Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Tumuombe zitto alitolee ufafanuzi hapa Jf kama ni kweli alimchokoza Rais kwa kumuomba msaada huo na pia atueleze ni kwa nini hivi sasa anaandamwa na kashfa kuliko wakati mwingine wowote. Hana budi kujitizama upya na mwendendo wake wa kisiasa. Mke wa mfalme hatuhumiwi na akitumiwa ni lazima aachike........ zitto ana sehemu ya lawama katika hili tukio kama kweli lilipangwa.