Mungu akulinde na akupe mwanga tuwe pamoja katika kujenga Tanzania yetu.
I had 1 month (30 days) as Engineer in one of the biggest Road construction Project. After severe suffer on looking for a job, et list now naanza kuwa mtu kati ya watu.
Namshukuru Mungu wangu na nawashukuru JF founders and members coz tangazo la hiyo kazi nililipata hapa hapa JF till final interview nikawa success!!
PROMISE:
Mshahara wangu wa kwanza nitamtolea Mungu wangu fungu la 10, na pia nitaichangia JF izidi kudumu na hata status yangu itabadilika from Expert JF member to PREMIUM, Soon!! Once more, thanks GOD, JF and all.
MY REGARD....SIZINGA.