The West Policy on Libya Vs Putin

Ndugu siyo kuleta amani tu!! Kwa taarifa marekani haijawahi kushinda vita mahala popote!! Mtashangaa lakini ndiyo hivyo
 
Ndugu siyo kuleta amani tu!! Kwa taarifa marekani haijawahi kushinda vita mahala popote!! Mtashangaa lakini ndiyo hivyo

Unaweza kuwa sahihi but huko ni kujifariji tu kwani sikuzote US hapigani vita nyumbani kwake anakufuata huko huko ulipo nyumbani kwako na sio anapigana na wewe bali anakuchapa ukifaulu kuresist kama somalia anageuza zake anarudi home huku akikutafutia pozi lingine. Na kumbuka sio hivi hivi, wewe unapofurahia eti unampiga yeye anabeba vya kubeba vya kutosha kabla hajaondoka zake. Waulize Iraq, Afghan na fuatililia Libya itakavyoendelea. Acha bana akili hiyo waafrica hatutakuja kuwa nayo hata kidogo, sisi tutabaki walalamikaji badala ya ku-act. Wachache wanaotokea kujifanya wanaresist US kama Gadaf hawatengezi system nzuri iendelee, wanataka kujifanya wao ndio miungu watu nchini mwao na Africa eti watawale hadi wanakufa kwa ghalama yeyote hata kuuwa raia zao wenyewe wanaowapinga kwa amani
 
mh! Watz bwana, wepesi saana kufikiria kidini dini, fikirieni kihoja basi, mna bore sanaaaaaaa....................
 
"Well, we're in Libya because of oil. And I think both Japan and the nuclear technology and Libya and this dependence that we have upon imported oil have both once again highlighted the need for the United States to have a renewable energy agenda going forward," Rep. Ed Markey (D-MA) said on MSNBC.

www.realclearpolitics.com

Mzee mzima kaamua kuwa wazi kabisa kuwa hakuna cha Humanitarian Concerns wala cha democracy in Libya....its OIL that they want.hakuna shida na binadamu wa Libya,wapo Somalia,wapo Yemen,Ivory Coast wanaouawa.....Libya tuko kwa ajili ya kupata mafuta.....hii inaonyesha Gadafi asingekuwa kawabania hizo nchi zinazompiga kupitia mgongo wa UN, wala wasingekuwa na shida nae.....ngoja siku tutake kubadilisha/tuvunje mikataba mibovu tuliyosaini nao ya madini,muone rangi zao nzuri!

Kuna watu wanafikiri wazungu wanawapenda sana kuja kuwaletea demokrasia,wamewazaa nyie? wako hapa kwa interest zao....nashukuru mzee aliyesema haya katoka chama cha Democrat anakotoka Obama,angekuwa katoka Republican tungesema ni siasa za kuchafuana.:angry:
 
Kweli michelle hawa wazungu wanatuzingua sana...wana msemo wao Nothing goes for Nothing....
 
"Well, we're in Libya because of oil. And I think both Japan and the nuclear technology and Libya and this dependence that we have upon imported oil have both once again highlighted the need for the United States to have a renewable energy agenda going forward," Rep. Ed Markey (D-MA) said on MSNBC.

www.realclearpolitics.com

Mzee mzima kaamua kuwa wazi kabisa kuwa hakuna cha Humanitarian Concerns wala cha democracy in Libya....its OIL that they want.hakuna shida na binadamu wa Libya,wapo Somalia,wapo Yemen,Ivory Coast wanaouawa.....Libya tuko kwa ajili ya kupata mafuta.....hii inaonyesha Gadafi asingekuwa kawabania hizo nchi zinazompiga kupitia mgongo wa UN, wala wasingekuwa na shida nae.....ngoja siku tutake kubadilisha/tuvunje mikataba mibovu tuliyosaini nao ya madini,muone rangi zao nzuri!

Kuna watu wanafikiri wazungu wanawapenda sana kuja kuwaletea demokrasia,wamewazaa nyie? wako hapa kwa interest zao....nashukuru mzee aliyesema haya katoka chama cha Democrat anakotoka Obama,angekuwa katoka Republican tungesema ni siasa za kuchafuana.:angry:
Hapo umenena Michelle, tunaona sifa viongozi wetu wanapopongezwa na hao jamaa, tunakalia kusema watu wanatubeza hapa ndani as if hawayaoni maendeleo mbona USA et al, wameyaona na kutupatia tuzo etc , lakini siku mkibadilisha hiyo mikataba mitaa yetu itakuwa haikaliki tena , lakini pamoja na machungu hayo lazima tufike sehemu tuseme NO , na tuelekee njia tunayoona inatufaa.
 
* There is no doubt Ghaddafi messed up and gave the West the opportunity to hijack Libya
* There is no doubt that Ghaddafi must not continue as the Leader of Libya, he has long overstayed his welcome

Look around the world, where has the military intervention of US, Britain and Co. brought a government truly representative of the people? Is it Iraq? Afghanistan? Congo? Sudan?

Behind every international move, there are resource and economic issues involved. US had lobbied ECOWAS to go to Ivory Coast, but is in very eager to handle Libya. Why did they not deploy to Ivory Coast or are the people there not humans. No country spends her tax payers money intervening in conflicts where there is nothing to benefit her citizens. Greed is not just in Africa, white men can be greedy and evil too. Nimesoma kwenye International Relations and Diplomacy,Maslahi ya Taifa lazima yapate Backup kwa kutumia Diplomacy with a millitary background whenever necessary
 
Hapo ndio hawa mabeberu wanapotuzidi.....kwao cha kwanza kabisa ni maslahi ya nchi zao mengine ndio yanafuata.
 
Kweli michelle hawa wazungu wanatuzingua sana...wana msemo wao Nothing goes for Nothing....

Nachofurahi huko marekani kwenyewe wanapambana na Obama kuhusu hili......ameonekana mpumbavu na asiyejipanga kabisa,inshort hakukuwa na sababu ya haya yote......jana watu wamendamana kupinga hii hatua all over the world.....

Huyu nae kanena:
Congressman Dennis Kucinich (D-Ohio) will offer an amendment to the next budget continuing resolution that would "essentially stop the President from being able to spend any funds for the operations against Libya."
from Democrat.....wanaona jinsi Obama alivyo mpumbavu na Sarkozy wake kwenda kwenye vita isiyo na maana!:washing:
 
Wanachonifurahisha kwa maslahi wanayotaka kwanza ni ya nchi sio ya watu binafsi kama sisi.
 
Hapo umenena Michelle, tunaona sifa viongozi wetu wanapopongezwa na hao jamaa, tunakalia kusema watu wanatubeza hapa ndani as if hawayaoni maendeleo mbona USA et al, wameyaona na kutupatia tuzo etc , lakini siku mkibadilisha hiyo mikataba mitaa yetu itakuwa haikaliki tena , lakini pamoja na machungu hayo lazima tufike sehemu tuseme NO , na tuelekee njia tunayoona inatufaa.

kuna watanzania mbumbumbu sana,badala ya kujifunza kutoka kwa Libya wanang'ang'ania kuwa wazungu wanataka uhuru wa wananchi wa Libya,ili usaidie nini? nasubiri siku Tanzania itakapopata mwanaume wa ukweli wa kuvunja mikataba mibovu tuone....kama juzi Magufuli tu kasimamia sheria wakampinga na kumsimamisha kwa minajili ya ubinadamu,mara ulitoa notice fupi sana sijui siku mikataba imevunjwa,watanzania wakaambiwa hakuna tena kupewa ARV na dawa za TB watafanyaje........watasema bora mikataba mibovu ya kinyonyaji sisi ili sisi tupate ARV.....somewhere we have to stand up and say ENOUGH IS ENOUGH,resources tulizo nazo zimufaishe watanzania kwanza....:washing:
 
* There is no doubt Ghaddafi messed up and gave the West the opportunity to hijack Libya
* There is no doubt that Ghaddafi must not continue as the Leader of Libya, he has long overstayed his welcome

Look around the world, where has the military intervention of US, Britain and Co. brought a government truly representative of the people? Is it Iraq? Afghanistan? Congo? Sudan?

Behind every international move, there are resource and economic issues involved. US had lobbied ECOWAS to go to Ivory Coast, but is in very eager to handle Libya. Why did they not deploy to Ivory Coast or are the people there not humans. No country spends her tax payers money intervening in conflicts where there is nothing to benefit her citizens. Greed is not just in Africa, white men can be greedy and evil too. Nimesoma kwenye International Relations and Diplomacy,Maslahi ya Taifa lazima yapate Backup kwa kutumia Diplomacy with a millitary background whenever necessary

Hapo Pink, nakubaliana na wewe Ben....nashukuru umenikumbusha na mimi masomo mazuri tuliyofundishwa kwenye political science.....
utakuwa umewasaidia wale wanaoabudu kila hatua ya mzungu hapa duniani
 
Hapo ndio hawa mabeberu wanapotuzidi.....kwao cha kwanza kabisa ni maslahi ya nchi zao mengine ndio yanafuata.

Sisi badala ya kujifunza kuweka maslahi ya nchi mbele,tunazidi kuwaabudu na kuendelea kukubaliana na kwa kila kitu...tunafitiniana sisi kwa sisi na wenyewe wanakuja wanatumia divide and rule policy wakijidai demokrasia mara sijui humanitarian issues mwisho wa siku wanaharibu kila kitu na inatubidi kuwategemea wao kutusaidia tena....this cycle ya utegemezi inazidi kukua kizazi hadi kizazi:smash:
 
Qatar and UAE wamekosa mafuta.

Bosnia utasema (Amerika) alifwata nini?????

uhusiano ambao marekani na Quotar na UAE wanao wa kibiashara,kisiasa haufanani na ule ambao marekani,ufaransa wanao na Libya under Gadafi.....ukumbuke kuwa wenzeti wana long plans,wanafikiri zaidi ya saizi ya urefu wa pua zao si kama wewe,wenzio wanajua wanahitaji kiasi gani cha mafuta kwa miaka 100 ijayo,wanaanza mapema kabisa kujiweka sawa.....wameshapima wakaona kiasi ambacho nchi za UAE na Qutar wanaweza toa hakiwezi kukidhi mahitaji waliyonayo kwa kipindi wanachofikiri watahitaji.....soma maneno ya huyu Congressman,yeye ameongelea hadi issue ya kuwa na renewable energy akijua shida itakayokuwepo baadaye ya mafuta.....

Bosnia nafikiri ukasome historia,it will take me hours kueleza kwanini marekani walienda Bosnia na mahusiano ya marekani na urusi huo...kasome mwenyewe!! au nitafute nikupe notes za darasani,ninazo kwa hardcopy!!
 
Wanachonifurahisha kwa maslahi wanayotaka kwanza ni ya nchi sio ya watu binafsi kama sisi.

Kweli Ehud, sisi tunachofikiria ni mimi nitanufaikaje,watoto wangu je,maslahi ya nchi ni ya mwisho kabisa kwenye mawazo ya viongozi wetu...ndo unashangaa hata kwenye suala tu la kampeni,kiongozi anaweka majukumu yote kwa familia...baba mama watoto......mtindo ni huo huo kwenye maslahi ya nchi....shemeji,mjomba,hawara,dada wa mke etc ndo wanakuja kwanza.....:smash:
 
du policy tena

anababaika sana Obama,kuna kiongozi kutoka Republican amesema kwa analofanya wanaweza kumu-impeach,mwingine toka democrat anasema watamnyima Obama na seriakali yake hela za ku-fund operation ya Libya.....ana hali mbaya kisiasa,alifikiri hili litamuinua ila ndo limeharibu reputation yake kabisa......kila siku ana jipya,leo we are in Libya for humanitarian issues...protect cilivilians,kesho Gadafi is a dictator we want democracy,kesho yake its US policy......leo katika CNN hiyo hiyo kuna kiongozi kasema Obama kampa Sarkozy the presidency of the free world ambayo waga ni nafasi ya marekani na hili ni tusi kwa wamarekani......he is in bad shape politically :drum:
 
Gadaff sio wa kuonewa huruma hata kidogo,he dont have place in civillized world

unanichefua na the same statement everywhere.....we kwa akili yako katika kila kitu its all about Gadaffi,wanaokufa kule Libya ni wangapi?umeona nchi ilivyokuwa imejengwa vizuri,miundombinu yao,social services zao zilivyoharibika? watakaoumia ni wananchi wa Libya si Gadaffi na familia yake kama unavyowaza......Gadaffi akifa/akiondolewa na familia yake bado haitajenga Libya iliyojengwa na Gadaffi kwa miaka 40.....stop bn subjective and change the song.....its boring!:smash:
 
Waacheni wamarekani, hata comment yako hii hawatasoma na utapoteza muda bure, kama vipi kavae bomu kajilipue kama wenzako wanavyofanya.

Unataka humu tuseme nini, walipiga iraq, afghan, wanapiga libya na watafanya hivyo popote pale wakitaka.

Libya gafadi anachofanya sidhani kama utaingiza udini hapo, wanaouawa ni wenzako wa dini yako.

Kesho na sisi Tanzania tukiwa superpower tunaamua lolote, hakuna wa kumzuia mmarekani , kwa hiyo kunywa coca, sikiliza mziki acha pressure utakufa bure, wameshindwa iran uje wewe! DUA ZA KUKU!

I hate USA too, what should I do, to curse them??

underlined words portrays your hypocricy and lacking of credibility. unamsengenya mwenzake kwa kulaumu yanayofanywa na usa then unaconclude eti na wewe unaichukia Marekani!!!!!!!! Utaichukia pale itakapovamia makanisa kwa kuwa mrengo wako ni wa KIDINI kwa kila jambo.
 
Back
Top Bottom