Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Moja hukamia kumtawala mumewe.....................hata Hawa usifikiri alipompelekea Adam lile tunda hakujua yalikuwa ni makosa ila alimtega mumewe kuona kama anampenda Mwenyezi Mungu au yeye mwanamke na hivyo njia ya kumpima Adam mumewe kama ataweza kumtawala..................
pili...wanaumme wengi wapo kwenye dhiki kwa sababu ya kukubali kutawaliwa na matakwa ya wake zao.......................sembuse mke kwani hata mpenzi wa baki kama umetembea naye huyo naye sasa mmekuwa mwili mmoja.............Soma 1 Corinthians 6:16
Tatu.............wanaumme huhangaika kujenga nyumba kubwa, kuwa na magari ya kifahari, vyeo lukuki n.k ikiwemo kujiendeleza.................lakini lengo lao siyo kwa ajili ya mahitaji yao binafsi wanapokusanya utitiri wa mambo hayo.....................bali kumthibitishia mwanamke ya kuwa wana kauwezo wa kuwa mpagasi wa mwanamke..........................na kumtumikia mwanamke kwa utashi na ujasiri wao wote........vilivyo.......
Nne.................mwanaumme humpenda mkewe kulikoni wazazi wake............na hata ikibidi huwakana wazazi tajwa ili kutii matashi ya mkewe...................mawifi hulalama kuwa kaka yao katawaliwa lakini yote hayo huwa yameelekezwa kwa kiziwi na/au bubu............
tano .......................mwanamke hutamba ya kuwa huyu jamaa yake aachiwe yeye maana yeye ndiye humjulia alivyo...................kwa hiyo ajua afanye nini ili apate mradi wake........kutoka kwa dume lake............................
sita.........................pamoja na wazazi wa mwanaumme kumgharimia mtoto wao wa kiumme....................na pamoja kudhania kuwa atawasaidia watakapokuwa wazee....................lakini mweye sauti ya watasaidiwaje ni mwanamke.............mtoto wao wa kiume huwa ni kiwete/ na zezeta vile hapo kwenye maamuzi hana sauti...........na wazazi hushangaa kumbe aliyezaa ni yule aliyezaa mwanamke huyu mwanaumme waliyekuwa wanamthamini sana kuwa atakuwa kimbilio lao uzeeni kumbe siyo fimbo ya mnyonge kabisa wa kabisa.......
saba.....................ndugu wa mwanamke ndiyo hufaidi jasho la mumewe.............na huku ndugu wa mwanaumme hutupiwa virago kuwa waende kutafuta vya kwao....................wao huonekana ni viwavi jeshi lakni ndugu wa mwanamke huonekana wao ndiyo wastahiki wa kulilamba jasho la mumewe.........................
these are the things women love to do.......................ninajua watabisha sana humu jamvini lakini penye ukweli uongo hujitenga..........
pili...wanaumme wengi wapo kwenye dhiki kwa sababu ya kukubali kutawaliwa na matakwa ya wake zao.......................sembuse mke kwani hata mpenzi wa baki kama umetembea naye huyo naye sasa mmekuwa mwili mmoja.............Soma 1 Corinthians 6:16
Tatu.............wanaumme huhangaika kujenga nyumba kubwa, kuwa na magari ya kifahari, vyeo lukuki n.k ikiwemo kujiendeleza.................lakini lengo lao siyo kwa ajili ya mahitaji yao binafsi wanapokusanya utitiri wa mambo hayo.....................bali kumthibitishia mwanamke ya kuwa wana kauwezo wa kuwa mpagasi wa mwanamke..........................na kumtumikia mwanamke kwa utashi na ujasiri wao wote........vilivyo.......
Nne.................mwanaumme humpenda mkewe kulikoni wazazi wake............na hata ikibidi huwakana wazazi tajwa ili kutii matashi ya mkewe...................mawifi hulalama kuwa kaka yao katawaliwa lakini yote hayo huwa yameelekezwa kwa kiziwi na/au bubu............
tano .......................mwanamke hutamba ya kuwa huyu jamaa yake aachiwe yeye maana yeye ndiye humjulia alivyo...................kwa hiyo ajua afanye nini ili apate mradi wake........kutoka kwa dume lake............................
sita.........................pamoja na wazazi wa mwanaumme kumgharimia mtoto wao wa kiumme....................na pamoja kudhania kuwa atawasaidia watakapokuwa wazee....................lakini mweye sauti ya watasaidiwaje ni mwanamke.............mtoto wao wa kiume huwa ni kiwete/ na zezeta vile hapo kwenye maamuzi hana sauti...........na wazazi hushangaa kumbe aliyezaa ni yule aliyezaa mwanamke huyu mwanaumme waliyekuwa wanamthamini sana kuwa atakuwa kimbilio lao uzeeni kumbe siyo fimbo ya mnyonge kabisa wa kabisa.......
saba.....................ndugu wa mwanamke ndiyo hufaidi jasho la mumewe.............na huku ndugu wa mwanaumme hutupiwa virago kuwa waende kutafuta vya kwao....................wao huonekana ni viwavi jeshi lakni ndugu wa mwanamke huonekana wao ndiyo wastahiki wa kulilamba jasho la mumewe.........................
these are the things women love to do.......................ninajua watabisha sana humu jamvini lakini penye ukweli uongo hujitenga..........