Uweri the second
Member
- Mar 11, 2021
- 35
- 31
Ndugu wanajamvi salam kwenu nyote. Jamani nina kijana wangu wa kike amemaliza four mwaka jana na kupata div 4.
Katika kihangaika kutafuta pahala pa kumpeka kuna jamaa yangu kanielekeza hapo Nyerere memorial.
Kweli nimeperuzi nikaona anazo sifa za kupata cource pale na nimependa aanze na basic certificate ya human resource. Naomba anaefahamu sifa za hiki chuo anisaidie angalau nipate mawili matatu ya ubora wa chuo hiki.
Asanteni.
Katika kihangaika kutafuta pahala pa kumpeka kuna jamaa yangu kanielekeza hapo Nyerere memorial.
Kweli nimeperuzi nikaona anazo sifa za kupata cource pale na nimependa aanze na basic certificate ya human resource. Naomba anaefahamu sifa za hiki chuo anisaidie angalau nipate mawili matatu ya ubora wa chuo hiki.
Asanteni.