Roulette
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 5,579
- 5,376
Point!!! lolweka presentation kando, chapa raha
saa tisa usiku ibuka fanya kazi
ijumaa tamu sana
Point!!! lolweka presentation kando, chapa raha
saa tisa usiku ibuka fanya kazi
ijumaa tamu sana
Kama kawaida yangu counter ya juu ndo pangu!Thanks God ngoja nijongee counter nipate sip
Leo nasahau shida za umeme, maji, mafuta, MMU, kila kitu
nafunguka kama Luis Suarez anavyowafungua mabeki
Natesa kama simba alivyomfyonza kandambili
IJUMAA TAMU HII NIWAHI KUCHOMA NYAMA
hahahaha kwa ijumaa hii ilivyokaa acha yaliwe na nyani tu aisee...mpwa twende kesho ukanisaidie kusomba mahindi kule sadani.....
hEBU ACHA UTANI BHANAwkend hii naend kumalizia kuvuna mahindi yangu shambani na kuyasomba kuyaleta home..na baada ya hapo ntaenda kumalizia kuchimba bwawa la kufugia samaki wangu ili niwahamishie huko na mda ukiruhusu naenda kuweka fireline kwenye shamba langu la miti.....jpili naenda church na baada ya hapo napumzika na mwanangu home huku nikiedit kitabu changu...... hii ndo ratiba nzima ya wkend hii
leo hakuna kukaaKama kawaida yangu counter ya juu ndo pangu!
Dada wa counter akinimiminia nalewa kabla sijanywa...!
Ngoja niwai kabla masela hawajawai viti, maana tupo wengi ati!
ahaaaaaaaHivi sasa ni saa ngapi? Damn..... thirty minutes ntakuwa nshaumaliza huu uchafu.... Kama si JF ningekuwa nshaumaliza saa nyingi..... Hii addiction mbaya sana.....inanichelewesha kupareeee
Hivi sasa ni saa ngapi? Damn..... thirty minutes ntakuwa nshaumaliza huu uchafu.... Kama si JF ningekuwa nshaumaliza saa nyingi..... Hii addiction mbaya sana.....inanichelewesha kupareeee
Tukitoka kwenye Nyama tunafuata mwanga si ndio?
Tukitoka kwenye Nyama tunafuata mwanga si ndio?
Finally,
Ijumaa hiyooo inaishia,
nimemiss saana good time
nimemiss happy people
nimemiss happy hour
heading for a drink now
nina hamu sana ya Red Label na mishkaki
nikipata na barafu na coke si mbaya sana
nina kiu ya starehe leo, kiu haswaa
Thanks God ngoja nijongee counter nipate sip
Leo nasahau shida za umeme, maji, mafuta, MMU, kila kitu
nafunguka kama Luis Suarez anavyowafungua mabeki
Natesa kama simba alivyomfyonza kandambili
IJUMAA TAMU HII NIWAHI KUCHOMA NYAMA