source ????
Ama kweli, Mrema ni mzee wa michapo. Ametuvunja mbavu katika mkutano wa hadhara Mwanza, kwamba Zitto ni mbwa wake. Eti yeye amechoka na kuzeeka, lakini walau anaweza kuwaamuru mbwa wake akina Zitto na Dk. Slaa, "kamata yule, kamata yule." Mbavu hatuna!
Sasa hivi baada ya hoja ya Zitto bungeni, ameishupalia lakini ukimuangalia kwa makini huyu ni tapeli kuliko hawa kina Karamagi. Opportunist anayeelekea kwenya kaburi la kisiasa.