Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,469
Heading inasema "things women do" lakini ndani kumejaa vitu avifanyavyo mwanamme!
Sasa mwanamme kumkana mama yake hicho amekifanya mke pia?
Umeona eeh! Ukianzia kwa Adamu, alilishwa kwa nguvu hilo tunda?? Mimi naona tukubaliane tu Leo kuwa wanaume ni weakbeings na ndio maana hutumia nguvu nyingi (kuwa aggressive) kuprove otherwise.