweli ni kwamba japo una mke mimi bado nakupenda sana as if nothing hapen bt sipo tayari kukutana na wewe tena popote,upendo wangu utabki moyoni mpaka atakapotokea mwingine

Nimesoma hii post ila najiskia vibaya...

mapenzi yanatesa, wasio wapenzi wanaamulia watu mapenzi, wenye mapenzi wanakubali kuamuliwa mapenzi na wasio wapenzi, wakishapoteza nafasi wanarudi na majuto, je haya majuto ni unafiki???

roho imeniuma sana, kwani kinachoendelea ni kubomoa maadili yote in the name of love, ni bora kuwa kama mimi tu, kusema kwamba tunafanya haya lakini nimeoa/kuolewa, napenda ukweli, sipendi unazi

roho imeniuma sana, kuona kati ya wahusika wawili, mmoja anachezewa shere!!! najua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom