Hiyo cheers tunafanya individually au unatualika ikulu?
Dah....hongera FL1.......
BTW: Saa 08.39am ni usiku?
muda usikushtue kamanda,labda alikuwa ametoka 'kuitambikia ndoa'.....lol... baada ya sherehe ya miaka minne bana!
Hiyo cheers tunafanya individually au unatualika ikulu?
Dah....hongera FL1.......
BTW: Saa 08.39am ni usiku?
muda usikushtue kamanda,labda alikuwa ametoka 'kuitambikia ndoa'.....lol... baada ya sherehe ya miaka minne bana!
.........
baadhi yenu huwa mnanihoji maswali wewe mama Rais unatafuta nn JF usiku wote huu prezidaa yuko wapi?
........
mmmmh Rubuye kuitambikia ndoa wapi??:bange:
Eti saa 0829am ni usiku huko swazilandi?
mmmmh Rubuye kuitambikia ndoa wapi??:bange: [/QUOTE
subiri kidogo....4 years mtakua na katoto kadogo hiv na kwa time hiyo lazima kawe kanaota kako mbingu ya saba.hii inamaanisha 'tambiko' linaweza kufanyika popote,kwenye kapeti,kwenye kiti,juu ya meza,bafuni na linakamilishwa haswa eneo la tukio....kitandani!!nimeotea, sijaotea??!
mmmmh Rubuye kuitambikia ndoa wapi??:bange: [/QUOTE
subiri kidogo....4 years mtakua na katoto kadogo hiv na kwa time hiyo lazima kawe kanaota kako mbingu ya saba.hii inamaanisha 'tambiko' linaweza kufanyika popote,kwenye kapeti,kwenye kiti,juu ya meza,bafuni na linakamilishwa haswa eneo la tukio....kitandani!!nimeotea, sijaotea??!
ha ha ha nimegundua kweli save water drink beer
Rubuye nimecheka sana ,asante
first lady nakuheshimu sana........................ ila leo umenikwaza!!...........................
Naomba nikupe kazi babuHahahaha...babu amevaa mawani yake leo...na umri huu anajua sana kunusa...
Angalia MISENKSI anayomwaga kabuche hapo afu connect them dots...LOL
Jose Mario O'campo ameniahidi ajira.....