Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Huyu mjukuu wako asisingizie nyagi wala nini! Tulishakubaliana mi nakata viboko walau mizigo miwili lumbesa, napakaa pilipili afu AshaDii na Nyamayao ndo wanamcharaza manake mie ntamuua!
Taratibu King'asti,
Ukienda moto chini namna hiyo utaua watoto/wajukuu
Babu DC!!