Kama mwana JF family nimeona isiwe taabu bure...huyu bwana Issa Michuzi kaanzisha thread kwenye blog yake kisa? JF watu wamequestion gharama za yeye kusafiria huko USA. Huyu anafanya kazi gazeti la serikali na analipwa pesa za walalahoi hivyo wana JF tunayo kila sababu ya kuquestion kila anacho kifanya na picha anazopiga.Vekesheni Za Nanihii Zapigwa Vita!!
WADAU KUNRADHI,
KULE MTAA WA PILI (JAMII FORUM) KUNA MADA AMBAYO IMERUSHWA KWA MDAU ANAYEDAI KUUMIZWA SANA NA VEKESHENI ZA NANIHII, NA KUMSHAMBULIA SANA SANA. WADAU NAOMBA MCHANGIE HOJA HIYO BAADA YA KUISOMA KWENYE LINKI HIYO HAPO CHINI.
KWA UPANDE WANGU MSIKONDE WALA NINI. LIBENEKE LA VEKESHENI LITAENDELEA KAMA KAWA. MIE NARUDI MWEZI UJAO. HIVI SASA NAELEKEA UJERUMANI KISHA NTAENDA AUSTRALIA NA KUMALIZIA JAPAN.
-MICHUZI
https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/29662-issa-michuzi-na-vekesheni.html