Huyu bwana ni mwenzetu na kutokana na nafasi yake katika jamii nilitokea kumheshimu sana. Jana alileta story ya RAFIKI YAKE WA KARIBU bwana JACK PEMBA ambaye kutokana na evidence katika hapo chini MICHUZI BLOG imekuwa kama NOTICE BOARD ya JACK PEMBA na biashara zake za kitapeli
Cha ajabu ni nikuwa leo kaondoa ile story ya UTAPELI WA JACK PEMBA!
sasa nishajua kwa nini hawakumpa kazi kule OFISI KUBWA. Huyu ni rahisi sana kununuliwa AMA KWELI TUMEKWISHA!
MICHUZI
Cha ajabu ni nikuwa leo kaondoa ile story ya UTAPELI WA JACK PEMBA!
sasa nishajua kwa nini hawakumpa kazi kule OFISI KUBWA. Huyu ni rahisi sana kununuliwa AMA KWELI TUMEKWISHA!
MICHUZI