wakuu, one of the best of the best thread, nimejifunza mengi sana maana napenda sana haya masuala ya tech. na umeme in general..kuna nshkaji mmoja amepost apo juu issue ya mafuta yakiisha in D4 engine kuna wakati gari inaweza kumiss au kukataa kuwaka, jana exactly that hapened to me! i have brevis Ai250 na ilikua iko empty, nikaweka wese la 40, nimeenda kupaki, nawasha ngoma inagoma, fundi kuja akachomoa mawaya flani pale kwenye engine na kuchomeka, gari ikawaka! now what coulod be the problem? halafu wazee hii kitu inakula wese acha, any maujuzi on what to do ili niweze ku preserve kidogo ni save fuel? appreciated guys..