This is Dowans HQ in Costa Rica - (Pictures)

naomba niulize swali la kizushi; endapo limetokea janga la njaa na wananchi wanakufa njaa, halafu serikali inasikia kuwa kuna mfanyabiashara amekusanya chakula kwa maelfu ya tani kwenye ghala zake na hataki kuuza wala kugawa bali anataka kusubiria bei nzuri (hoarding), je serikali ifanye nini?

a. Iendelee kumbembeleza wakati wananchi wake wanakufa kwa njaa
b. Isubiri huruma yake
c. Itumie nguvu yake ya kisheria kuchukua vitu hivyo na kusaidia wenye njaa?
d. Iache wananchi wafe na isiingilie biashara kwa sababu huo ndio ubepari vinginevyo itatishia wawekezaji?
 
Hakuna umaskini mbaya kama wa Uongozi kushindwa kufanya MAAMUZI KWA WAKATI.

Tunayoyashuhudiaa yote (RICHMOND/DOWANS, TRL,ATCL...) ni matokeo ya ukosefuuu huooo...huu ni upuuziiii.
 
Mzee namba 'c' ndilo jibu sahihi:
Itumie nguvu yake ya kisheria kuchukua vitu hivyo na kusaidia wenye njaa.
 
Na Donors , kweli wapo tu, wakituangalia tunatapanya fedha zetu na maliasili , then huyo huyo waziri wafedha/serikali inakwenda kuimba oh tumepata jangaa la njaa/mafuriko nk nk tunaomba msaada, ukija kwenye ufisadi Donors msituingilie kwenye mambo yetu ya ndani, nasema huo mkataba wa IPTL Nov mpaka April ni kwa ajili ya fedha za Uchaguzi, huo wa Dowans ni kwa minajili ya kumfidia La azizi, king Maker , mfadhili wetu Mkuu wa 2005.
 
Sipendi kuamini kwamba kuna fyuzi moja muhimu sana kwenye mfumo wa kufikiri wa viongozi wetu imepotea. Mimi nilifikiri kilichokuwa kinasubiriwa ni kukamilisha hoja ya Richmond (ndugu/mzazi wa Dowans), kutoa adhabu stahili kwa wakosaji wote kisha kuhakiki uhalali (kisheria) wa mkataba wa Dowans; uhakiki utakaotoa msingi wa ama kuuendeleza mkataba huo au kuuvunja na kuitimua rasmi. Aidha, uhakiki huo ndio utakaohalalisha kisheria uamuzi wa ama kununua au kutaifisha hiyo mitambo ya Dowans. Kuna haja ya uswahili katika suala hili kweli?

Watawala wetu wanatakiwa kujua kuwa si jambo la busara kuacha wananchi tuendelee kuishi kwa vipande vya habari, tetesi za backroom deals, na matishio ya kukosa umeme yasiyo na mwisho? Kama taifa, zaidi ya kiuchumi, tunaathirika kisaikolojia pia. Hili si suala la kufanyia mzaha labda kama kuna walioamua kuitoa nchi mhanga kwa faida ya wachache "wasioshikika". :mad:
 
Jamani eeh...Hii Dowans imechosha hata kuisikia sasa!Mara tumefunga mjadala,mara ooh tununue...Hivi kama WATAWALA wakiamua kushinikiza inunuliwe na ikanunuliwa...Nini kinaweza kutokea Tanzania hii ya leo.Watu wataandamana kupinga?Bunge litafanya nini(with majority being CCM).Mi nahisi wanapiga danadana kwa muda ila wakati muafaka ukifika watanunua na tutaandika hapa thread kibao huku wao wakiziona ni kelele za mlango_Only time ll tell.
 
Ngojeni tu mtasikia baada ya Uchaguzi wa 2010. Sitashangaa kuwa ni hofu tu ya Uchaguzi wa mwaka huu unaosababisha dudu hili la Dowans lipigwe danadana baada ya Uchaguzi ni mawili ama Serikali inunue Dowans au itaifishe mitambo ya Dowans.
 
na Sauli Giliard


amka2.gif

LICHA ya Rais Jakaya Kikwete kulitaka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuachana na ununuzi wa mitambo ya kampuni ya kufua umeme ya Dowans, kauli hiyo sasa inaonekana kutotekelezeka, Tanzania Daima Jumapili imebaini.
Machi 31, mwaka jana akitoa hotuba yake ya mwisho wa mwezi, Rais Kikwete alihitimisha mvutano uliokuwepo kati ya TANESCO na Bunge juu ya ununuzi wa mitambo ya Dowans.
Ripoti ya Wizara ya Fedha na Uchumi imeainisha gharama ambazo serikali inaingia katika uendeshaji wa mitambo ya Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na kutoa mapendekezo kuwa sasa umefika wakati mitambo ya Dowans ikanunuliwa kuliko kuendelea na mitambo ya IPTL.
Ripoti ya wizara hiyo, iliyowasilishwa kwa Kamati ya Kudumu ya Fedha na Uchumi ya Bunge wiki hii, imebainisha kuwa serikali inaweza kutumia sh bilioni 6.4 pekee iwapo itanunua mitambo ya Dowans kuliko gharama inazoingia sasa kuiendesha IPTL.
IPTL iliyoingia nchini mwaka 1997 wakati wa utawala wa Rais Benjamin Mkapa, inaligharimu taifa kiasi cha sh bilioni 20 kila mwezi, zikiwa ni gharama za kununulia mafuta lita 14,125 za mafuta mazito pamoja na kuwalipa wafanyakazi.
Ripoti hiyo imetoa mchanganuo wa gharama hizo unaoonyesha kila mwezi serikali inalazimika kununua kiasi hicho cha mafuta kwa gharama ya sh bilioni 13.6 kila mwezi, kununua mafuta mengine kwa sh milioni 996 na sh bilioni 2 kwa ajili ya mishahara ya wafanyakazi.
Katika mchanganuo huo, Tanzania Daima Jumapili imebaini kuwa iwapo serikali itanunua mitambo ya Dowans, inaweza kuokoa kiasi kisichopungua sh bilioni 13 kila mwezi na kukielekeza katika huduma nyingine za kijamii ambazo zinalegalega.
Katika kile kinachoonekana kuitiisha serikali na kuona hakuna mbadala mwingine zaidi ya Dowans, ni kuwa iwapo mitambo ya IPTL haitatumika, taifa litagharamika mara sita zaidi ya kiasi kilichopo kwa sasa.
Kwa mantiki hiyo, taifa linaweza kuingia gharama zaidi na kufikia takribani bilioni 60 kwa mwezi kwa ajili ya kuzalisha umeme kwa kuwa hata vyanzo vya maji vikijaa na kutumia umeme kutoka kwenye mabwawa mbalimbali bado IPTL itaendelea kulipwa kutokana na mkataba uliopo hivi sasa.
Ripoti hiyo imeweka bayana kuwa pamoja na Dowans kuonekana kuwa ahueni kuliko IPTL, kampuni hiyo ina uwezo wa kuzalisha umeme wa uhakika wa megawati 105 kwa gharama ya sh bilioni 6.4 kwa mwezi badala ya takribani sh bilioni 20 zinazolipwa kila mwezi kwa IPTL inayozalisha megawati 100.
Kupanuka kwa shughuli za kiuchumi huku idadi kubwa ya watu ikiingia katika kundi la watu wenye kipato cha kati, taifa lina upungufu wa megawati 225 huku takwimu zikionyesha ni asilimia 14 tu ya Wanzania takriban milioni 40 ndiyo wanaotumia umeme majumbani mwao.
Ripoti hiyo ilibainisha, iwapo itasubiriwa kununua mitambo mingine huku taifa likikabiliwa na kiasi hicho cha nishati, italichukuwa taifa miaka miwili kuipata na kutabiri uchumi kuingia katika hali mbaya zaidi..
Tanzania Daima Jumapili ilifanya jitihada za kumtafuta kwa simu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Fedha na Uchumi, Abdallah Kigoda, kuona iwapo imeridhia mapendekezo ya kununua mitambo ya Dowans, simu yake iliita bila kupokelewa.
Alipopigiwa mara ya pili, Dk. Kigoda alipokea na kukata sumu mara moja: “Siwezi kuzungumza sasa, niko kwenye kikao.”
Kwa upande wake Waziri Mkulo, alikiri kuwepo ripoti hiyo na kusisitiza hawezi kuzungumzia lolote kwa vile aliyeiwasilisha kwenye kamati ya Bunge ni naibu wake.
“Niko Kilosa, siwezi kuzungumzia lolote maana sijui wabunge waliipokeaje na kuizungumzia vipi.
Ni vizuri ukawasiliana na Naibu Waziri, Jeremia Sumari, ama Katibu Mkuu utapata maelezo zaidi,” alisema Waziri Mkulo.
Ripoti hiyo ya wizara inaiweka serikali katika wakati mgumu wa kufanya maamuzi kwani mwaka jana Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa TANESCO, Dk. Idris Rashid, alishauri serikali kununua mitambo hiyo lakini wazo lilitupiliwa mbali.
“Nawapongeza viongozi wa TANESCO kwa uamuzi wao wa busara wa kuachana na nia yao ya kununua mitambo ya Dowans. Wameyasoma vizuri mazingira na nyakati na kufanya uamuzi muafaka.
“Pili, niwaombe wanasiasa wenzangu kuwa maadam waliokuwa na nia ya kununua mitambo hiyo hawanayo tena, suala hili limemalizika,” alisema Rais Kikwete katika hotuba yake kwa wananchi iliyorushwa kwenye vituo vya runinga Machi 31, mwaka jana.
Baada ya hapo, Aprili mwaka jana, serikali ilitangaza zabuni ili kumtafuta mzabuni wa kuleta mitambo mipya na kuachana na ya Dowans iliyochukuliwa kuwa ni chakavu lakini hadi kufikia Septemba, hakukuwepo dalili zozote za kuipata mitambo mipya.
Kitendo hicho, pamoja na mitambo ya Kihansi na Pangani kushindwa kufanya kazi kutokana na uchakavu wake na kupungua kwa kina cha maji, kilichukuliwa kama hujuma inayofanywa na watendaji wa TANESCO kwa lengo la kufanikisha azma yake ya kununua mitambo ya Dowans.
Wabunge hasa wa Kamati ya Kudumu ya Nishati na Madini walipinga kununuliwa kwa mitambo ya Dowans kwa kuwa ilirithi mitambo ya kampuni ya Richmond Development iliyoshindwa kuzalisha umeme licha ya kulipwa sh bilioni 152 kila siku.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Dk. Harrison Mwakyembe, alifikia hatua kusema ni bora taifa likaingia gizani kuliko kununuliwa kwa mitambo hiyo ya Dowans.
Hata hivyo baada ya mwaka jana taifa kuingia kwenye mgawo mkubwa wa umeme kwa saa 14 hadi 16, kamati hiyo na serikali kwa ujumla ilikubaliana mitambo hiyo iiuzie TANESCO umeme ila kutoka kwa mtu binafsi.
Baada ya kutokuwepo dalili za kufikiwa makubaliano ya kupata umeme wa uhakika, Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), ambaye ni mwenyekiti wa Kamati ya Mashirika ya Umma, alimtaka Rais Kikwete kufanya maamuzi magumu kwa kuitaifisha mitambo hiyo.
Serikali kuanza kutumia umeme wa IPTL mwishoni mwa mwaka jana licha ya pande hizo mbili kuwa na kesi, ilitokana na uamuzi alioufanya rais kwa kumwamuru Waziri wa Sheria na Katiba, Mathias Chikawe, kushughulikia masuala yote ya kisheria dhidi ya kampuni hiyo. Aidha, Waziri Mkulo aliambiwa ahakikishe wizara yake inatoa fedha zinazohitajika, wakati Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, akitakiwa kuhakikisha masuala yote ya kiufundi yanashughulikiwa baina ya TANESCO na IPTL.
 
Miserable management.. Nataka ...sitaki!..(you chameleons!)

Hapa hakuna watu serious wanaopima na kuona mwelekeo wa consumption wa utility hii...huh!

Maamuzi ya kitaalamu ya masuala ya umeme yanachukuliwa na wanasiasa...what does one expect?

Kikwete anapoamuru mitambo ya IPTL iwashwe, watendaji na wasomi wa tathnia ya nishati wako wapi?..walilala nyumba ndogo?..mbona wanaruhusu rap ya fani yao mchana kweupe?

Shame on them!
 
Hi everyone; I'm back, wounded and limping but still kicking LOL. Numerous trips I have made since I reported to you about the then pending ITV saga. With some of my "little ones" we were able to travel extensively through Europe, US and Costa Rica as well as making some contacts in Singapore. What we have discovered is nothing less than shocking!

I visited the so called Headquarters of Dowans S.A in Costa Rica and had access to relevant organs that deal with businesses there. Some of the things we were able to raise with the Costa Rican gvt and the US gvt were addressed in the meeting in London when the major economic powers addressed the current economic crisis. If you can recall, Costa Rica was named as one of the countries that unless they change their legal framework concerning offshore accounts they will be blacklisted. We are glad as we left the Costa Rican gvt decided to change some of the laws and regulations. We are eternally grateful to those people who made the trip worthy taking and fruitful.

We learned a number of things about Dowans:

a. If It was registered in Costa Rica then simply as a briefcase company. Due to the legal and procedural laxity that existed then in Costa Rica it was very easy for some shady businessmen to appoint a "lawyer" who would act as their middleman and a point of contacts.

After our extensive investigations through different lawyers organisations we were unable to find the lawyer involved with Dowans nor his/her address or whereabout. One authority told us confidently that such a person does not exist except in papers.

b. We visited the offices of Dowans Costa Rica as indicated in their BRELA forms. In these forms Dowans (T) has listed two companies as one of the major shareholders, one is Dowans S.A of AVENIDA DE LA ROSAS 3J
CALLE BLANCOS, 1150 sAN JOSE, COSTA RICA and the other company is a major Singaporean company and world world leader in Port Management.. Portek Internation of 20 HARBOUR DRIVE #02-01 PSA VISTA, SINGAPORE 117 612 (Portek International Limited).

The later (Portek) assured us with no qualifications that it has no share, none whatsoever in the Dowans (T). And it is not involved in energy products in Tanzania. The only project they had was the sale of some logistics equipments to TICTIS. This can be verified easily by contacting: Tel: (65) - 6873 1114 or Fax: (65) - 6873 2224

The former (Dowans S.A) has been a pain in some places better left unmentioned. The report of our investigation team under my able leadership came to this conclusion "there is no such a business in Costa Rica operating under that name".

Indeed my visit to the address mentioned in BRELA forms led me to a free trade zone. A check of the business located there revealed no such company. After combing public and private records such as the National Registry of Costa Rica, Telephone, electricity, automobiles and database searches all revealed nothing. Not about Bernal Zamora Alce (the "lawyer") nor the company itself.

Our conclusions then are as follows:

a. Dowans entered into Tanzania under false pretenses, providing misleading information and therefore has engaged in fraud.

b. Due that fact in a, Dowans in Tanzania was wrongly registered and its activity as a company had no legal basis

c. Due to (a and b) Dowans lacks legal standing in our courts to ask compensation as an illegal entity operating illegally.

d. The government should seize all of Dowans assets and take everybody who was involved in enabling this company to enter into a contract with Tanesco to a court of law for abusing their offices and authority.

We have finished the incredible work on Meremeta going back to the time of Wemba Dia Wemba and the second Congo War. We have submitted our work to our commander of ideological battles to decide if he would publish them or due to the explosive nature (no pun intended) of the allegations he would not publish in Cheche.

After we bankrupted him he wants to charge a one time 25USD for the Special Edition of Cheche on Meremeta (good luck M!).

It is the choice for the CCM MPs to continue to support their corrupt government or to take it to task and restore the rule of law. We hope a courageous CCM MP will bring the issue of Dowans to the floor of the National Assembly and call for an independent inquiry to refute the allegations we have raised or confirm them. We believe such an inquiry will have more resources to dig more and do more than we did with our very limited budget.

Thanks M for giving us another mission. We are ready to fly again.

We humbly submit.

kumbe dowans ipo sasa mbona mnabisha
 
Naumwa...999 please!
UWT UWT mnakesha kuambaa kwenye kuta za nyumba za watu kuchunguza nani kalala na nani wapi mnaacha kesi kuntu kama hizi. UWT UWT lini mtarudi kuwa UWT?? gggggggggggrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!

unanikumbusha kuna jamaa mmoja alimtokea demu wangu akamtongoza huku akijisifu kwamba yeye anafanyakazi usalama wa taifa alimpomkataa akamwambia mimi nina uwezo wa kukufanya kitu chochote maana nafanya kazi usalama wa taifa basi yule demu akaogopa kweli akajakuniambia siku moja tukiwa njiani na demu wangu akanionyesha huyo jamaa nikahisi huenda ni kweli kuwa nimfanyakazi wa usalama wa taifa kwani gari walilokuwa nalo ninalifahamu huwa ni la usalama wa taifa na nimeendelea kumwona mara kadhaa akiwa na watumishi wenzake wa usalama wa taifa hata wakati fulani niliwaona kwenye mkutano mmoja wa kiketwe wakilinda usalama na unajua tena siku hizi wanavyopenda ku show - up yaani wakiwa mahali wanapenda waonekane na wajulikane kwamba wao ndio usalama wa taifa yaani wamepoteza kabisa ile maana ya usalama wa taifa. sasa najiuliza kama mambo hayo ndi hayo wataweza kufanya kazi za msingi ambazo ndizo zinazowafanya wawepo?
 
Jamani mbona hawa watu wanatuchezea hivi ok anyway wanajua kuwa mchezo wa kujificha tu wote wanajuana wanaocheza tena kwa majina......wanalindana hakuna kitu hapo....labda baada 2015 ndio utasikia lolote ila si sasa....
wanatuchezea kwa lipi inamaana we huelewi dowans ni ya nani?
 
Watanzania tufanye tuwezalo kuliokoa Taifa hili linaloyumbishwa na wachache kwa masilahi yao binafsi.
 
Hi everyone; I'm back, wounded and limping but still kicking LOL. Numerous trips I have made since I reported to you about the then pending ITV saga. With some of my "little ones" we were able to travel extensively through Europe, US and Costa Rica as well as making some contacts in Singapore. What we have discovered is nothing less than shocking!

I visited the so called Headquarters of Dowans S.A in Costa Rica and had access to relevant organs that deal with businesses there. Some of the things we were able to raise with the Costa Rican gvt and the US gvt were addressed in the meeting in London when the major economic powers addressed the current economic crisis. If you can recall, Costa Rica was named as one of the countries that unless they change their legal framework concerning offshore accounts they will be blacklisted. We are glad as we left the Costa Rican gvt decided to change some of the laws and regulations. We are eternally grateful to those people who made the trip worthy taking and fruitful.

We learned a number of things about Dowans:

a. If It was registered in Costa Rica then simply as a briefcase company. Due to the legal and procedural laxity that existed then in Costa Rica it was very easy for some shady businessmen to appoint a "lawyer" who would act as their middleman and a point of contacts.

After our extensive investigations through different lawyers organisations we were unable to find the lawyer involved with Dowans nor his/her address or whereabout. One authority told us confidently that such a person does not exist except in papers.

b. We visited the offices of Dowans Costa Rica as indicated in their BRELA forms. In these forms Dowans (T) has listed two companies as one of the major shareholders, one is Dowans S.A of AVENIDA DE LA ROSAS 3J
CALLE BLANCOS, 1150 sAN JOSE, COSTA RICA and the other company is a major Singaporean company and world world leader in Port Management.. Portek Internation of 20 HARBOUR DRIVE #02-01 PSA VISTA, SINGAPORE 117 612 (Portek International Limited).

The later (Portek) assured us with no qualifications that it has no share, none whatsoever in the Dowans (T). And it is not involved in energy products in Tanzania. The only project they had was the sale of some logistics equipments to TICTIS. This can be verified easily by contacting: Tel: (65) - 6873 1114 or Fax: (65) - 6873 2224

The former (Dowans S.A) has been a pain in some places better left unmentioned. The report of our investigation team under my able leadership came to this conclusion "there is no such a business in Costa Rica operating under that name".

Indeed my visit to the address mentioned in BRELA forms led me to a free trade zone. A check of the business located there revealed no such company. After combing public and private records such as the National Registry of Costa Rica, Telephone, electricity, automobiles and database searches all revealed nothing. Not about Bernal Zamora Alce (the "lawyer") nor the company itself.

Our conclusions then are as follows:

a. Dowans entered into Tanzania under false pretenses, providing misleading information and therefore has engaged in fraud.

b. Due that fact in a, Dowans in Tanzania was wrongly registered and its activity as a company had no legal basis

c. Due to (a and b) Dowans lacks legal standing in our courts to ask compensation as an illegal entity operating illegally.

d. The government should seize all of Dowans assets and take everybody who was involved in enabling this company to enter into a contract with Tanesco to a court of law for abusing their offices and authority.

We have finished the incredible work on Meremeta going back to the time of Wemba Dia Wemba and the second Congo War. We have submitted our work to our commander of ideological battles to decide if he would publish them or due to the explosive nature (no pun intended) of the allegations he would not publish in Cheche.

After we bankrupted him he wants to charge a one time 25USD for the Special Edition of Cheche on Meremeta (good luck M!).

It is the choice for the CCM MPs to continue to support their corrupt government or to take it to task and restore the rule of law. We hope a courageous CCM MP will bring the issue of Dowans to the floor of the National Assembly and call for an independent inquiry to refute the allegations we have raised or confirm them. We believe such an inquiry will have more resources to dig more and do more than we did with our very limited budget.

Thanks M for giving us another mission. We are ready to fly again.

We humbly submit.

Splendid!!

Stay blessed
 
Back
Top Bottom