Thomas Sankara (1949-1987) - Muasisi wa taifa la Burkina Faso

Wakati rafiki yake Blaise Compaore (Rais wa sasa wa Burkina Faso - Wakati huo Upper Volta) akipanga kuipindua serikali yake na kumuua Thomas Isidore Noel Sankara, kuna mtu alikwenda akamwambia kwamba rafiki yako Compaore anapanga kukuua na kuipindua serikali yako. Sankara alitamka maneno yaha:"While revolutionaries as individuals can be murdered, you cannot kill ideas".

Historia ya Sankara na Compaore inathibitisha kwamba katika kusaka mamlaka hakuna urafiki.
AshaDii huyu Sankara ni kiongozi ambaye nilikuwa nampenda na bado yupo moyoni mwangu. Ni kiongozi wa kupigiwa mfano miongoni mwa viongozi wa Afrika.
 
Wakati rafiki yake Blaise Compaore (Rais wa sasa wa Burkina Faso - Wakati huo Upper Volta) akipanga kuipindua serikali yake na kumuua Thomas Isidore Noel Sankara, kuna mtu alikwenda akamwambia kwamba rafiki yako Compaore anapanga kukuua na kuipindua serikali yako. Sankara alitamka maneno yaha:"While revolutionaries as individuals can be murdered, you cannot kill ideas".

Historia ya Sankara na Compaore inathibitisha kwamba katika kusaka mamlaka hakuna urafiki.
AshaDii huyu Sankara ni kiongozi ambaye nilikuwa nampenda na bado yupo moyoni mwangu. Ni kiongozi wa kupigiwa mfano miongoni mwa viongozi wa Afrika.


Shukrani Kimbunga... So far nilikuwa sijui lolote juu ya jamaa, najua naweza enda google na kupata information kamili (which I will do eventually). Ila kuna kitu unaweza nijibu; kwa mtazamo wako kama tayari alikuwa warned kuwa anataka kupinduliwa kwa nini hakujipanga? Ama alijipanga kila Compaore was more powerful? Au na yeye nafasi aliipata nafasi kwa kupindua pia? Nimependa the quote, nice one.
 
Wakati rafiki yake Blaise Compaore (Rais wa sasa wa Burkina Faso - Wakati huo Upper Volta) akipanga kuipindua serikali yake na kumuua Thomas Isidore Noel Sankara, kuna mtu alikwenda akamwambia kwamba rafiki yako Compaore anapanga kukuua na kuipindua serikali yako. Sankara alitamka maneno yaha:"While revolutionaries as individuals can be murdered, you cannot kill ideas".

Historia ya Sankara na Compaore inathibitisha kwamba katika kusaka mamlaka hakuna urafiki.
AshaDii huyu Sankara ni kiongozi ambaye nilikuwa nampenda na bado yupo moyoni mwangu. Ni kiongozi wa kupigiwa mfano miongoni mwa viongozi wa Afrika.

Nilikuwa najiuliza mara nyingi katika avatar yako ni nani? Leo nimepata jibu. Asante kwa maelezo haya...
 
Thomas Isidore Noel Sankara alikuwa ni mjeshi wa cheo cha kapteni, enzi hizo kulikuwa na mapindizi mengi tu Afrika hivyo tulikuwa tumezoewa kusikia waliopinduwa ni majenelali hasa Nigeria gafra junior officer na NCO`s nao wakaanza kupindua serikasli zao mfano huyu Kapteni Sankara, Kapteni Valentine Esegragbo Melvine Strasser alipindua huko inchini sierra Leone, pia yumo sajenti Samwel Kanyon Doe alipindua Liberia.

La msingi Kapteni Sankara alipindua serikali ya kiraia ya iliyokuwa UPPER VORTA chini ya rais Moktal Al-Daddah na alimwua huyu mzee hatimae naye akapinduliwa na huyo rafiki yake na aliuwawa pia, ni yeye aliyebadilisha jina la inchi na kuita Barkina Fasso, pia Ikulu ya inchi hiyo inasemekana ilikuwa ina ghorofa na yeye alikuwa ghorofani , alipopata habari za mapinduzi alijitahidi kushuka gharofani ili akimbie lakini alikamatwa mlangoni akauwawa

Hicho mimi ninachokumbuka kuhusu Kapteni Thomas Sankara miaka ya themanini.
 
Shukrani Kimbunga... So far nilikuwa sijui lolote juu ya jamaa, najua naweza enda google na kupata information kamili (which I will do eventually). Ila kuna kitu unaweza nijibu; kwa mtazamo wako kama tayari alikuwa warned kuwa anataka kupinduliwa kwa nini hakujipanga? Ama alijipanga kila Compaore was more powerful? Au na yeye nafasi aliipata nafasi kwa kupindua pia? Nimependa the quote, nice one.

Mkuu AshaDii , Compaore na Sankara walikuwa marafiki. Compaore aliongoza mapinduzi na kumuingiza Sankara madarakani. Sankara akawa mzalendo kuliko walivyokuwa wakidhani wao kwamba ni kuingia Ikulu na kuanza kunyonya. Wanajeshi wenzake (akiwemo Compaore) wakamchukia ndio Compaore akaanda mapinduzi mengine ya kumuondoa Sankara na kukaa yeye. Of course Compaore was powerful in the army circles.

Kwa mambo aliyokuwa akiyafanya aliamini kuwa yuko sahihi na hakuna wakumpindua. Hata alipoambiwa kwamba Compaore anajiandaa kumpindua alipuuzia tu na kutoa hiyo kauli akiamini kwamba hata akifa ideas zake zitabaki na kweli zimebaki na mimi zinagonga kichwani mwangu kila kukicha. Natamani atokee mtu mmoja katika nchi yoyote ya Afrika awe kama Sankara. Hizo kwa sasa naona ni njozi!

Ila Sankara anabaki kwenye historia kama kiongozi mzalendo katika Afrika.
 
Nilikuwa najiuliza mara nyingi katika avatar yako ni nani? Leo nimepata jibu. Asante kwa maelezo haya...

Mkuu Katavi unaonekana wewe ni wa dotcom manake sisi wa stencil na kuburuza (sijui kama unajua haya?) ukiona tu hiyo kombati unajua huyu ni Thomas Sankara. Enzi hizo Afrika ilikuwa ikiongoza kwa mapinduzi mengine mazuri mengine mabaya!
 
Last edited by a moderator:
Thomas Isidore Noel Sankara alikuwa ni mjeshi wa cheo cha kapteni, enzi hizo kulikuwa na mapindizi mengi tu Afrika hivyo tulikuwa tumezoewa kusikia waliopinduwa ni majenelali hasa Nigeria gafra junior officer na NCO`s nao wakaanza kupindua serikasli zao mfano huyu Kapteni Sankara, Kapteni Valentine Esegragbo Melvine Strasser alipindua huko inchini sierra Leone, pia yumo sajenti Samwel Kanyon Doe alipindua Liberia.

La msingi Kapteni Sankara alipindua serikali ya kiraia ya iliyokuwa UPPER VORTA chini ya rais Moktal Al-Daddah na alimwua huyu mzee hatimae naye akapinduliwa na huyo rafiki yake na aliuwawa pia, ni yeye aliyebadilisha jina la inchi na kuita Barkina Fasso, pia Ikulu ya inchi hiyo inasemekana ilikuwa ina ghorofa na yeye alikuwa ghorofani , alipopata habari za mapinduzi alijitahidi kushuka gharofani ili akimbie lakini alikamatwa mlangoni akauwawa

Hicho mimi ninachokumbuka kuhusu Kapteni Thomas Sankara miaka ya themanini.

Mkuu aliyeendesha mapinduzi alikuwa Compaore.
 
Mie naomba Kimbunga na SHERRIF ARPAIO waje watupe darasa in courtesy of their avatars hapa at Jf...
Huyu Captain Thomas Sankara was the true son of Africa. Namzimia sana na kama Africa ingepata heads of state kama huyu na Kagame basi hata China ingekuwa iko nyuma sana kwa Africa. France kwa kushirikiana na rais wa sasa wa Burkina Faso walimwuua huyu bwana in 1987. Mola akinijalia kupata mtoto (son) asi nitamwita Sankara.

Thomas Isidore Noël Sankara (December 21, 1949 – October 15, 1987) was a Burkinabé military captain, Marxist revolutionary, Pan-Africanist theorist, and President of Burkina Faso from 1983 to 1987.[SUP][1][/SUP][SUP][2][/SUP] Viewed as a charismatic and iconic figure of revolution, he is commonly referred to as "Africa's Che Guevara".[SUP][1][/SUP][SUP][3][/SUP][SUP][4][/SUP][SUP][5][/SUP]

Sankara seized power in a 1983 popularly supported coup at the age of 33, with the goal of eliminating corruption and the dominance of the former French colonial power.[SUP][1][/SUP][SUP][6][/SUP] He immediately launched the most ambitious program for social and economic change ever attempted on the African continent.[SUP][6][/SUP] To symbolize this new autonomy and rebirth, he even renamed the country from the French colonial Upper Volta to Burkina Faso ("Land of Upright Men").[SUP][6][/SUP] His foreign policies were centered around anti-imperialism, with his government eschewing all foreign aid, pushing for odious debt reduction, nationalizing all land and mineral wealth, and averting the power and influence of the International Monetary Fund (IMF) and World Bank
However his policies alienated and antagonised the vested interests of an array of groups, which included the small but powerful Burkinabé middle class, the tribal leaders whom he stripped of the long-held traditional right to forced labour and tribute payments, and the foreign financial interests in France and their ally the Ivory Coast.[SUP][1][/SUP][SUP][8][/SUP] As a result, he was overthrown and assassinated in a coup d'état led by the French-backed Blaise Compaoré on October 15, 1987. A week before his murder, he declared: "While revolutionaries as individuals can be murdered, you cannot kill ideas."[SUP][1][/SUP][SUP]Wikipedia[/SUP]
 
Mie naomba Kimbunga na SHERRIF ARPAIO waje watupe darasa in courtesy of their avatars hapa at Jf...

Accompanying his personal charisma, Sankara had an array of original initiatives that contributed to his popularity and brought some international media attention to the Burkinabé revolution:


  • He sold off the government fleet of Mercedes cars and made the Renault 5 (the cheapest car sold in Burkina Faso at that time) the official service car of the ministers.
  • He reduced the salaries of all public servants, including his own, and forbade the use of government chauffeurs and 1st class airline tickets.
  • He redistributed land from the feudal landlords and gave it directly to the peasants. Wheat production rose in three years from 1700 kg per hectare to 3800 kg per hectare, making the country food self-sufficient.[SUP][6][/SUP]
  • He opposed foreign aid, saying that "he who feeds you, controls you."[SUP][6][/SUP]
  • He spoke in forums like the Organization of African Unity against continued neo-colonialist penetration of Africa through Western trade and finance.[SUP][6][/SUP]
  • He called for a united front of African nations to repudiate their foreign debt. He argued that the poor and exploited did not have an obligation to repay money to the rich and exploiting.[SUP][6][/SUP]
"Thomas knew how to show his people that they could become dignified and proud through will power, courage, honesty and work. What remains above all of my husband is his integrity."


- Mariam Sankara, Thomas' widow [SUP][1][/SUP]​


  • In Ouagadougou, Sankara converted the army's provisioning store into a state-owned supermarket open to everyone (the first supermarket in the country).[SUP][1][/SUP]
  • He forced civil servants to pay one month's salary to public projects.[SUP][1][/SUP]
  • He refused to use the air conditioning in his office on the grounds that such luxury was not available to anyone but a handful of Burkinabes.[SUP][7][/SUP]
  • As President, he lowered his salary to $450 a month and limited his possessions to a car, four bikes, three guitars, a fridge and a broken freezer.[SUP][7][/SUP]
  • A motorcyclist himself, he formed an all-women motorcycle personal guard.
  • He required public servants to wear a traditional tunic, woven from Burkinabe cotton and sewn by Burkinabe craftsmen.[SUP][6][/SUP]
  • He was known for jogging unaccompanied through Ouagadougou in his track suit and posing in his tailored military fatigues, with his mother-of-pearl pistol.[SUP][1][/SUP]
  • When asked why he didn't want his portrait hung in public places, as was the norm for other African leaders, Sankara replied "There are seven million Thomas Sankaras."[SUP][7][/SUP]
  • An accomplished guitarist, he wrote the new national anthem himself.[SUP][1][/SUP]
"Africa's Che Guevara"

"
Che Guevara taught us we could dare to have confidence in ourselves, confidence in our abilities. He instilled in us the conviction that struggle is our only recourse. He, was a citizen of the free world that together we are in the process of building. That is why we say that Che Guevara is also African and Burkinabè

Wikipedia
 
Sankara, who is often referred to as "Africa's Che Guevara", emulated Guevara (1928–1967) in both style and substance. Stylistically, Sankara emulated Guevara by preferring to wear a starred beret and military fatigues, living ascetically with few possessions, and keeping a minimal salary once assuming power.

Both men also considered themselves allies of Fidel Castro (Sankara was visited by Castro in 1987), are well known for having ridden motorcycles, and are often cited as effectively utilizing their charisma to motivate their followers. Substantively, Guevara and Sankara were both Marxist revolutionaries, who believed in armed revolution against imperialism and monopoly capitalism, denounced financial neo-colonialism before the United Nations, held up agrarian land reform and literacy campaigns as key parts of their agenda, and utilized revolutionary tribunals and CDR's against counter-revolutionaries.

Both men were also murdered in their late thirties (Guevara 39 / Sankara 38) by opponents, with Sankara coincidentally giving a speech marking and honoring the 20th anniversary of Che Guevara's October 9, 1967 execution, one week before his own assassination on October 15, 1987.[SUP]
Wikipedia[/SUP]
 
Mie naomba Kimbunga na SHERRIF ARPAIO waje watupe darasa in courtesy of their avatars hapa at Jf...
Assasination:

On October 15, 1987 Sankara was killed by an armed gang with twelve other officials in a coup d'état organised by his former colleague, Blaise Compaoré. Deterioration in relations with neighbouring countries was one of the reasons given, with Compaore stating that Sankara jeopardised foreign relations with former colonial power France and neighbouring Ivory Coast. Prince Johnson, a former Liberian warlord allied to Charles Taylor, told Liberia's Truth and Reconciliation Commission (TRC) that it was engineered by Charles Taylor. After the coup and although Sankara was known to be dead, some CDRs mounted an armed resistance to the army for several days.

Sankara's body was dismembered and he was quickly buried in an unmarked grave, while his widow and two children fled the nation. Compaoré immediately reversed the nationalizations, overturned nearly all of Sankara's policies, rejoined the International Monetary Fund and World Bank to bring in funds to restore the "shattered" economy, and ultimately spurned most of Sankara's legacy.

A week prior to his death Sankara gave what would become his own epitaph, remarking that "while revolutionaries as individuals can be murdered, you cannot kill ideas."[SUP]
Wikipedia[/SUP]
 
SHERRIF ARPAIO

wewe na Kimbunga

u deserve to have his book ...u will enjoy a lot from his ideas,indepth interviews He made with various journalists, his speeches very interesting...

kuna speech yake maarufu alitoa mbele ya viongozi wa AU s akisisitiza kuungana kwa nchi za kiafrika kutolipa madeni
united front against debts...he said ,one of the excerpts" DEBT IS NEO-COLONIALISM IN WHICH COLONIZERS TRANSFORMED THEMSELVES INTO TECHNICAL ASSISTANTS" and he continued saying "we should better say TECHNICAL ASSASSINS and not TECHNICAL ASSISTANTS"

mwanzoni aliwapiga madongo viongozi wa kiafrika waliokuwa watoro wa kuhudhuria mikutano muhimu ya OAU lakini wakiitwa washngton au Paris kwenye mikutano wanakimbilia huko kwa kasi ya ajabu.
mwishoni alinifurahisha aliposisitiza umuhimu wa kujitegemea pale aliposema yeye na ujumbe wake wote wamevaa mavazi yalitengenezwa Burkinafaso kwa pamba ya burkinafaso na akasema anajisikia fahari kwa hilo.



kuna moja ya speech yake maarufu mbele ya rais mitterrand
 
Last edited by a moderator:
Mie naomba Kimbunga na SHERRIF ARPAIO waje watupe darasa in courtesy of their avatars hapa at Jf...

In 1983 Thomas Sankara an army captain came to power in a coup in Upper Volta. Sankara renamed the country Burkina Faso, Land of the Upright Man. The country, a small poor land locked African country was once a French Colony. It has one of the lowest GDP per capita in the world and at the time its only industry was to supply labour to neighbouring Côte d'Ivoire.

Unlike other African tyrants after a coup, he disdained wealth and didn't want his portrait hanged in public places. He reduced his own wage and as well as the wages of public officials and traded in the government's fleet of Mercedes for Renault Le Cars.
 
Thomas Sankara: A selfless and incorruptible leader with a proud legacy


Immediately after taking over the reins, Sankara auctioned off the German luxury vehicles that made up the fleet of the ruling elite. He embarrassed and angered these wabenzi – Swahili for ‘the people of the Mercedes Benz' – by replacing their flashy wheels with the modest Renault 5, at the time the cheapest model in the country. Back in present-day South Africa, government ministers continue to justify their extravagant spending on expensive cars – fitted with all the luxurious accessories – by quoting the ministerial handbook. This despite the fact that last year there was a public outcry against such excesses.

The ministerial handbook – "a guideline for benefits and privileges, to which Members and their families are entitled, in the execution of their duties" – lists a substantial number of extravagant travel benefits, those pertaining to motor transport and air travel being most prominent. But it is difficult to take this seriously considering that politicians who have been exposed to lavish lifestyles often point at the handbook to justify their actions. What clouds the issue is that the handbook is supposed to be a "confidential" document – thus not open to public scrutiny despite the fact that public funds are at the centre of the lavish spending in a country with a government preaching transparency.

It seems to be a case of sheer double standards. In a country where the ruling elite created a wide chasm between itself by making empty promises but practising self-enrichment in classic Orwellian style, Sankara identified himself fully with his fellow countrymen and women – the majority of whom were poor, uneducated and exploited. He refused to put his image in public places and official buildings, arguing that "there are millions of Thomas Sankaras in Burkina Faso" – a name he personally chose for his country because he envisioned it as the land of the incorruptible or honourable men, which is what Burkina Faso means.

He shunned luxuries such as air conditioning in his office because he said such a luxury was not available to the average Burkinabes. He lowered his presidential salary to a pittance and confined his ascetic lifestyle to the bare necessities. Although Sankara's exemplary, inexpensive lifestyle, pro-poor reforms and courageous people-centred leadership didn't go down well with his colleagues, who finally assassinated him after four years in office, his legacy is a shining example to all leaders everywhere in the world – particularly in developing economies.
"Thomas knew how to show his people that they could become dignified and proud through will power, courage, honesty and work," Sankara's wife, Mariam, said after his death. "What remains above all of my husband is his integrity."
By the time you read this, the "toilet elections" will be history. But following the debacle over open toilets – using the plight of the poor as a political football to score cheap electoral points – one finds it hard to identify a leader within the ruling party with the type of integrity attributed to Thomas Sankara.
Source : The Afropolitan Magazin Thomas Sankara: A selfless and incorruptible leader with a proud legacy | The Afropolitan
 
tumblr_m3bho6YzuG1r9fjt7o1_500.jpg


tumblr_m2tu5mBxd11qlrl72o1_250.jpg


tumblr_m20h27aAL61qi3ir5o1_500.jpg
 
Mkuu SHERRIF ARPAIO kila nikiona hizi picha na maandiko yanayomhusu Thomas Sankara huwa machozi yananitoka na kisha kuwa na hasira zisizomithilika dhidi ya Balaise Compaore ambaye hadi sasa anaiongoza Burkina Faso.

Lakini pia huwa najipa moyo kwa kuwakumbuka wanamapinduzi wengine ambao waliingia madarakani hapa Afrika wakiwa na mioyo ya kizalendo lakini baaday ya kukaa madarakani kwa muda mrefu wakajisahau na kugeuka kuwa mabaradhuri.

Sijui kam Tom naye angegeuka ila yote kheri tu ni mpango wa Mungu kumleta, akafanya alichokifanya ambacho hadi leo kimebaki vichwani mwetu na kisha kumchukua.
 
Last edited by a moderator:
Marehemu Cap Thomas Sankara ni mmoja kati ya wana mapinduzi wachache ambao Africa imewahi kuwapata. Wengine ni Kwame Krumah, Patrick Lumumba, Amilcar Cabral, Marieni Ngouabi, Julius Nyerere, Samora Machel, Robert Mugabe, Nelson Mandela, na Jerry Rawlings.

Thomas Sankara 3.jpg


Ebu sikiliza hotuba yake hapa kwa kifaransa: Socialist revolutionary leader of Burkina Faso, (1983-1987) Thomas Sankara's speech to the African Unity Organisation Summit of 1987, in which he calls for his country to refuse to pay debts to international imperialist powers. Iko na english subtitles, hotuba bado applicable hadi ktk mazingira ya leo ktk nchi nyingi za kiafrika, pamoja na Tanzania.

 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom