Thomas Sankara (1949-1987) - Muasisi wa taifa la Burkina Faso

Jan 16, 2007
721
176
Nimetizama film hiyo ya Thomas Sankara baada ya kuchukua hatua alizozichukua ikiwemo kufuta matumizi ya magari ya kifahari,kujikita katika kilimo,afya michezo haki za wanawake na mambo mengine mengi,ambayo kwa kipindi kifupi nchi hiyo ilitoka katika kuagiza vyakula na kuwa wauzaji wa vyakula nje.

Thomas-Sankara-1062x598.jpg


Sisi nchi yenye rasilimali za kila aina lakini tumeshindwa inapashwa tujiulize kwanini?Hatukulogwa la kama tumelogwa mchawi wetu ni CCM!Miaka 50 na rasilimali tulizonazo hapa yulipo NI AIBU.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.

HISTORIA YA THOMAS SANKARA RAIS WA BURKINA FASO ALIYEUAWA KINYAMA NA RAFIKI YAKE COMPAORE:

Thomas Isidore Noël Sankara taa ya Afrika iliyozimika ghafla!

Mnamo August 1983, vijana wawili, makapteni wa jeshi na wanamapinduzi, Kapteni Thomas Sankara na Kapteni Blaise Compaore, waliipindua Serikali ya Rais wa wakati huo katika nchi iliyokuwa ikijulikana kama Upper volta, rais huyu aliitwa Baptiste Ouedraogo...

Vijana hawa wakiwa katika fikra za Karl Max, wakiwa na ndoto nyingi za kuijenga Upper volta.., walibadili kabisa historia ya taifa hilo, walibadili jina la nchi na kuitwa Burkina faso, manake nchi ya watu, country of honorable citizen..

Uchapa kazi wa vijana hawa (Sankara na Compaore), Thomas sankara akiwa ndiye rais unaweza kufananishwa na ule wa Fider Castrol na Che Guavera, kule Cuba.

Mara nyingi Sankara alikuwa anatumia baiskeli kutembelea vijijini kuhimiza maendeleo, wakati pacha wake (Compaore) wakiwa kama pete na kidole..

Urafiki wa makapteni hawa wa jeshi la Burkinabe, ulikuwa mkubwa kiasi ambacho, wakati wanausalama walipomwambia Sankara kuwa Compaore ana mpango wa kumpindua na kumuua, yeye aliwajibu kuwa compaore asingeweza kufanya hivyo, labda mtu mwingine.

Blaise Compaore alikutana na Thomas Sankara mwaka 1976 katika mafunzo ya kijeshi Morocco na hapo walianza urafiki wao uliokuwa wazi kwa karibu watu wote waliokuwa wakiwafahamu nchini Burkina Fasso na nchi jirani.

Thomas Sankara alikuwa akiwaeleza wanausalama wake kuwa, hata kama Compaore angetaka kufanya hayo, hakuna wa kumzuia.

Ni wazi kuwa Kapteni Thomas Isidore Sankara alikuwa karibu sana na Blaise Compaore, kwa kiasi ambacho Blaise Compaore alikuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya Sankara...

Kama ilivyotabiriwa na watu wengi wa karibu wa Thomas Sankara, Blaise Compaore aliongoza mapinduzi yaliyosababisha kifo cha Sankara mnamo mwaka 1987, na yeye mwenyewe (Compaore), huku akishuhudia rafiki yake kipenzi Sankara akiuawa, akawa ndiye mrithi wa kiti cha Urais wa iliyokuwa Upper Volta baadaye Burkina Fasso..

Thomas Isidore Noël Sankara ni nani?

Isidore Noël Thomas Sankara alizaliwa tarehe 12.12.1949 Mjini YOKO katika nchi iliyokuwa ikiitwa Upper Volta (Volta ya juu) na kuuawa tarehe 15.10.1987 na wanajeshi wenzake wakiongozwa na rafiki yake Rais Blaise Compaore katika mapigano ya usaliti yaliyotokea Mjini Ouagadougou akiwa katika kikao cha utendaji wa kazi.

Thomas Sankara alipanda ngazi za kijeshi hadi cheo cha kapten pamoja na mwanajeshi Rafiki yake Blaise Compaore ANAYEJUA SIRI YA KIFO CHA CHA THOMAS SANKARA.

Kuna nyakati ambazo Blaise Compaore alipata kunena kwa kinywa chake katika shirika la kutetea haki za Binadamu duniani kwamba “kifo cha Thomasi Sankara kilikuwa ni ajali tu.

Mwaka 1981 Thomas Sankara alikuwa waziri wa mambo ya ndani katika serikali ya kijeshi ya Rais wa wakati huo wa Burkinabe ya zamani (Upper Volta) Jean Baptiste Major. Dr. na baadaye aliteuliwa kuwa waziri mkuu kwa kipindi cha kuanzia Mwezi Januari 1983 mpaka mwezi Mei alipokamatwa na kutiwa mbaroni na serikali ya Rais Major Jean Baptiste Dr kutokana na msimamo wake juu ya ukombozi kwa watu wote wa Volta ya Juu na kupendelea Marxist Revolution theories.

Thomas Isidore Noël Sankara alikuwa Rais wa Upper Volta (Volta ya Juu) kuanzia mwezi Agosti 4 1983 hadi mwezi Octoba 15 1987 baada ya mapinduzi ya kijeshi dhidi ya Major Dr Jean Baptiste yakiongozwa na rafiki yake mkuu Kapteni Blaise Compaore na kuwa Rais wa TANO wa VOLTA YA JUU au BURKINA FASO baada ya kubadilishwa jina na Sankara.

Thomas Sankara aliyejulikana kama Che – Guevara wa Afrika alianzisha Program mbalimbali za kijamii na kiuchumi kuleta mabadiliko katika nchi za Afrika. Alibadilisha Upper Volta na kuwa Burkina Faso (land of Upright Men).

Alianzisha kampeni ya kuboresha Elimu na kutanua huduma za Afya kwa watu wa Burkina Faso maeneo ya vijijini hasa kwa watoto walio athirika na magonjwa ya Uti wa mgongo , Homa ya manjano, na surua.. na watoto karibu milioni 3 walipata tiba hizo..

Pia alianzisha kampeni ya upandaji wa miti kitaifa, na takribani miti Milioni kumi ilipandwa nchi nzima.

Pia alianzisha kampeni ya usafi nchini kote, kila mwananchi alipaswa kufanya usafi eneo alipo.. na Sankara mwenyewe alikuwa anashika fagio na kuingia barabarani kufanya usafi.. Hiyo ni kampeni iliyoitwa mfagio wa mwananchi (le balai citoyen).

Aliongeza idadi ya wanawake katika serikali yake, ikiwa ni kampeni yake nchi nzima kupinga tohara kwa wanawake, pia alianzisha kampeni na baadae utaratibu wa kisheria wa kuwataka wasichana waliopata mimba wakiwa mashuleni kuendelea na masomo... pia akaajiri wanawake jeshini, akawapa ajira katika sekta za umma.. ili kupunguza unyanyasaji wa kijinsia na kuleta uwiano na usawa nchini Burkina Fasso.

Pia ndoa za wasichana wadogo na za kulazimishwa haswa za kimila katika maeneo yote ya Burkina Fasso zikapigwa marufuku..

Thomas Sankara ambaye hakutaka makuu kabisa na wananchi wa Burkina Fasso. Akiwa kama Rais wa nchi, alivaa nguo zilizotengenezwa Burkina Faso badala ya suti kutoka Paris na London.. mara nyingi alionekana akiwa kwenye gwanda la jeshi..

Pia.. Thomas Sankara alifuta matumizi ya magari ya kifahari kwa viongozi na watumishi wote wa umma, yeye kama Rais alikuwa akitumia baiskeli au miguu kwenda kwa wananchi vijijini kuhimiza na kusimamia shughuli za kimaendeleo..

Alijikita sana kwenye kusimamia na kukuza sekta ya afya katika Burkinabe, alihimiza watu kujihusisha na kilimo.. akiwapelekea zana za kilimo na pembejeo bure kwa watu wa vijijini na kugawa ardhi kwa wananchi ili wajihusishe na kilimo..

Kwa muda mfupi sana akiwa kama Rais wa Burikna Fasso, aliweza kuifanya nchi hiyo kutokuagiza chakula kutoka nchi za nje na kuifanya nchi hiyo kuanza kuuza vyakula vyake nje.. akaanza kuifanya Burkina Fasso kuwa imara kiuchumi.

Sankara aliwahimiza watawala wa Afrika waache kuwaibia wananchi, waache kutegemea sadaka kutoka nje.

Sankara akawaambia madeni ya Afrika hayana uhalali kwa vile yalitokana na mikataba mibovu.

Ndio maana hakuna maendeleo yaliyotokana na mikopo ya kigeni.

Sankara akataka Afrika iache kulipa madeni yasiyolipika.

Mwalimu Nyerere naye wakati huo alisema mtu hawezi kulipa madeni wakati watoto wanakufa njaa.

Thomas Sankara alisema ukitaka kujua maana ya ubeberu angalia sahani yako ya chakula, utaona kila aina ya chakula unachokula kinatoka nje. Ndipo akahimiza Afrika ijitegemee kwa chakula, akisema: "Anayekulisha anakutawala"

Thomas Isidoré Nöel Sankara ni wazi aliwakasirisha sana mabeberu wa kimagharibi, hasa ubeberu wa Kifaransa uliokuwa ukitawala kupitia vibaraka wake wa Afrika kama Rais Felix Houphouet- Boigny wa Ivory Coast...

Chini ya uongozi wake (Thomas Sankara), Burkina Faso ililima chakula chake badala ya kuagiza kutoka nje...

Kwa hatua hiyo, Thomas Sankara akawa amewaudhi wakubwa wa dunia (mabeberu) kwa kukataa kwake mipango ya kurekebisha uchumi ya Benki ya Dunia (WB) na Shirika la Fedha Duniani (IMF) huku hoja kubwa ya sankara ikiwa ni kwamba, mipango hiyo ni ya kinyonyaji.

Thomas Sankara aligawa ardhi kwa wakulima wadogo baada ya kuchukua kutoka kwa wawekezaji wa nje ambao walikuwa wameipora baada ya kupewa na uongozi uliopita..

Katika huduma za jamii alileta mabadiliko makubwa katika huduma za elimu, afya, maji na kuboresha miundombinu ya barabara kuunganisha sehemu mbalimbali za nchi hiyo.

Sankara katika kuhakikisha kuwa rasilimali za nchi zinahudumia wanachi wa kawaida, Sankara alipambana na rushwa, ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, huku akimtaka kila mwananchi kujituma kulijenga taifa.

Thomas Sankara alikuwa mtu anayechukia rushwa na ufisadi, uvivu, uzembe, dhuluma na unyonyaji wa wananchi na rasilimali zao. Alitaka kuona watu wake wakifaidika kwa rasilimali za nchi yake.

Huyu ndiye Thomas Sankara ambaye alipunguza mshahara wake hadi dola 450 ( takriban million 1 tu za Tanzania) kwa mwezi, ambaye alitembea kwa baskeli katika mitaa ya Ouagadougu bila ya kulindwa. Alipoulizwa kwanini hana walinzi alisema wananchi ndio walinzi wake, hivyo hahitaji kuambatana na wanajeshi wenye bunduki.

Washauri wake mara kwa mara walimshawishi aachane na matumizi ya baisikeli.

Akaamua kutumia gari lenye bei ya chini (Renault 5) badala ya msururu wa mashangingi kama tuonavyo leo katika Afrika...

Hata hivyo alibaki na baiskeli yake mpaka alipokutwa na mauti, na akaunti yake ya benki ilikutwa na akiba ya dola 400 ambayo ni sawa na Tsh 850, 550/= (laki nane elfu hamsini na tano namia tano hamsini), kwa sasa, badala ya mabilioni mengi kama wanayoficha huko Uswis marais wa Afrika.

Kumbuka, Thomas Sankara amedumu kwenye uongozi kwa kipindi cha miaka 4 pekee kabla ya mapinduzi yaliyoongozwa na Rafiki yake kipenzi... Blaise Compaore.. ambayo yaliondoka na uhai wake, lakini kwa kipindi hicho cha miaka 4 akihudumu kama Rais, alitengeneza mageuzi makubwa sana ambayo Compaore kwa mia

Ndoto kubwa ya kila siku ya Thomas Sankara, ilikuwa ni kuifanya Burkinafasso kuwa moja kati ya mataifa makubwa Afrika kiuchumi..

Thomas Sankara alikataa hata picha yake (yeye kama Rais) kutundikwa katika majengo, na taasisi za serikali.. alisema hataki kutukuzwa.

Sankara alikuwa akipokea mshahara wa dola 450 kwa mwezi, mshahara mdogo kuliko viongozi wote barani Afrika kwa wakati huo..

Huyu ndiye Thomas Isidore Noël Sankara anayejulikana kama Ernesto Che Guevara wa bara la Afrika (alikuwa akivaa mavazi kama Che Guevara, mwenendo, matendo na malengo yake yalifanana na Ernesto Che Guevara, pia walikuwa marafiki wakubwa).., aliyeiongoza nchi kwa muda wa miaka minne kabla ya kuuliwa na maadui wa mapinduzi wakiongozwa na kapteni Blaise Compaoré Aliuliwa nyakati za usiku na mara moja akazikwa kwa haraka. Ernesto Che Guevara naye alikuwa mwanamapinduzi wa Marekani Kusini aliyeuliwa na majasusi wa Marekani (CIA) na kisha kuzikwa kisirisiri.

Thomas Sankara aliyekuwa muumini wa fikra za kupigania Umoja wa Afrika au Pan Africanist mara nyingi alionekana kutopendwa na mataifa ya magharibi kutokana na fikra zake za kupinga dhuluma za wakoloni kunyonya watu wanyonge.

Mwaka 1985, Thomas Sankara alikaririwa akisema kuhusu falsafa yake kisiasa iliyokuwa maarufu, ilikuwa ikisema;

‘you cannot carry out fundamental change without a certain amount of madness’, yaani kwa tafsiri isiyo rasmi, huwezi kuleta mageuzi ya msingi bila kuwa na kiasi fulani cha ukichaa... ndiyo maana mabeberu walieneza propaganda kwamba Sankara ni kichaa anayeingoza Burkina Fasso..

Pamoja na yote na mengi mazuri.., wapinzani ndani na nje ya nchi ya Burkinafasso, walisikika wakimlaumu Sankara kwa kupiga marufuku vyama huru vya wafanyakazi na vyama vya siasa.

Pia Sankara alianzisha Mahakama za wananchi ‘people’s revoluntionary tribunals’ ambazo zililenga kutoa hukumu kwa wapinga mapinduzi, wafanyakazi wazembe... Jambo ambalo lilileta hamasa ya watumishi wa umma kufanya kazi kwa nguvu wakiogopa hukumu..

Ila hatua hiyo ilipigwa vita sana na wapinzani wake..

Kumbukumbu kubwa ya wananchi wa Burkinabe (Burkina fasso), kuhusu Kapteni Thomas Sankara, ilikuwa ni wiki moja kabla ya kuuwawa kwake alitabiri, na alikaririwa akisema:

“Wanamapinduzi wanaweza kuuliwa, lakini fikra za kimapinduzi zitaendelea kuishi daima”

Hapo alikuwa akinukuu maneno ya Mwanamapinduzi maarufu Duniani, Ernesto Che Guevara ambaye aliwahi kusema..

“Revolutionaries and individuals can be murdered, but ideas never die.”

Thomas Sankara alifariki Oktoba 15 mwaka 1987 baada ya kupinduliwa na Blaise Compaore kuchukuwa utawala nchini Burkina Faso kwa muda wa miaka 27.

Inafahamika kwamba, kwa mara ya kwanza mwaka 1997, familia ya marehemu Thomas Isodoré Noël Sankara, ilifikisha ombi la kutaka mwili wa Sankara ufukuliwe ili ufanyiwe uchunguzi..

Taarifa zinafahamisha kuwa serikali ya Blaise Compaore ilitupilia mbali ombi kutoka familia ya Thomas Sankara la kutaka kufanyike uchunguzi kuhusu kifo cha Sankara.

Kwa mujibu ya ripoti ya kifo cha Thomas Sankara, Serikali ilisema kuwa Thomas Sankara alifariki kifo cha kawaida.

Familia ilitaka kufahamu kama ni kweli katika kaburi hilo ndipo mwili wa Thomas Sankara ulipohifadhiwa..

Blaise Compaoré ni nani??

Compaoré alizaliwa katika mji wa Ziniaré, uliopo umbali wa kilomita 43 kutoka Jiji la Ouagadougou, ambao ndiyo mji mkuu wa Burkina Faso, alipitia mafunzo ya kijeshi akiwa amefikia cheo cha kapteni.

Ni mwanzilishi wa chama chake cha Congress for Democracy and Progress, akihusika katika mapinduzi ya kijeshi ya mwaka 1983 na yale ya mwaka 1987. Miaka mitatu baada ya kufanya mapinduzi na kuingia Ikulu, alichaguliwa rasmi Rais wa Burkina Faso kwa kura mwaka 1991, katika uchaguzi uliosusiwa na upinzani na kisha alichaguliwa tena kwa njia hiyo ya kura katika chaguzi za mwaka 1998, 2005 na 2010.

Alikuwa gwiji wa kushiriki mapinduzi ya kung’oa na kupachika watu madarakani na katika kuthibitisha hilo, akiwa na umri wa miaka 33, Blaise Compaoré aliratibu mapinduzi ya kijeshi yaliyomng’oa madarakani Meja Jean-Baptiste Ouedraogo nchini Liberia, hiyo ilikuwa Agosti 4 mwaka 1983. Wakati huo Burkina Faso ilikuwa ikiitwa Upper Volta.

Mapinduzi hayo ya kijeshi yaliungwa mkono na Libya chini ya Muammar Gaddafi rafiki wa Compaore, kwa wakati huo, Libya ikiwa katika msuguano na Ufaransa kuhusu Chad.

Washirika wengine wa mapinduzi hayo ya Agosti 4, mwaka 1983 ni Kapteni Henri Zongo, Meja Jean-Baptiste Boukary Lingani na Kapteni Thomas Sankara— aliyetangazwa Rais kuwa katika mapinduzi hayo ya kijeshi.

Compaoré wakati huo alipofanya tena mapinduzi ya kijeshi mwaka 1987, alizungumzia mauaji ya rafiki yake wa jeshini zamani (Rais Sankara) ambaye alimsaidia kuingia Ikulu (mwaka 1983) akisema ilikuwa ajali tu.

Hata hivyo licha ya kuongoza mapinduzi ambayo si tu yalimng’oa rafiki yake huyo madarakani bali hata kumuua, licha ya kukaa kwake Ikulu kwa miaka 27, Compaore hakuwahi kuchunguza sababu za mauaji hayo ya Sankara, jambo linalozua hisia kwamba alishiriki kuhakikisha Sankara anauawa ili mapinduzi yatimie bila.

Katika utawala wa rafiki yake (Sankara), ulioanza mwaka 1983 hadi mwaka 1987, Compaoré aliwahi kuwa Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi, akiwa amepata kutumikia cheo cha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais na Naibu Waziri wa Sheria..

BLAISE Compaoré aliyeitawala Burkina Faso kwa muda wa miaka 27 alilazimishwa na wananchi kuikimbia nchi hiyo tarehe 31-10-2014.. Amekimbilia Ivory Coast (Cote d’Ivoire) ambako anahifadhiwa na rafiki yake Rais Alassane Ouattara...

Hii ni baada ya wananchi wenye hasira walipojitokeza kwa maelfu mitaani katika mji mkuu wa Ouagadougou.

Tatizo lilianza pale Blaise Compaoré alipotaka kubadili Katiba ili aendelee kutawala. Bunge lilikuwa tayari kutii amri yake. Ndipo wananchi wakalichoma moto jengo la Bunge na ofisi za serikali pamoja na makao makuu ya chama tawala cha CDP (Congress of Democracy and Progress). Baadhi ya nyumba za wabunge waliokuwa mstari wa mbele katika kutetea Compaoré aongezewe muda nazo zilichomwa moto.

Mkuu wa majeshi ya ulinzi nchini Burkina General Fasso Honoré Traore akajitangaza kuwa Rais mpya. Wananchi wakamkataa.

Baada ya muda General Honoré Traore akapigwa kikumbo na Luteni Kanali Isaac Yacouba Zida akashika madaraka. Wananchi wakaendelea kudai serikali watakayoichagua wenyewe kidemokrasia, wakisema hawakumfurusha Blaise Compaoré ili jeshi lishike hatamu...

Wimbo mkubwa wa wananchi wa Burkinabe ni kwamba... Blaise Compaoré alimuua kipenzi chao.. na hivyo kusaliti mapinduzi ya haki ya awali yaliyoongozwa na Thomas Sankara dhidi ya serikali ya Jean Baptiste Ouedraogo.

Vyombo vya propaganda chini ya serikali ya Blaise Compaore ya kwamba Thomas Sankara hakuwa muhimu sana katika uwepo wa taifa hilo,...

Hata mapinduzi ya wananchi wa Burkina Fasso dhidi ya Compare walihamasishwa na kumbukumbu za Kapteni Thomas Sankara. Ingawa watawala wanajaribu kufuta kumbukumbu zake lakini wananchi wa kawaida wangali wanamkumbuka.

Ni vizuri ikumbukwe kuwa hii ni mara ya tisa kwa majeshi kuvamia urais wa Burkina Faso tangu nchi hiyo kupata uhuru wa bendera kutoka Ufaransa mwaka 1960. Ni uhuru wa bendera kwa vile leo nchi hiyo inaendelea kukaliwa na majeshi ya Ufaransa, na utajiri unaporwa na wawekezaji Wafaransa.

Kwa sababu hata mapinduzi ya Blaise Compaore kumuondoa rafiki yake Thomas Sankara yaliongozwa na Compaore akisaidiwa na Ivory Coast na mafedhuli ufaransa na wakafanikiwa kumuua Sankara..

Wanamapinduzi na wana mageuzi wote Duniani, ni watu wanaojulikana kama wapinga ubeberu waziwazi na ndiyo maana wengi wao wamekumbana na ukatili wa mabeberu.

Wako wana mapinduzi na wana mageuzi waliouawa kama akina Thomas Sankara wa Burkina Fasso na Patrice Lumumba wa DR Congo na wengine kutumikia vifungo virefu na vya maisha maisha kama Nelson Mandela.

Hii ni muhimu sana ku share

" Mungu bariki Tanzania Mungu bariki Afrika"HISTORIA YA THOMAS SANKARA RAIS WA BURKINA FASO ALIYEUAWA KINYAMA NA RAFIKI YAKE COMPAORE:

Thomas Isidore Noël Sankara taa ya Afrika iliyozimika ghafla!

Mnamo August 1983, vijana wawili, makapteni wa jeshi na wanamapinduzi, Kapteni Thomas Sankara na Kapteni Blaise Compaore, waliipindua Serikali ya Rais wa wakati huo katika nchi iliyokuwa ikijulikana kama Upper volta, rais huyu aliitwa Baptiste Ouedraogo...

Vijana hawa wakiwa katika fikra za Karl Max, wakiwa na ndoto nyingi za kuijenga Upper volta.., walibadili kabisa historia ya taifa hilo, walibadili jina la nchi na kuitwa Burkina faso, manake nchi ya watu, country of honorable citizen..

Uchapa kazi wa vijana hawa (Sankara na Compaore), Thomas sankara akiwa ndiye rais unaweza kufananishwa na ule wa Fider Castrol na Che Guavera, kule Cuba..

Mara nyingi Sankara alikuwa anatumia baiskeli kutembelea vijijini kuhimiza maendeleo, wakati pacha wake (Compaore) wakiwa kama pete na kidole..

Urafiki wa makapteni hawa wa jeshi la Burkinabe, ulikuwa mkubwa kiasi ambacho, wakati wanausalama walipomwambia Sankara kuwa Compaore ana mpango wa kumpindua na kumuua, yeye aliwajibu kuwa compaore asingeweza kufanya hivyo, labda mtu mwingine...

Blaise Compaore alikutana na Thomas Sankara mwaka 1976 katika mafunzo ya kijeshi Morocco na hapo walianza urafiki wao uliokuwa wazi kwa karibu watu wote waliokuwa wakiwafahamu nchini Burkina Fasso na nchi jirani.

Thomas Sankara alikuwa akiwaeleza wanausalama wake kuwa, hata kama Compaore angetaka kufanya hayo, hakuna wa kumzuia.

Ni wazi kuwa Kapteni Thomas Isidore Sankara alikuwa karibu sana na Blaise Compaore, kwa kiasi ambacho Blaise Compaore alikuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya Sankara...

Kama ilivyotabiriwa na watu wengi wa karibu wa Thomas Sankara, Blaise Compaore aliongoza mapinduzi yaliyosababisha kifo cha Sankara mnamo mwaka 1987, na yeye mwenyewe (Compaore), huku akishuhudia rafiki yake kipenzi Sankara akiuawa, akawa ndiye mrithi wa kiti cha Urais wa iliyokuwa Upper Volta baadaye Burkina Fasso..

Thomas Isidore Noël Sankara ni nani??

Isidore Noël Thomas Sankara alizaliwa tarehe 12.12.1949 Mjini YOKO katika nchi iliyokuwa ikiitwa Upper Volta (Volta ya juu) na kuuawa tarehe 15.10.1987 na wanajeshi wenzake wakiongozwa na rafiki yake Rais Blaise Compaore katika mapigano ya usaliti yaliyotokea Mjini Ouagadougou akiwa katika kikao cha utendaji wa kazi...

Thomas Sankara alipanda ngazi za kijeshi hadi cheo cha kapten pamoja na mwanajeshi Rafiki yake Blaise Compaore ANAYEJUA SIRI YA KIFO CHA CHA THOMAS SANKARA .

Kuna nyakati ambazo Blaise Compaore alipata kunena kwa kinywa chake katika shirika la kutetea haki za Binadamu duniani kwamba “kifo cha Thomasi Sankara kilikuwa ni ajali tu...

Mwaka 1981 Thomas Sankara alikuwa waziri wa mambo ya ndani katika serikali ya kijeshi ya Rais wa wakati huo wa Burkinabe ya zamani (Upper Volta) Jean Baptiste Major. Dr. na baadaye aliteuliwa kuwa waziri mkuu kwa kipindi cha kuanzia Mwezi Januari 1983 mpaka mwezi Mei alipokamatwa na kutiwa mbaroni na serikali ya Rais Major Jean Baptiste Dr kutokana na msimamo wake juu ya ukombozi kwa watu wote wa Volta ya Juu na kupendelea Marxist Revolution theories..

Thomas Isidore Noël Sankara alikuwa Rais wa Upper Volta (Volta ya Juu) kuanzia mwezi Agosti 4 1983 hadi mwezi Octoba 15 1987 baada ya mapinduzi ya kijeshi dhidi ya Major Dr Jean Baptiste yakiongozwa na rafiki yake mkuu Kapteni Blaise Compaore na kuwa Rais wa TANO wa VOLTA YA JUU au BURKINA FASO baada ya kubadilishwa jina na Sankara.

Thomas Sankara aliyejulikana kama Che – Guevara wa Afrika alianzisha Program mbalimbali za kijamii na kiuchumi kuleta mabadiliko katika nchi za Afrika. Alibadilisha Upper Volta na kuwa Burkina Faso (land of Upright Men).

Alianzisha kampeni ya kuboresha Elimu na kutanua huduma za Afya kwa watu wa Burkina Faso maeneo ya vijijini hasa kwa watoto walio athirika na magonjwa ya Uti wa mgongo , Homa ya manjano, na surua.. na watoto karibu milioni 3 walipata tiba hizo..

Pia alianzisha kampeni ya upandaji wa miti kitaifa, na takribani miti Milioni kumi ilipandwa nchi nzima..

Pia alianzisha kampeni ya usafi nchini kote, kila mwananchi alipaswa kufanya usafi eneo alipo.. na Sankara mwenyewe alikuwa anashika fagio na kuingia barabarani kufanya usafi.. Hiyo ni kampeni iliyoitwa mfagio wa mwananchi (le balai citoyen).

Aliongeza idadi ya wanawake katika serikali yake, ikiwa ni kampeni yake nchi nzima kupinga tohara kwa wanawake, pia alianzisha kampeni na baadae utaratibu wa kisheria wa kuwataka wasichana waliopata mimba wakiwa mashuleni kuendelea na masomo... pia akaajiri wanawake jeshini, akawapa ajira katika sekta za umma.. ili kupunguza unyanyasaji wa kijinsia na kuleta uwiano na usawa nchini Burkina Fasso.

Pia ndoa za wasichana wadogo na za kulazimishwa haswa za kimila katika maeneo yote ya Burkina Fasso zikapigwa marufuku..

Thomas Sankara ambaye hakutaka makuu kabisa na wananchi wa Burkina Fasso. Akiwa kama Rais wa nchi, alivaa nguo zilizotengenezwa Burkina Faso badala ya suti kutoka Paris na London.. mara nyingi alionekana akiwa kwenye gwanda la jeshi..

Pia.. Thomas Sankara alifuta matumizi ya magari ya kifahari kwa viongozi na watumishi wote wa umma, yeye kama Rais alikuwa akitumia baiskeli au miguu kwenda kwa wananchi vijijini kuhimiza na kusimamia shughuli za kimaendeleo..

Alijikita sana kwenye kusimamia na kukuza sekta ya afya katika Burkinabe, alihimiza watu kujihusisha na kilimo.. akiwapelekea zana za kilimo na pembejeo bure kwa watu wa vijijini na kugawa ardhi kwa wananchi ili wajihusishe na kilimo..

Kwa muda mfupi sana akiwa kama Rais wa Burikna Fasso, aliweza kuifanya nchi hiyo kutokuagiza chakula kutoka nchi za nje na kuifanya nchi hiyo kuanza kuuza vyakula vyake nje.. akaanza kuifanya Burkina Fasso kuwa imara kiuchumi.

Sankara aliwahimiza watawala wa Afrika waache kuwaibia wananchi, waache kutegemea sadaka kutoka nje.

Sankara akawaambia madeni ya Afrika hayana uhalali kwa vile yalitokana na mikataba mibovu.

Ndio maana hakuna maendeleo yaliyotokana na mikopo ya kigeni.

Sankara akataka Afrika iache kulipa madeni yasiyolipika.

Mwalimu Nyerere naye wakati huo alisema mtu hawezi kulipa madeni wakati watoto wanakufa njaa.

Thomas Sankara alisema ukitaka kujua maana ya ubeberu angalia sahani yako ya chakula, utaona kila aina ya chakula unachokula kinatoka nje. Ndipo akahimiza Afrika ijitegemee kwa chakula, akisema: "Anayekulisha anakutawala"

Thomas Isidoré Nöel Sankara ni wazi aliwakasirisha sana mabeberu wa kimagharibi, hasa ubeberu wa Kifaransa uliokuwa ukitawala kupitia vibaraka wake wa Afrika kama Rais Felix Houphouet- Boigny wa Ivory Coast...

Chini ya uongozi wake (Thomas Sankara), Burkina Faso ililima chakula chake badala ya kuagiza kutoka nje...

Kwa hatua hiyo, Thomas Sankara akawa amewaudhi wakubwa wa dunia (mabeberu) kwa kukataa kwake mipango ya kurekebisha uchumi ya Benki ya Dunia (WB) na Shirika la Fedha Duniani (IMF) huku hoja kubwa ya sankara ikiwa ni kwamba, mipango hiyo ni ya kinyonyaji.

Thomas Sankara aligawa ardhi kwa wakulima wadogo baada ya kuchukua kutoka kwa wawekezaji wa nje ambao walikuwa wameipora baada ya kupewa na uongozi uliopita..

Katika huduma za jamii alileta mabadiliko makubwa katika huduma za elimu, afya, maji na kuboresha miundombinu ya barabara kuunganisha sehemu mbalimbali za nchi hiyo.

Sankara katika kuhakikisha kuwa rasilimali za nchi zinahudumia wanachi wa kawaida, Sankara alipambana na rushwa, ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, huku akimtaka kila mwananchi kujituma kulijenga taifa.

Thomas Sankara alikuwa mtu anayechukia rushwa na ufisadi, uvivu, uzembe, dhuluma na unyonyaji wa wananchi na rasilimali zao. Alitaka kuona watu wake wakifaidika kwa rasilimali za nchi yake.

Huyu ndiye Thomas Sankara ambaye alipunguza mshahara wake hadi dola 450 ( takriban million 1 tu za Tanzania) kwa mwezi, ambaye alitembea kwa baskeli katika mitaa ya Ouagadougu bila ya kulindwa. Alipoulizwa kwanini hana walinzi alisema wananchi ndio walinzi wake, hivyo hahitaji kuambatana na wanajeshi wenye bunduki.

Washauri wake mara kwa mara walimshawishi aachane na matumizi ya baisikeli.

Akaamua kutumia gari lenye bei ya chini (Renault 5) badala ya msururu wa mashangingi kama tuonavyo leo katika Afrika...

Hata hivyo alibaki na baiskeli yake mpaka alipokutwa na mauti, na akaunti yake ya benki ilikutwa na akiba ya dola 400 ambayo ni sawa na Tsh 850, 550/= (laki nane elfu hamsini na tano namia tano hamsini), kwa sasa, badala ya mabilioni mengi kama wanayoficha huko Uswis marais wa Afrika.

Kumbuka, Thomas Sankara amedumu kwenye uongozi kwa kipindi cha miaka 4 pekee kabla ya mapinduzi yaliyoongozwa na Rafiki yake kipenzi... Blaise Compaore.. ambayo yaliondoka na uhai wake, lakini kwa kipindi hicho cha miaka 4 akihudumu kama Rais, alitengeneza mageuzi makubwa sana ambayo Compaore kwa mia

Ndoto kubwa ya kila siku ya Thomas Sankara, ilikuwa ni kuifanya Burkinafasso kuwa moja kati ya mataifa makubwa Afrika kiuchumi..

Thomas Sankara alikataa hata picha yake (yeye kama Rais) kutundikwa katika majengo, na taasisi za serikali.. alisema hataki kutukuzwa.

Sankara alikuwa akipokea mshahara wa dola 450 kwa mwezi, mshahara mdogo kuliko viongozi wote barani Afrika kwa wakati huo..

Huyu ndiye Thomas Isidore Noël Sankara anayejulikana kama Ernesto Che Guevara wa bara la Afrika (alikuwa akivaa mavazi kama Che Guevara, mwenendo, matendo na malengo yake yalifanana na Ernesto Che Guevara, pia walikuwa marafiki wakubwa).., aliyeiongoza nchi kwa muda wa miaka minne kabla ya kuuliwa na maadui wa mapinduzi wakiongozwa na kapteni Blaise Compaoré Aliuliwa nyakati za usiku na mara moja akazikwa kwa haraka. Ernesto Che Guevara naye alikuwa mwanamapinduzi wa Marekani Kusini aliyeuliwa na majasusi wa Marekani (CIA) na kisha kuzikwa kisirisiri.

Thomas Sankara aliyekuwa muumini wa fikra za kupigania Umoja wa Afrika au Pan Africanist mara nyingi alionekana kutopendwa na mataifa ya magharibi kutokana na fikra zake za kupinga dhuluma za wakoloni kunyonya watu wanyonge.

Mwaka 1985, Thomas Sankara alikaririwa akisema kuhusu falsafa yake kisiasa iliyokuwa maarufu, ilikuwa ikisema;

‘you cannot carry out fundamental change without a certain amount of madness’, yaani kwa tafsiri isiyo rasmi, huwezi kuleta mageuzi ya msingi bila kuwa na kiasi fulani cha ukichaa... ndiyo maana mabeberu walieneza propaganda kwamba Sankara ni kichaa anayeingoza Burkina Fasso..

Pamoja na yote na mengi mazuri.., wapinzani ndani na nje ya nchi ya Burkinafasso, walisikika wakimlaumu Sankara kwa kupiga marufuku vyama huru vya wafanyakazi na vyama vya siasa.

Pia Sankara alianzisha Mahakama za wananchi ‘people’s revoluntionary tribunals’ ambazo zililenga kutoa hukumu kwa wapinga mapinduzi, wafanyakazi wazembe... Jambo ambalo lilileta hamasa ya watumishi wa umma kufanya kazi kwa nguvu wakiogopa hukumu..

Ila hatua hiyo ilipigwa vita sana na wapinzani wake..

Kumbukumbu kubwa ya wananchi wa Burkinabe (Burkina fasso), kuhusu Kapteni Thomas Sankara, ilikuwa ni wiki moja kabla ya kuuwawa kwake alitabiri, na alikaririwa akisema:

“Wanamapinduzi wanaweza kuuliwa, lakini fikra za kimapinduzi zitaendelea kuishi daima”

Hapo alikuwa akinukuu maneno ya Mwanamapinduzi maarufu Duniani, Ernesto Che Guevara ambaye aliwahi kusema..

“Revolutionaries and individuals can be murdered, but ideas never die.”

Thomas Sankara alifariki Oktoba 15 mwaka 1987 baada ya kupinduliwa na Blaise Compaore kuchukuwa utawala nchini Burkina Faso kwa muda wa miaka 27.

Inafahamika kwamba, kwa mara ya kwanza mwaka 1997, familia ya marehemu Thomas Isodoré Noël Sankara, ilifikisha ombi la kutaka mwili wa Sankara ufukuliwe ili ufanyiwe uchunguzi..

Taarifa zinafahamisha kuwa serikali ya Blaise Compaore ilitupilia mbali ombi kutoka familia ya Thomas Sankara la kutaka kufanyike uchunguzi kuhusu kifo cha Sankara.

Kwa mujibu ya ripoti ya kifo cha Thomas Sankara, Serikali ilisema kuwa Thomas Sankara alifariki kifo cha kawaida.

Familia ilitaka kufahamu kama ni kweli katika kaburi hilo ndipo mwili wa Thomas Sankara ulipohifadhiwa..

Blaise Compaoré ni nani??

Compaoré alizaliwa katika mji wa Ziniaré, uliopo umbali wa kilomita 43 kutoka Jiji la Ouagadougou, ambao ndiyo mji mkuu wa Burkina Faso, alipitia mafunzo ya kijeshi akiwa amefikia cheo cha kapteni.

Ni mwanzilishi wa chama chake cha Congress for Democracy and Progress, akihusika katika mapinduzi ya kijeshi ya mwaka 1983 na yale ya mwaka 1987. Miaka mitatu baada ya kufanya mapinduzi na kuingia Ikulu, alichaguliwa rasmi Rais wa Burkina Faso kwa kura mwaka 1991, katika uchaguzi uliosusiwa na upinzani na kisha alichaguliwa tena kwa njia hiyo ya kura katika chaguzi za mwaka 1998, 2005 na 2010.

Alikuwa gwiji wa kushiriki mapinduzi ya kung’oa na kupachika watu madarakani na katika kuthibitisha hilo, akiwa na umri wa miaka 33, Blaise Compaoré aliratibu mapinduzi ya kijeshi yaliyomng’oa madarakani Meja Jean-Baptiste Ouedraogo nchini Liberia, hiyo ilikuwa Agosti 4 mwaka 1983. Wakati huo Burkina Faso ilikuwa ikiitwa Upper Volta.

Mapinduzi hayo ya kijeshi yaliungwa mkono na Libya chini ya Muammar Gaddafi rafiki wa Compaore, kwa wakati huo, Libya ikiwa katika msuguano na Ufaransa kuhusu Chad.

Washirika wengine wa mapinduzi hayo ya Agosti 4, mwaka 1983 ni Kapteni Henri Zongo, Meja Jean-Baptiste Boukary Lingani na Kapteni Thomas Sankara— aliyetangazwa Rais kuwa katika mapinduzi hayo ya kijeshi.

Compaoré wakati huo alipofanya tena mapinduzi ya kijeshi mwaka 1987, alizungumzia mauaji ya rafiki yake wa jeshini zamani (Rais Sankara) ambaye alimsaidia kuingia Ikulu (mwaka 1983) akisema ilikuwa ajali tu.

Hata hivyo licha ya kuongoza mapinduzi ambayo si tu yalimng’oa rafiki yake huyo madarakani bali hata kumuua, licha ya kukaa kwake Ikulu kwa miaka 27, Compaore hakuwahi kuchunguza sababu za mauaji hayo ya Sankara, jambo linalozua hisia kwamba alishiriki kuhakikisha Sankara anauawa ili mapinduzi yatimie bila.

Katika utawala wa rafiki yake (Sankara), ulioanza mwaka 1983 hadi mwaka 1987, Compaoré aliwahi kuwa Mjumbe wa Baraza la Mapinduzi, akiwa amepata kutumikia cheo cha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais na Naibu Waziri wa Sheria..

BLAISE Compaoré aliyeitawala Burkina Faso kwa muda wa miaka 27 alilazimishwa na wananchi kuikimbia nchi hiyo tarehe 31-10-2014.. Amekimbilia Ivory Coast (Cote d’Ivoire) ambako anahifadhiwa na rafiki yake Rais Alassane Ouattara...

Hii ni baada ya wananchi wenye hasira walipojitokeza kwa maelfu mitaani katika mji mkuu wa Ouagadougou.

Tatizo lilianza pale Blaise Compaoré alipotaka kubadili Katiba ili aendelee kutawala. Bunge lilikuwa tayari kutii amri yake. Ndipo wananchi wakalichoma moto jengo la Bunge na ofisi za serikali pamoja na makao makuu ya chama tawala cha CDP (Congress of Democracy and Progress). Baadhi ya nyumba za wabunge waliokuwa mstari wa mbele katika kutetea Compaoré aongezewe muda nazo zilichomwa moto.

Mkuu wa majeshi ya ulinzi nchini Burkina General Fasso Honoré Traore akajitangaza kuwa Rais mpya. Wananchi wakamkataa.

Baada ya muda General Honoré Traore akapigwa kikumbo na Luteni Kanali Isaac Yacouba Zida akashika madaraka. Wananchi wakaendelea kudai serikali watakayoichagua wenyewe kidemokrasia, wakisema hawakumfurusha Blaise Compaoré ili jeshi lishike hatamu...

Wimbo mkubwa wa wananchi wa Burkinabe ni kwamba... Blaise Compaoré alimuua kipenzi chao.. na hivyo kusaliti mapinduzi ya haki ya awali yaliyoongozwa na Thomas Sankara dhidi ya serikali ya Jean Baptiste Ouedraogo.

Vyombo vya propaganda chini ya serikali ya Blaise Compaore ya kwamba Thomas Sankara hakuwa muhimu sana katika uwepo wa taifa hilo,...

Hata mapinduzi ya wananchi wa Burkina Fasso dhidi ya Compare walihamasishwa na kumbukumbu za Kapteni Thomas Sankara. Ingawa watawala wanajaribu kufuta kumbukumbu zake lakini wananchi wa kawaida wangali wanamkumbuka.

Ni vizuri ikumbukwe kuwa hii ni mara ya tisa kwa majeshi kuvamia urais wa Burkina Faso tangu nchi hiyo kupata uhuru wa bendera kutoka Ufaransa mwaka 1960. Ni uhuru wa bendera kwa vile leo nchi hiyo inaendelea kukaliwa na majeshi ya Ufaransa, na utajiri unaporwa na wawekezaji Wafaransa.

Kwa sababu hata mapinduzi ya Blaise Compaore kumuondoa rafiki yake Thomas Sankara yaliongozwa na Compaore akisaidiwa na Ivory Coast na mafedhuli ufaransa na wakafanikiwa kumuua Sankara..

Wanamapinduzi na wana mageuzi wote Duniani, ni watu wanaojulikana kama wapinga ubeberu waziwazi na ndiyo maana wengi wao wamekumbana na ukatili wa mabeberu.

Wako wana mapinduzi na wana mageuzi waliouawa kama akina Thomas Sankara wa Burkina Fasso na Patrice Lumumba wa DR Congo na wengine kutumikia vifungo virefu na vya maisha maisha kama Nelson Mandela.

" Mungu bariki Afrika"
 
Nimetizama film hiyo ya Thomas Sankara baada ya kuchukua hatua alizozichukua ikiwemo kufuta matumizi ya magari ya kifahari,kujikita katika kilimo,afya michezo haki za wanawake na mambo mengine mengi,ambayo kwa kipindi kifupi nchi hiyo ilitoka katika kuagiza vyakula na kuwa wauzaji wa vyakula nje.Sisi nchi yenye rasilimali za kila aina lakini tumeshindwa inapashwa tujiulize kwanini?Hatukulogwa la kama tumelogwa mchawi wetu ni CCM!Miaka 50 na rasilimali tulizonazo hapa yulipo NI AIBU.MUNGU IBARIKI TANZANIA.Thomas Sankara - the Upright Man - YouTube

Tanganyika aliyoipokea Nyerere ilikuwa ni nchi ya kwanza katika Afrika kwa kuuza mazao katika Afrika. Nyerere kwa majaribio ya vijiji vya ujamaa, akauwa nchi kabisa ikawa ombaomba wa kwanza katika Afrika na maskini wa mwisho duniani.

Waliomfatia kila mmoja kajitahidi ki vyake kwani kubomoa ni rahisi kuliko kujenga, kwa sasa, tunaona kabisa kwa makusudi mabadiliko na tunaanza kurudi kuliko alipopakuta Nyerere.

Tuweni wa kweli aliyeibomoa hii nchi tunamjuwa lakini tunataka awe Mtakatifu kwa hiyo tunashindwa kusema aliyoyaharibu, simlaumu sana kwa kuwa nna uhakika alikuwa hajui alifanyalo.
 
Unaweza kumlaumu Nyerere hata karne kumi zijazo lakini hiyo haitabadili chochote! Nyerere alikuwa na makosa yake hasa ya kifikra, kimaamuzi na kiitikadi hayo kwa ukweli yaliyumbisha taifa kiuchumi lakini angalao misingi ya haki na usawa ndani ya utaifa ilikuwa imara!Swali Tangu nyerere ameng,atuka waliomfuata walishindwa nn kusahihisha makosa ya Mwalimu?

Ona sasa matabaka yaliojengeka walio nacho wanakula vizuri, wanatibiwa vizuri, wana nyumba nzuri, wana magari watoto wao wanapata elimu nzuri maskini hawajui wanakula nn, wanakufa kwa magonjwa yanayotibika, watoto wao hawana elimu maana yake watarithi umaskini wa wazazi wao! Nchi inakwenda wapi? halafu unakalia kumlaumu mwalimu?
 
Ni ubinafsi..wananchi tunaishia kusema na kuandika..vitendo=0
"vox populi,Vox dei"
 
Tuweni wa kweli aliyeibomoa hii nchi tunamjuwa lakini tunataka awe Mtakatifu kwa hiyo tunashindwa kusema aliyoyaharibu, simlaumu sana kwa kuwa nna uhakika alikuwa hajui alifanyalo.
Kikwete kama atatumia Thomas Sankara kama ndo kioo cha kujitazama, atajiona yupo uchi. Wakati Kikwete anajipongeza mbele ya wananchi kwa kupata misaada, Thomas Sankara alikuwa anapiga vita misaada, ashawahi sema "who feeds you controls you"

Mimi huwa naona Thomas Sankara anafanana sana na Nyerere so much so I ask myself who was the copycat? For all I know they were both inspired by socialist ideology e.g Cuba-Fidel Castro
 
Kikwete kama atatumia Thomas Sankara kama ndo kioo cha kujitazama, atajiona yupo uchi. Wakati Kikwete anajipongeza mbele ya wananchi kwa kupata misaada, Thomas Sankara alikuwa anapiga vita misaada, ashawahi sema "who feeds you controls you"


Mimi huwa naona Thomas Sankara anafanana sana na Nyerere so much so I ask myself who was the copycat? For all I know they were both inspired by socialist ideology e.g Cuba-Fidel Castro

Kikwete huyo huyo ndio katutoa kwenye utegemezi wa zaidi ya 60% ya bajeti yetu kutoka nje mpaka kufikia chini ya 30%.

Au hilo hulijui?
 
Kikwete huyo huyo ndio katutoa kwenye utegemezi wa zaidi ya 60% ya bajeti yetu kutoka nje mpaka kufikia chini ya 30%.

Au hilo hulijui?

Halafu nashangaa mnaoliona hilo ni wewe na wachache wenzako!? Watu wengi hawampi mfagio wala cha nini!? Sijui wanataka shida kama zamani!? Mi naona hawataki hizi neema! Aidha hao wengi ni wehu au wewe ni mwehu!?
 
Kikwete huyo huyo ndio katutoa kwenye utegemezi wa zaidi ya 60% ya bajeti yetu kutoka nje mpaka kufikia chini ya 30%.

Au hilo hulijui?
Jamani ebu tujaribu kua wakweli hivi kwa rasilimali tulizonazo Tanzania tunapashwa kua tulipo?Utegemezi wa bajeti yetu kutoka nje unaweza kuupima kwa safari za JK kutembeza bakuli kuomba misaada nje.

Unasema ya kua amepunguza kutegemea misaada kutoka 60% mpaka 30% Unataka kutuambia ya kua sasa tunajitosheleza?Utegemezi umepungua sio kwa jitihada za JK bali wafadhiri wamepunguza misaada kwa sababu wamegundua pesa zinatumika ndivyo sivyo na hata kabla ya kotoa misaada zaidi wanatoa masharti wa usimamizi wa misaada hiyo.

Hivyo mabadiliko yoyote chanya katika nchi yetu hayahusiani na JK kwa udhaifu alionao JK hapo lingeweka Ikulu JIWE lingefanya vizuri kuliko JK tungelpunguza gharama za safari pesa hizo zikaenda katika shughuli nyingine.
 
Jamani ebu tujaribu kua wakweli hivi kwa rasilimali tulizonazo Tanzania tunapashwa kua tulipo?Utegemezi wa bajeti yetu kutoka nje unaweza kuupima kwa safari za JK kutembeza bakuli kuomba misaada nje.Unasema ya kua amepunguza kutegemea misaada kutoka 60% mpaka 30% Unataka kutuambia ya kua sasa tunajitosheleza?Utegemezi umepungua sio kwa jitihada za JK bali wafadhiri wamepunguza misaada kwa sababu wamegundua pesa zinatumika ndivyo sivyo na hata kabla ya kotoa misaada zaidi wanatoa masharti wa usimamizi wa misaada hiyo.Hivyo mabadiliko yoyote chanya katika nchi yetu hayahusiani na JK kwa udhaifu alionao JK hapo lingeweka Ikulu JIWE lingefanya vizuri kuliko JK tungelpunguza gharama za safari pesa hizo zikaenda katika shughuli nyingine.

Nasema hivi, kabla hatujaenda kwa Sankara hebu tuanze kutazama ya hapahapa nyumbani, kabla ya Kikwete na wakati wake. Ukinianzia ya Sankara ukaacha nnayo yajuwa ya nyumbani utakuwa hunitendei haki. Tuanze hapahapa.

Mimi nasema Kikwete kafanya mengi ya maendeleo kuliko Rais wowote wa Tanzania wa kabla yeke kwenye kila nyanja.

Kuhusu kujitosheleza ndugu yangu hilo sio suala, hata USA nchi tajiri duniani leo haijitoshelezi kwa kila kitu. Tafadhali tusiende huko, tuchambuwe hapahapa tuone nani kafanya nini Kikwete kafanya nini. Tuwe wa kweli.

Kuanza kumlinganisha Sankara na sisi unanikumbusha kisa cha maskini, tajiri na nyama ya ulimi. Unakijuwa?
 
Nimetizama film hiyo ya Thomas Sankara baada ya kuchukua hatua alizozichukua ikiwemo kufuta matumizi ya magari ya kifahari,kujikita katika kilimo,afya michezo haki za wanawake na mambo mengine mengi,ambayo kwa kipindi kifupi nchi hiyo ilitoka katika kuagiza vyakula na kuwa wauzaji wa vyakula nje.Sisi nchi yenye rasilimali za kila aina lakini tumeshindwa inapashwa tujiulize kwanini?Hatukulogwa la kama tumelogwa mchawi wetu ni CCM!Miaka 50 na rasilimali tulizonazo hapa yulipo NI AIBU.MUNGU IBARIKI TANZANIA.Thomas Sankara - the Upright Man - YouTube

Ndo shida ya nyuzi zinazotokana na vyanzo ambavyo havijafanyiwa uchunguzi wa kina. Huko Burkina bado kuna dhiki kuliko hapa Bongo - fact!
 
Ndo shida ya nyuzi zinazotokana na vyanzo ambavyo havijafanyiwa uchunguzi wa kina. Huko Burkina bado kuna dhiki kuliko hapa Bongo - fact!
Hao maswahiba wa Kikwete walimuona Sankara adui. Wakamassassinate ili wamweke kibaraka wao Blaise Compaore ili wafilisi rasilimali kama unavyoona Tanzania ya Kikwete
 
Tanganyika aliyoipokea Nyerere ilikuwa ni nchi ya kwanza katika Afrika kwa kuuza mazao katika Afrika. Nyerere kwa majaribio ya vijiji vya ujamaa, akauwa nchi kabisa ikawa ombaomba wa kwanza katika Afrika na maskini wa mwisho duniani.

Waliomfatia kila mmoja kajitahidi ki vyake kwani kubomoa ni rahisi kuliko kujenga, kwa sasa, tunaona kabisa kwa makusudi mabadiliko na tunaanza kurudi kuliko alipopakuta Nyerere.

Tuweni wa kweli aliyeibomoa hii nchi tunamjuwa lakini tunataka awe Mtakatifu kwa hiyo tunashindwa kusema aliyoyaharibu, simlaumu sana kwa kuwa nna uhakika alikuwa hajui alifanyalo.

Mkuu, weka data za kuaminika zenye chanzo cha uhakika kuhusu haya madai yako. Na yaonekana hata historia ya nchi ya TZ huijui, badala yake unaleta ushabiki.
Hivi unajua vijiji vya ujamaa vilianza mwaka gani? Unakumbuka ukame wa hali ya juu sana uliosababisha njaa kali sana Tanzania ulitokea mwaka gani?

Kama hayo huyajui na kuhusisha njaa na umasikini na vijiji vya ujamaa basi umekosea mkuu.
Hivi kwa mtawanyiko ule wa watu wakiishi kwa koo, na vjiji vikijulikana kwa majina ya koo ungewezaje kusogeza maendeleo karibu na wananchi?
Yaani kila ukoo uwe na shule yake, zahanati yake, bomba lake au kisima chake cha maji n.k?

Utakatifu wake hauna uhusiano wowote na urais wake wa nchi ya TZ. Wanaomjua wala hawashangazwi na hiyo hatua ya Kanisa Katoliki la Tanzania. Kwa taarifa yako unaofanyika ni mchakato tu.
 
sankara.jpg

thomas sankara g.jpg

Kaburi la Thomas Sankara

Thomas Isidore Noël Sankara (December 21, 1949 –October 15, 1987) was a Burkinabé military captain, Marxist revolutionary, Pan-Africanist theorist, and President of Burkina Faso from 1983 to 1987. [1][2]

Viewed as a charismatic and iconic figure of revolution, he is commonly referred to as "Africa's Che Guevara." [1][3][4][5]

Sankara seized power in a 1983 popularly supported coup at the age of 33, with the goal of eliminating corruption and the dominance of the former French colonial power. [1][6] He immediately launched the most ambitious program for social and economic change ever attempted on the African continent. [6] To symbolize this new autonomy and rebirth, he even renamed the country from the French colonial Upper Volta to Burkina Faso ("Land of Upright Men"). [6] His foreign policies were centered around anti-imperialism, with his government eschewing all foreign aid, pushing for odious debt reduction, nationalizing all land and mineral wealth, and averting the power and influence of the International Monetary Fund (IMF) and World Bank. His domestic policies were focused on preventing famine with agrarian self-sufficiency and land reform, prioritizing education with a nation-wide literacy campaign, and promoting public health by vaccinating 2.5 million children against meningitis, yellow fever and measles. [7]

Other components of his national agenda included planting over ten million trees to halt the growing desertification of the Sahel, doubling wheat production by redistributing land from feudal landlords to peasants, suspending rural poll taxes and domestic rents, and establishing an ambitious road and rail construction program to "tie the nation together." [6] On the localized level Sankara also called on every village to build a medical dispensary and had over 350 communities construct schools with their own labour. Moreover, his commitment to women's rights led him to outlaw female genital mutilation, forced marriages and polygamy; while appointing females to high governmental positions and encouraging them to work outside the home and stay in school even if pregnant. [6]

In order to achieve this radical transformation of society, he increasingly exerted authoritarian control over the nation, eventually banning unions and a free press, which he believed could stand in the way of his plans. [6] To counter his opposition in towns and workplaces around the country, he also tried corrupt officials, counter-revolutionaries and "lazy workers" in peoples revolutionary tribunals. [6]

Additionally, as an admirer of Fidel Castro's Cuban Revolution, Sankara set up Cuban-style Committees for the Defense of the Revolution (CDRs). [1]

His revolutionary programs for African self-reliance as a defiant alternative to the neo-liberal development strategies imposed by the West, made him an icon to many of Africa's poor. [6] Sankara remained popular with most of his country's impoverished citizens. However his policies alienated and antagonised the vested interests of an array of groups, which included the small but powerful Burkinabé middle class, the tribal leaders whom he stripped of the long-held traditional right to forced labour and tribute payments, and the foreign financial interests in France and their ally the Ivory Coast. [1][8] As a result, he was overthrown and assassinated in a coup d'état led by the French-backed Blaise Compaoré on October 15, 1987. A week before his execution, he declared: "While revolutionaries as individuals can be murdered, you cannot kill ideas." [1]

Early life

Thomas Sankara was the son of Marguerite Sankara (died March 6, 2000) and Sambo Joseph Sankara (1919 – August 4, 2006), a gendarme. [9]

Born into a Roman Catholic family, "Thom'Sank" was a Silmi-Mossi, an ethnic group that originated with marriage between Mossi men and women of the pastoralist Fulani people. The Silmi-Mossi are among the least advantaged in the Mossi caste system. He attended primary school in Gaoua and high school in Bobo-Dioulasso, the country's second city.

His father fought in the French army during World War II and was detained by the Nazis. Sankara's family wanted him to become a Catholic priest. Fittingly for a country with a large Muslim population, he was also familiar with the Qur'an.

Military Career

After basic military training in secondary school in 1966, Sankara began his military career at the age of 19, and a year later was sent to Madagascar for officer training at Antsirabe where he witnessed popular uprisings in 1971 and 1972 against the government of Philibert Tsiranana and first read the works of Karl Marx and Vladimir Lenin, profoundly influencing his political views for the rest of his life. [10] Returning to Upper Volta in 1972, by 1974 he fought in a border war between Upper Volta and Mali. He earned fame for his heroic performance in the border war with Mali, but years later would renounce the war as "useless and unjust", a reflection of his growing political consciousness. [11]

He also became a popular figure in the capital of Ouagadougou. The fact that he was a decent guitarist (he played in a band named "Tout-à-Coup Jazz") and rode a motorcycle may have contributed to his charismatic public images.

In 1976 he became commander of the Commando Training Centre in Pô. In the same year he met Blaise Compaoré in Morocco. During the presidency of Colonel Saye Zerbo a group of young officers formed a secret organisation "Communist Officers' Group" (Regroupement des officiers communistes, or ROC) the best-known members being Henri Zongo, Jean-Baptiste Boukary Lingani, Compaoré and Sankara.

Government Post

Sankara was appointed Secretary of State for Information in the military government in September 1981, journeying to his first cabinet meeting on a bicycle, but he resigned on April 21, 1982 in opposition to what he saw as the regime's anti-labour drift, declaring "Misfortune to those who gag the people!" ("Malheur à ceux qui bâillonnent le peuple!")

After another coup (November 7, 1982) brought to power Major-Doctor Jean-Baptiste Ouédraogo, Sankara became prime minister in January 1983, but he was dismissed (May 17) and placed under house arrest after a visit by the French president's son and African affairs adviser Jean-Christophe Mitterrand. Henri Zongo and Jean-Baptiste Boukary Lingani were also placed under arrest; this caused a popular uprising.

President

A coup d'état organised by Blaise Compaoré made Sankara President on August 4, 1983, [13] at the age of 33. The coup d'état was supported by Libya which was, at the time, on the verge of war with France in Chad [14] (see History of Chad).

Sankara saw himself as a revolutionary and was inspired by the examples of Cuba's Fidel Castro and Che Guevara and Ghana's military leader Jerry Rawlings. As President, he promoted the "Democratic and Popular Revolution" (Révolution démocratique et populaire, or RDP). The ideology of the Revolution was defined by Sankara as anti-imperialist in a speech of October 2, 1983, the Discours d'orientation politique (DOP), written by his close associate Valère Somé. His policy was oriented toward fighting corruption, promoting reforestation, averting famine, and making education and health real priorities.

Abolition of chiefs' privileges

The government suppressed many of the powers held by tribal chiefs such as their right to receive tribute payment and obligatory labour. The CDRs (Comités de Défense de la Révolution) were formed as popular mass organizations and armed. Sankara's government also initiated a form of military conscription with the SERNAPO (Service National et Populaire). Both were a counterweight to the power of the army.

In 1984, on the first anniversary of his accession, he renamed the country Burkina Faso, meaning "the land of upright people" in Moré and Djula, the two major languages of the country. He also gave it a new flag and wrote a new national anthem (Une Seule Nuit).

Women's rights and AIDS "

The revolution and women's liberation go together. We do not talk of women's emancipation as an act of charity or because of a surge of human compassion. It is a basic necessity for the triumph of the revolution. Women hold up the other half of the sky. "

- Thomas Sankara [15]

Improving women's status was one of Sankara's explicit goals, and his government included a large number of women, an unprecedented policy priority in West Africa. His government banned female genital mutilation, forced marriages and polygamy; while appointing females to high governmental positions and encouraging them to work outside the home and stay in school even if pregnant. [6]

Sankara also promoted contraception and encouraged husbands to go to market and prepare meals to experience for themselves the conditions faced by women. Furthermore, Sankara was the first African leader to appoint women to major cabinet positions and to recruit them actively for the military. [6]

Sankara's administration was also the first African government to publicly recognize the AIDS epidemic as a major threat to Africa. [16]

Second Agacher strip war

In 1985, Burkina Faso organised a general population census. During the census, some Fula camps in Mali were visited by mistake by Burkinabé census agents. [17] The Malian government claimed that the act was a violation of its sovereignty on the Agacher strip. Following efforts by Mali asking African leaders to pressure Sankara, [17] tensions erupted on Christmas Day 1985 in a war that lasted five days and killed about 100 people (most victims were civilians killed by a bomb dropped on the marketplace in Ouahigouya by a Malian MiG plane). The conflict is known as the "Christmas war" in Burkina Faso.

Personal Image and Popularity

Accompanying his personal charisma, Sankara had an array of original initiatives that contributed to his popularity and brought some international media attention to the Burkinabé revolution:

Solidarity

He sold off the government fleet of Mercedes cars and made the Renault 5 (the cheapest car sold in Burkina Faso at that time) the official service car of the ministers. He reduced the salaries of all public servants, including his own, and forbade the use of government chauffeurs and 1st class airline tickets. He redistributed land from the feudal landlords and gave it directly to the peasants. Wheat production rose in three years from 1700 kg per hectare to 3800 kg per hectare, making the country food self-sufficient. [6]

He opposed foreign aid, saying that "he who feeds you, controls you." [6]

He spoke in forums like the Organization of African Unity against continued neo-colonialist penetration of Africa through Western trade and finance. [6]

He called for a united front of African nations to repudiate their foreign debt. He argued that the poor and exploited did not have an obligation to repay money to the rich and exploiting. [6]

In Ouagadougou, Sankara converted the army's provisioning store into a state-owned supermarket open to everyone (the first supermarket in the country). [1]

He forced civil servants to pay one month's salary to public projects. [1]

He refused to use the air conditioning in his office on the grounds that such luxury was not available to anyone but a handful of Burkinabes. [7]

As President, he lowered his salary to $450 a month and limited his possessions to a car, four bikes, three guitars, a fridge and a broken freezer. [7]

Style

A motorcyclist himself, he formed an all-women motorcycle personal guard. He required public servants to wear a traditional tunic, woven from Burkinabe cotton and sewn by Burkinabe craftsmen. [6]

He was known for jogging unaccompanied through Ouagadougou in his track suit and posing in his tailored military fatigues, with his mother-of-pearl pistol. [1]

When asked why he didn't want his portrait hung in public places, as was the norm for other African leaders, Sankara replied "There are seven million Thomas Sankaras." [7]

An accomplished guitarist, he wrote the new national anthem himself. [1]

"Africa's Che Guevara" "

Che Guevara taught us we could dare to have confidence in ourselves, confidence in our abilities. He instilled in us the conviction that struggle is our only recourse. He, was a citizen of the free world that together we are in the process of building. That is why we say that Che Guevara is also African and Burkinabè. "

- Thomas Sankara [15]

Children "pioneers" of the Revolution, donning starred berets like Che.

Sankara, who is often referred to as "Africa's Che Guevara", [1] emulated Guevara (1928–1967) in both style and substance. Stylistically, Sankara emulated Guevara by preferring to wear a starred beret and military fatigues, living ascetically with few possessions, and keeping a minimal salary once assuming power. Both men also considered themselves allies of Fidel Castro (Sankara was visited by Castro in 1987), spoke fluent French, are well known for having ridden motorcycles, and are often cited as effectively utilizing their charisma to motivate their followers. Substantively, Guevara and Sankara were both Marxist revolutionaries, who believed in armed revolution against imperialism and monopoly capitalism, denounced financial neo-colonialism before the United Nations, held up agrarian land reform and literacy campaigns as key parts of their agenda, and utilized revolutionary tribunals and CDR's against counter-revolutionaries. Both men were also murdered in their late thirties (Guevara 39 / Sankara 38) by opponents, with Sankara coincidentally giving a speech marking and honoring the 20th anniversary of Che Guevara's October 9, 1967 execution, one week before his own assassination on October 15, 1987. [18]

Assassination

"Sankara's assassins were guided by imperialism, which could not allow a man with the ideas and actions of Sankara to lead a country on a continent so exploited for hundreds of years by international imperialism, colonialism, and neocolonial governments that do their bidding. Sankara's political ideas will endure, like those of Patrice Lumumba of Congo and Amílcar Cabral of Guinea-Bissau, also assassinated by traitors at the behest of the empire."

- Ulises Estrada, a key organizer of Che Guevara's 1966-67 guerrilla mission to Bolivia [19]

On October 15, 1987 Sankara was killed by an armed gang with twelve other officials in a coup d'état organised by his former colleague, Blaise Compaoré, supported by France and United States of America [citation needed] . Deterioration in relations with neighbouring countries was one of the reasons given, with Compaore stating that Sankara jeopardised foreign relations with former colonial power France and neighbouring Ivory Coast. [1] Prince Johnson, a former Liberian warlord allied to Charles Taylor, told Liberia's Truth and Reconciliation Commission (TRC) that it was engineered by Charles Taylor. [20] After the coup and although Sankara was known to be dead, some CDRs mounted an armed resistance to the army for several days.

Sankara's body was dismembered and he was quickly buried in an unmarked grave, [6] while his widow and two children fled the nation. [21]

Compaoré immediately reversed the nationalizations, overturned nearly all of Sankara's policies, rejoined the International Monetary Fund and World Bank to bring in desperately needed funds to restore the "shattered" economy [22] , and ultimately spurned most of Sankara's legacy.

A week prior to his death Sankara gave what would become his own epitaph, remarking that "while revolutionaries as individuals can be murdered, you cannot kill ideas." [1]

Legacy

"Africa and the world are yet to recover from Sankara's assassination. Just as we have yet to recover from the loss of Patrice Lumumba, Kwame Nkrumah, Eduardo Mondlane, Amílcar Cabral, Steve Biko, Samora Machel, and most recently John Garang, to name only a few. While malevolent forces have not used the same methods to eliminate each of these great pan-Africanists, they have been guided by the same motive: to keep Africa in chains."

- Antonio de Figueiredo, February 2008 [11]

Twenty years later, on October 15, 2007, Thomas Sankara was commemorated around the world in ceremonies that took place in Burkina Faso, Mali, Senegal, Niger, Tanzania, Burundi, France, Canada, and the USA. [7]

References

1. Burkina Faso Salutes "Africa's Che" Thomas Sankara by Mathieu Bonkoungou, Reuters, Oct 17 2007 2. Thomas Sankara Speaks: the Burkina Faso Revolution: 1983-87, by Thomas Sankara, edited by Michel Prairie; Pathfinder, 2007, pg 11 3. Thomas Sankara, Africa's Che Guevara by Radio Netherlands Worldwide, October 15, 2007 4. Africa's Che Guevara by Andy Newman, Socialist Unity, October 23, 2007 5. Africa's Che Guevara by Sarah in Burkina Faso 6. Thomas Sankara: The Upright Man by California Newsreel 7.

Commemorating Thomas Sankara by Farid Omar, Group for Research and Initiative for the Liberation of Africa (GRILA), November 28, 2007 8. BBC NEWS | Africa | Burkina commemorates slain leader 9. [1] [2] 10. Thomas Sankara Speaks: the Burkina Faso Revolution: 1983-87, by Thomas Sankara, edited by Michel Prairie; Pathfinder, 2007, pg 20-21 11. The True Visionary Thomas Sankara by Antonio de Figueiredo, February 27, 2008 12. We are Heirs of the World's Revolutions: Speeches from the Burkina Faso Revolution: 1983-87, by Thomas Sankara, Pathfinder, 2007, ISBN 0-87348-989-6 13. The date may have been chosen for a symbolic purpose as the 194th anniversary of the Abolition of Feudal Privileges in France, but there is no evidence. 14. Chad was at war with Libya. France was providing air support to Chad. According to some witnesses some French troops were involved in ground operations. 15. "We are Heirs of the World's Revolutions": Lessons from Thomas Sankara by Akinyemi Adeseye, May 15, 2010 16. HIV/AIDS, illness, and African well-being, by Toyin Falola & Matthew M. Heaton, University Rochester Press, 2007, ISBN 1-58046-240-5, pg 290 17. Bryant, Terry (2007). History's Greatest War. Global Media. 18. Sankara 20 years Later: A Tribute to Integrity by Demba Moussa Dembélé, Pambazuka News, October 15, 2008 19. "We are heirs of the world's revolutions": Lessons from Thomas Sankara by Akinyemi Adeseye, May 5, 2010 20. US freed Taylor to overthrow Doe, Liberia's TRC hears 21. Sankara v. Burkina Faso by the Canadian Council on International Law, March 2007 22. Mason, Katrina &, Knight, James (2011). Burkina Faso, 2nd. The Globe Pequot Press Inc.. ISBN 9781841623528. pg 31 23. DVD Review of Thomas Sankara: The Upright Man directed by Robin Shuffield

1. Burkina Faso Salutes "Africa's Che" Thomas Sankara by Mathieu Bonkoungou, Reuters, Oct 17 2007 2. Thomas Sankara Speaks: the Burkina Faso Revolution: 1983-87, by Thomas Sankara, edited by Michel Prairie; Pathfinder, 2007, pg 11 3. Thomas Sankara, Africa's Che Guevara by Radio Netherlands Worldwide, October 15, 2007 4. Africa's Che Guevara by Andy Newman, Socialist Unity, October 23, 2007 5.

Africa's Che Guevara by Sarah in Burkina Faso 6. Thomas Sankara: The Upright Man by California Newsreel 7. Commemorating Thomas Sankara by Farid Omar, Group for Research and Initiative for the Liberation of Africa (GRILA), November 28, 2007 8. BBC NEWS | Africa | Burkina commemorates slain leader 9. [1] [2] 10. Thomas Sankara Speaks: the Burkina Faso Revolution: 1983-87, by Thomas Sankara, edited by Michel Prairie; Pathfinder, 2007, pg 20-21 11. The True Visionary Thomas Sankara by Antonio de Figueiredo, February 27, 2008 12. We are Heirs of the World's Revolutions: Speeches from the Burkina Faso Revolution: 1983-87, by Thomas Sankara, Pathfinder, 2007, ISBN 0-87348-989-6 13. The date may have been chosen for a symbolic purpose as the 194th anniversary of the Abolition of Feudal Privileges in France, but there is no evidence. 14. Chad was at war with Libya. France was providing air support to Chad. According to some witnesses some French troops were involved in ground operations. 15. "We are Heirs of the World's Revolutions":

Lessons from Thomas Sankara by Akinyemi Adeseye, May 15, 2010 16. HIV/AIDS, illness, and African well-being, by Toyin Falola & Matthew M. Heaton, University Rochester Press, 2007, ISBN 1-58046-240-5, pg 290 17. Bryant, Terry (2007). History's Greatest War. Global Media. 18. Sankara 20 years Later: A Tribute to Integrity by Demba Moussa Dembélé, Pambazuka News, October 15, 2008 19. "We are heirs of the world's revolutions": Lessons from Thomas Sankara by Akinyemi Adeseye, May 5, 2010 20. US freed Taylor to overthrow Doe, Liberia's TRC hears 21. Sankara v. Burkina Faso by the Canadian Council on International Law, March 2007 22. Mason, Katrina &, Knight, James (2011). Burkina Faso, 2nd. The Globe Pequot Press Inc.. ISBN 9781841623528. pg 31 23. DVD Review of Thomas Sankara: The Upright Man directed by Robin Shuffield.

Source: Wikipedia
 
Watu wa aina hii huwa wanaondolewa madarakani na kuuwawa ili lilinda western vested interest in Africa. Kumbuka akina Lumumba, Nkurumah, Gadaffi etc. Ni Mwalimu tu ndiye walimshindwa licha ya kutokea majaribio zaidi ya 8 YA KUTAKA KUPINDUA utawala wake....:hat:
 
Watu wa aina hii huwa wanaondolewa madarakani na kuuwawa ili lilinda western vested interest in Africa. Kumbuka akina Lumumba, Nkurumah, Gadaffi etc. Ni Mwalimu tu ndiye walimshindwa licha ya kutokea majaribio zaidi ya 8 YA KUTAKA KUPINDUA utawala wake....:hat:

Kwenye list yako hiyo mwondoe Gadaffi huyo alikuwa dictator muuaji Mkubwa sana.
 
Thomas sankara R.I.P. John garang RIP, HAWA NDIO WAZALENDO WA KWELI, sio hawa wanasiasa wetu, wabunge wala rushwa.
 
thomas-sankara-discourant1.jpg
The Late Captain. Thomas Noel Isidore Sankara
"All I want is people to remember me as someone whose life has been helpful to humanity"​


Exactly twenty five years to date, we remember a true African son....Captain. Thomas Noel Isidore Sankara who lived a simple life and true to his words.

Thomas Sankara , was an African revolutionist from Burkina Faso known to the world as ''The African Che'. He was born on 21 December 1949 and died the 15 of October 1987.was a captain, leader of the burkina Faso Revolution who fought against corruption, averting famine, promoting environmental factors, making education and health the first priorities as Barack Obama.

In 1976,Sankara with a group of commander officers of the commando training center in Pô formed a secret Organisation during the presidency of Colonel Saye Zerbo, known as a the "Communist Officers' Group" (Regroupement des officiers communistes, or ROC)formed by: Henri Zongo, Jean-Baptiste Boukary Lingani, Compaoré and Sankara.

In 1981, He was appointed Secretary of State for Information in the military government.attending to his first cabinet meeting on a bicycle, but he resigned on April 21, 1982 in opposition when he realized that the government was corrupt, which he saw as the regime's anti-labour drift, declaring "Misfortune to those who gag the people!" ("Malheur à ceux qui baillonnent le peuple!")

He will become Prime Minister on November 7, 1982, under the government of Major-Doctor Jean-Baptiste Ouédraogo, but soon will be dismissed on May 17 and placed under house arrest after a visit by the French president's son and African affairs adviser Jean-Christophe Mitterrand. Henri Zongo and Jean-Baptiste Boukary Lingani were also placed under arrest; this will cause a popular uprising.

later on, with the support of the army,the people of Burkina Faso and Libya. they will come to power in a popular coup masterminded by Blaise Compaore'on August 4,1983,where Sankara will become President at the Age of 33 due to his personal charisma and vision.

While in power, he outlawed female genital mutilation, forced marriages, and polygamy and was the first African leader to appoint women to major cabinet positions and actively recruit them for the military. A motorcyclist himself, he formed an all-woman motorcycle personal guard.

He encouraged women to work outside the home and stay in school even if pregnant.

He launched a nation-wide public health ‘Vaccination Commando’ a state run program that in a period of only 15 days in early November 1984, completed the immunization of 2.5 million children against meningitis (a world record), yellow fever and measles. This operation was so successful in that children in neighbouring countries like the Ivory Coast and Mali were sent to Burkina Faso for free immunization that helped curtail high rates of infant and child mortality.

He sold off the government fleet of Mercedes cars and made the Renault 5 (the cheapest car sold in Burkina Faso at that time) the official service car of the ministers. He lowered his salary, as President, to only $450 a month and limited his possessions to a car, four bikes, three guitars, and a refrigerator.

He planted over ten million trees to halt the growing desertification of the Sahel and established an ambitious road and rail construction program to “tie the nation together.”

He was known for jogging unaccompanied through the capital city in his track suit and posing in his tailored military fatigues with his mother-of-pearl pistol. And when asked why he didn’t want his portrait hung in public places, as was the norm for other African leaders, he said ”there are seven million Thomas Sankaras.”

Sankara’s revolutionary policies for self-reliance and defiance against the neoliberal development strategies imposed by the West made him an icon to many supporters of African liberation. But his policies alienated and antagonized the vested interests of the small but powerful Burkinabe middle class, the tribal leaders who he stripped of the traditional right to forced labor and tribute payments, and the foreign financial interests in France and their ally Ivory Coast.

On October 15, 1987 Sankara was killed by an armed militia of twelve officials in a coup d’état organized by Compaore. Sankara’s body was dismembered and buried in an unmarked grave. Compaore immediately took power, overturning most of Sankara’s policies. Compaore reportedly ousted Sankara because he believed that his revolutionary policies were jeopardizing Burkina Faso’s relationship with France and Ivory Coast. Compaoré immediately reversed the nationalizations,overturned nearly all of Sankara's policies, returned the country back under the IMF fold, and ultimately spurned most of Sankara's legacy. A week prior to his death Sankara gave what would become his own epitaph, remarking that "while revolutionaries as individuals can be murdered, you cannot kill ideas." Sankara and Compaore were not only colleagues, they were childhood friends.

sankara compaore.jpg
Capt. Sankara (Fisrt right)and his childhood friend Blaise Compaore (Far Left)​

In 2010, a short video documentary Thomas Sankara: The Upright Manwas made. You can watch it via youtube by clicking the link.

Gone but not forgotten, rest in peace Captain. Homeland or Death, We Will Win...


Theodros.
 
The revolutionary leader wa Burkina Faso from 1983-1987.

Nakumbuka moja ya misemo yake kipindi hicho ni " Ideas cannot be killed, ideas never die " He was one of the first heads of state to condemn female genital mutilation.

Alipigana kuondoa unyonyaji, ugandamizwaji, na rushwa pia. Today, all of his ideas have become self evident truths and are at the heart of popular resistance movement!

R.I.P COMMANDER
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom