Eli Cohen JF-Expert Member Jun 19, 2023 1,311 4,019 Dec 11, 2023 #1 Hawa ni miongoni wa beki tatu bora waliowahi tokea duniani. Bila ya kujali ushabiki waorodheshe kuanzia alie kuwa bora zaidi ya mwenzake katika nyanja ya beki wa kushoto.
Hawa ni miongoni wa beki tatu bora waliowahi tokea duniani. Bila ya kujali ushabiki waorodheshe kuanzia alie kuwa bora zaidi ya mwenzake katika nyanja ya beki wa kushoto.
Shujaa Mwendazake JF-Expert Member Jul 11, 2015 3,734 6,292 Dec 11, 2023 #2 MARCELO yupo Daraja ya Juu ya Peke yake kuliko hao wote. Hao wawili wakadirie tu maana wanadhqbihiana uwezo. Am a Chelsea FAN.
MARCELO yupo Daraja ya Juu ya Peke yake kuliko hao wote. Hao wawili wakadirie tu maana wanadhqbihiana uwezo. Am a Chelsea FAN.
kimbendengu JF-Expert Member Jun 7, 2013 6,097 10,433 Dec 11, 2023 #4 kwangu Mimi sio hao ,1 yangu ni ROBERT CARLOS
Its Pancho JF-Expert Member Sep 21, 2018 14,239 22,675 Dec 11, 2023 #7 Marcelo yupo vizuri kushambulia kuliko kukaba. Cole hiyo mashine inakaba mpaka kivuli
Alexander Lukashenko JF-Expert Member Sep 9, 2017 4,103 9,531 Dec 11, 2023 #8 Evra Cole Marcelo Why Evra? Naona kabalance Offensive na defensive. Daraja lingine mnamaanisha nini?