Though ur a married man, i will always love u

HOPECOMFORT

JF-Expert Member
Feb 25, 2012
3,911
6,591
Naandika nikitambua kua ww ni mmoja wa member wa jf na naamini pia utasoma topic hii.
Nashindwa kukukumbuka kwa mabaya cse nimebakiwa na mazuri zaidi kuliko mabaya.Nakumbuka tulivyo fahamiana kwa mara ya kwanza ulipo kuja kazini kwangu ambapo na wewe ulikuja kikazi.Tuliendelea kuzoeana mpaka ulipo niomba no zangu za cmu naww ukanipatia zako.

Nakumbuka cku nzuri ya j3 tulipo toka pamoja kwa kufahamiana zaidi ambapo tulizungumza mengi ambapo pia ulinambia wajomba zako wanakulazimisha umuoe bint ambae uliwatambulisha lkn ww unahisi aumpendi -nakumbuka nilikushauri umuoe ukasema uwezi,atukuzungumzia sana ilo.Ilipo fika sa moja za usiku ulinirudisha nyumbani-Niliipenda sana siku iyo.

Siku iliyobadili furaha yangu gafla na kuanza kujuta kwanini nilikutana na ww ni siku tuliyo shinda pamoa kwa furaha alafu usiku wake nilipokupigia ili kukutakia usiku mwema,simu ilipo pokelewa nikasikia sauti ya kike.nilikosa uvumilivu na kukata ile simu lkn badae mpokeaji akani text kuniuliza vp mbona kama nina hasira?kwakua nilizoea namna unavyoandika msg nilijua ukua ww,nilijibu g9t then nikalala mpaka asubuhi alipo nipigia nakuanza kunitukana kunambia mm ni malaya nimuache mumewe kwani yy ni mke wa ndoa.Sikubishana nae zaidi ya kupiga kimya mpaka ulipo omba tukutane unielezee ukweli,tulikutana lkn pia sikukuelewa .

Kinachonishangaza mpaka leo ni kitendo cha ww kufunga ndoa angali tulisha fahamiana alafu unarudi kunambia kua bado unanipenda na uta fight mapenzi yetu mpaka mwisho.

Pamoja na kwamba nimeandika kwa ajili yako naamini pia auto soma peke yako watasoma na wengine na bila shaka watapenda kunishauri.Wenzangu mliopenda na kupendwa pia, ivi haya yanaweza kua mapenzi kweli?
Ukweli ni kwamba japo una mke mimi bado nakupenda sana as if nothing hapen bt sipo tayari kukutana na wewe tena popote,upendo wangu utabki moyoni mpaka atakapotokea mwingine
 
Heeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!! Jamani dunia hii imetikiswa na MAPENZI............mi cna ushauri dada angu ila jua mme wa mtu sumu na usije ukavunja ndoa ya watu....
 
kila siku statistics ya new members inazidi kuwa juu yani members wanazidi kuongezeka kwa kasi! yani unakuta mtu ana account 7!!
kweli mapenzi wanarun dunia.. pole dada angu Muombe Mungu iko siku huu utakua ushuhuda!!
 
pole weee
ila kuna wanamme wako kama mashetani
wana nguvu ya kumvuta mwanamke hata kama wana pete kidoleni.

Kama hutaki shida, kaa naye mbali.
Heri nusu shari...
 
I think nyumba ndogo is the lowest scum of the scum bags.

WTF were you doing with the married man and you are ***pid enough kuja kutuandikia uzinzi wako hapa.

Btw, it is PROMISE and not PROMICE!
 
na nilijua ni wewe tu
mie hata anitukane mkeo sikuachi
till senene do us part.

Hope,mbona unanisema hadharani? Si ungeniPM tu? Hujui nina wengi humu jf? Au unataka uniharibie? Kwani mimi kuoa ndo nini!
Hata mimi,will always love you,i promise! Hii ya mie kuoa isikutie homa,ni vijimambo tu.
 
pole weee
ila kuna wanamme wako kama mashetani
wana nguvu ya kumvuta mwanamke
hata kama wana pete kidoleni.

Kama hutaki shida, kaa naye mbali.
Heri nusu shari...
Kumbe umetusiomea aisay, na mwanaume aisye kuwa na uwezo huo, tumewke kwenye kundi lenu au!
 
Hope,mbona unanisema hadharani? Si ungeniPM tu? Hujui nina wengi humu jf? Au unataka uniharibie? Kwani mimi kuoa ndo nini!
Hata mimi,will always love you,i promise! Hii ya mie kuoa isikutie homa,ni vijimambo tu.

hahahah.....usikute ni mwanao Koku huyo katendwa!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom