Calnde
JF-Expert Member
- Oct 7, 2008
- 1,373
- 277
No one doubt over importance of UDSM in biulding this nation,neither do I.Nowdays there are going stories around overt this university which some of them are true though many are exaggerated.
Hata hivyo still management under Mukandala imeprove failure to large extent.
1 Ulinzi kwa wanafunzi hasa wale international imekuwa issue.Siku za karibuni wamekuwa wakivamiwa mno.Pale wapo wanaoitwa auxilliary police though kwa kweli presence yao naweza kuifananisha as too ceremonial.Hawana dhana za kuwasaidia kiasi kwamba vibaka wanawazidi nguvu!
2 Maji yamekuwa yakikatika bila taarifa maalumu kwa siku nzima hasa ukizingatia kuwa Dar hii joto ndo nyumbani kwake!
3 Uongozi wa DARUSO umeingiliwa na management kiasi kwamba ni kama vile haupo!Imagine juzi umefanyika uchaguzi watu 1000 tuu over over 15,000 peple ndo wamevote!
4 Miundo mbinu ni mibovu mno kiasi kwamba haiwezi kukidhi namba kubwa ya watu.Katika hili malazi yamekuwa issue kiasi kwamba kitanda cha mtu mmoja wanalala wawili.Hapa waderns ndo wanapatia ulaji maana first year wana wanaporipot after two weeks kama hawajalipia fedha za chumba wanauza tena kwa bei ya juu mno!
Changamoto ni nyingi mno though kwa ufundishaji walimu wanajitahidi sana,this is call kwa wapenda elimu wote kutoa special attention ili kukinisuru hichi chuo.TOGETHER WE REACH THERE!
Hata hivyo still management under Mukandala imeprove failure to large extent.
1 Ulinzi kwa wanafunzi hasa wale international imekuwa issue.Siku za karibuni wamekuwa wakivamiwa mno.Pale wapo wanaoitwa auxilliary police though kwa kweli presence yao naweza kuifananisha as too ceremonial.Hawana dhana za kuwasaidia kiasi kwamba vibaka wanawazidi nguvu!
2 Maji yamekuwa yakikatika bila taarifa maalumu kwa siku nzima hasa ukizingatia kuwa Dar hii joto ndo nyumbani kwake!
3 Uongozi wa DARUSO umeingiliwa na management kiasi kwamba ni kama vile haupo!Imagine juzi umefanyika uchaguzi watu 1000 tuu over over 15,000 peple ndo wamevote!
4 Miundo mbinu ni mibovu mno kiasi kwamba haiwezi kukidhi namba kubwa ya watu.Katika hili malazi yamekuwa issue kiasi kwamba kitanda cha mtu mmoja wanalala wawili.Hapa waderns ndo wanapatia ulaji maana first year wana wanaporipot after two weeks kama hawajalipia fedha za chumba wanauza tena kwa bei ya juu mno!
Changamoto ni nyingi mno though kwa ufundishaji walimu wanajitahidi sana,this is call kwa wapenda elimu wote kutoa special attention ili kukinisuru hichi chuo.TOGETHER WE REACH THERE!