macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,846
- 39,719
Mkuu kwanza nikupe kila pongezi inayostahili kwa kuanzisha thread ya kufikirisha namna hii. Hizi ndizo thread zinatakiwa JF na sio vinginevyo. Pasco ni mtu controversial sana na huo uzi alioku-link nao japo alipatia kuwa ''2015 could be Magufuli'' lakini ni katika moja ya nyuzi nyingi tu alizojaribu kufanya unajimu. Halafu kuhusu jamaa wa DSTV sio hao. Jamaa anadai eti ni wazee wa Vatican (RC) ndio walimpigia chapuo kitu ambacho ni uongo wa mchana kweupe kwa watu wanaojua Magufuli aliingiaje! SIO KWELI HATA KIDOGO!!!Pasco
1. I clearly mentioned Almost 20 years kuhusu Mkapa
2. Umesema kuwa waliopanga na kumleta huyu did you mean jamaa wa halo DSTV?
3. If you are telling me kuwa kwenye line up yao Membe and Tibaijuka were among the candidates then I'm lost of words
4. Being a member of a political dynasty massively increases your probability of being elected to any political office. What went wrong with the Kikwetes?
5. How does this thread relate to Mahatma ya Kadhi and OIC? Sijaelewa connection uliyosema hapo juu