Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!! hii week ya mainjinia juzi mwingine bungeni,leo tna.mkuu simu nyingi zina net siku hiziMatatizo ya kwenda na Laptop Bar !!
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!! hii week ya mainjinia juzi mwingine bungeni,leo tna.mkuu simu nyingi zina net siku hiziMatatizo ya kwenda na Laptop Bar !!
Karibu jamvini. Mbona tumemfahamu tu. Endelea kuwepo humu utafahamu lugha zetu!mkuu hujaongea point kabisa jipange upya
Ame compare ndizi na chungwa.Ametolea mfano kuhusu madiwani ambao wananchaguliwa na wananchi na kufananisha na wakuu wa wilaya ambao wanateuliwa na rais.Hamna kitu hapo,labda awe ametumwa.Ukitumwa unakuwa na mawazo ya kitumwa tu.Kama angekuwa amejituma,basi pengine angekuwa anaelewa anachoposti humu.Nuttin....Cheki upupu wake hapo chini...
Sijakuelewa hapo mkuu ebu fafanua
Una maaana Rais wa nchi gani au rais yupi specifically hawezi kutengua maamuzi ya mkuu wa wilaya ?
Vipi ile wilaya wanayopigaa sana kama mkuu wa wilaya alisema kama kikiruhusiwa kilimo cha bangi hali itakuwa shwari. Je rais akigoma itakuwaje ?
Hapo na hivi bila maelezo havitusaidii kitu. Towa hoja za kupingana na hoja alizotowa huyo engineer feki kama unavyotaka wewe. Unajuwa tatizo la Wana CHADEMA wengi humu hamtowi hoja bali ni kutowa kauli za kejeli mkifikiri kwamba hizo kejeli zenu zitafuta upumbavu wenu?Engineer mwenye pumba.Kama wewe ni injinia wa ukweli,siasa huziwezi.Uko uchi mkuu trust me.Hamna kitu hapo.Kama ukiwa honest tutakuonyesha kuwa huna hoja.Soma soma kidogo ujifunze kama unataka siasa.
umeongea weee ila hujasema ni uamuzi wa madiwani wangapi wa CHADEMA uliamua mwafaka! uache ukengeKuna quality za rais wa nchi na kuna quality za usanii!
Kuna busara ya kuwa kiongozi wa nchi na kuna busara ya kuwa kiongozi wa vikao vya harusi!
Bahati mbaya kuna namna ya kulazimisha mtu fulani a-fit sehemu fulani, bahati nzuri kuwa kila anapoweza kufit mtu ndipo anapowekwa kidemokrasia kutokana na akili za waliomweka hapo!
Kwa bahati mbaya mimi sina cha kufuata mkondo, sijawa mbwa mimi wala sina anayenipigia mluzi, ni huru kutoa mawazo pasi kujua au kujali mwingine ataumia vipii
Swala la Arusha, swala la lile sakata la umeya na madiwani, si swala la kuchekewa, damu imemwagika kule!
Ni ufisadi sana kufikiri kuwa yale tunayoyawaza sisi tu ndiyo yako sahihi.
Si busara Slaa kuingilia maamuzi ya madiwani ambao kimamlaka ni wawakilishi wa chama kule kwenye maeneo yao. sidhani kama rais anaweza kuingilia maamuzi ya mkuu wa wilaya kama yale maamuzi yalilenga katika kuleta amani na kusaidia wananchi wa eneo husika
Hii si aibu ya chadema tu, ni aibu ya uongozi wa juu, kutowatumaini wala kuwaamini hawa madiwani, ambao kwayo wanaleta na kusambaza sera za chadema; kibaya risk kubwa iko kuwa madiwani wengi zaidi watatumika kuiweka CCM madarakani kwani ni DHALILISHO LA MADIWANI WOTE....they are kids they can not think what a joke!!si busara hata kidogo na ni ufisadi wa kurubuni watu kuwa chadema ilikuwa haijui kinachoendela huko Arusha,
kila kitu kilikuwa wazi vyombo vilitangaza, na LEO ghafla akina slaa wanashtuka kama vile wamefumaniwa na wake za watu kuwa madiwani hawakuwa sahihi!
Miafaka ipo, haikwepeki inaishi, inakua inatafutwa, ili amani iwepo! HIVI ingekuwaje kama chadema wangekuwa chama tawala kwenye issue hii ya Arusha??Slaa umeishaharibu vitu vingi, ila wale vipofu wako wanaojaribu kwa upofu wao hata kukuona uko sawa na Nyerere! (God Forbid!) ili swal la Arusha limekaa kimaslahi zaidi na siyo ki-nchi zaidi! Nilijua ukimya huu umejengeka kibusara kumbe una kula tuition ya kuwa puppet!watu wako mahali fulani ambao wakilala na kuamka wanaota chadema ishike dola, wako watu mahali fulani wanaona credibility ya wabunge wa chadema, wako wanaoona kwa pandembili......Hivi SLAA ANGEKUWA RAIS ingekuwaje?
Slaa angezuia magazeti yasimchore katuni , SLAA ASINGEKUBALI KUTOKA MADARAKANI KWA NGUVU YA DEMOKRASIA.....Thanks God you are not president!
Swala la Arusha kwa namna nyingine limewaharibia tena.....Lema tunamjua, is just another gang in the house, nguvu za maneno na mob saikoloji havitamfikisha popote......certainly we need change but not changes that alerts us differently!!
MBIO ZA CHADEMA HII zinapeleka kuwa si chama cha demokrasia bali cha kibabe, jeuri, chama ambacho kingekuwa na dola wangekuwa madikteta.
Mbowe hana tatizo, yeye ili mradi biashara zake ziende salama in the name of politics!! bila kujua anamwingiza Slaa chooni, slaa bila kujali hatima yake na mtoto wake mchanga analipuka tu!!! TUTAFANYA UCHAGUZI UPYA WA MADIWANI....TUTAUNDA TUME YA MARANDO ......CCM style....shame on you!!!!!
What an argument!? deeply intellectual, emotionaly entertaining, and politically amusing.
Aliyeanzisha thread ametumia lugha mbovu hata kama ana hoja hajazipangilia.Na kwahiyo msituchagulie namna ya kuanalyze.Kama ni upupu tunasema.We call a spade a spade here and not a big spoon.Nimemwuliza ni kivipi mifano yake imejenga hoja.Pia kauli za kuhusu mtoto mchanga nk.Ungesema wewe wala usingeniona kwenye threads zenu nawajua nyie.Mimi si chadema FYI.Na wewe ndo mpumbavu.Hapo na hivi bila maelezo havitusaidii kitu. Towa hoja za kupingana na hoja alizotowa huyo engineer feki kama unavyotaka wewe. Unajuwa tatizo la Wana CHADEMA wengi humu hamtowi hoja bali ni kutowa kauli za kejeli mkifikiri kwamba hizo kejeli zenu zitafuta uppumbavu wenu?
Umejaribu kidogo lakini hukufika mbali , ama kweli kipofu haachi mkongojo wake. Umesahau kuwa Rais kiwango chake ni wakuu wa wilaya na Slaa kiwango chake ni hao madiwani wa Chama chake. Sasa kufananishwa hapo kuna makosa gani?Ame compare ndizi na chungwa.Ametolea mfano kuhusu madiwani ambao wananchaguliwa na wananchi na kufananisha na wakuu wa wilaya ambao wanateuliwa na rais.Hamna kitu hapo,labda awe ametumwa.Ukitumwa unakuwa na mawazo ya kitumwa tu.Kama angekuwa amejituma,basi pengine angekuwa anaelewa anachoposti humu.Nuttin....Cheki upupu wake hapo chini...
Ni kweli hujafahamu lakini kosa lako ni kuwa hujafahamu halafu unaleta ubishi. Hivyo kwa akili yako ni sahihi kwa kiongozi yeyote kuingilia mambo yaliyo na maslahi ya watu?
Wewe unataka kusomeshwa sana lakini wacha tujitahidi hivyo hivyo.Pumba yako namba tatu:madiwani waanawawakilisha wananchi kwa kupitia chama.Mnavamia siasa nyie kwasababu mnataka ufisadi.Ni heri muingie kwenye siasa kwasababu mna uchungu na nchi na si kwasababu mnataka maslahi.Hovyoo!
Umenichekesha kweli.Ebu jibu hoja kwanza.Ni kivipi umefafananisha issue ya udiwani na ukuu wa wilaya?Cant you compare apples to apples?Halafu huwa siitetei chadema,umekurupuka mkuu.Kuhusu ng'ombe wa Mbowe hiyo naipotezea Injinia.Kama ulivyo raise issue ya mtoto mchanga na uwezo wake Dr Slaa wa kuwa rais.Pumba to the fullest.
umeandika kwa dharau sana, ila sio watu wote wenye upeo mdogo kama wewe, we unataka utuaminishe kwa mawazo yako! Unajiona umeandika point kumbe ni pumba tupu, kwa kifupi una allergy ya kufikiri!
DR SLAA kuwa mgombea wa urais alipendekezwa na CHADEMA kisha akathibitishwa na tume ya uchaguzi iliyo undwa na RAIS JK, kuwa DR anasifa zote muhimu kuwa RAIS wa nchi hii akapigiwa kura na WTZ 64% ya walio piga kura ( not you) Hadi hapa unasemaje ? Hata hivyo mbona unachoandika hakina correlation alipata taabu mwl. wako
Hata mtoto wangu wa miaka miwili hawezi kuandika haya uliyoandika.
Kwnini unajidalilisha kiasi hiki.
Ukisoma sentensi chache za huyu jamaa lazima utagundua Bukuku ni mtu wa hulka gani hata majibu yake kwa wachangiaji yamekosa busara(matusi), lengo lake definitely ni personal attacks kwa Slaa kwa sababu sioni mantiki ya kuingiza suala la mtoto wa Slaa na umeya wala masuala ya usahihi wa madiwani na kufumania wake za watu, next time Eng. kabla ya kuandika jambo jaribu kutuliza akili vinginevyo ujumbe uliokusudia hautaonekana badala yake watu wataona hasira zako, ona sasa hapa ujumbe wako umefunikwa na maneno yasiyo na busara.LEO ghafla akina slaa wanashtuka kama vile wamefumaniwa na wake za watu kuwa madiwani hawakuwa sahihi!
Mbowe hana tatizo, yeye ili mradi biashara zake ziende salama in the name of politics!! bila kujua anamwingiza Slaa chooni,
slaa bila kujali hatima yake na mtoto wake mchanga analipuka tu!!!
Slaa phobia inazidi kuongezeka kwa watu.
Mr Bukuku (nikikuita eng. nitakuwa nimekudhalilisha), nafikiri umekurupuka bila kufuatilia sakata lote la makubaliano lilivyokuwa. Kinachogomba Arusha si muafaka bali jinsi muafaka ulivyofikiwa, kwanza haukuwa na baraka za viongozi wa juu wa chama kwani ule sio tu muafaka wa madiwani bali wa CCM na CDM, lakini pia muafaka ule una harufu ya rushwa, magamba wamejipenyeza wakarubuni madiwani njaa wakakubali kujidhalilisha.
Lakini pia utaratibu haukufuatwa, madiwani walioshiriki hawakufika hata nusu ya madiwani wote, huo unauitaje muafaka?
CDM na Dr Slaa (PhD) ni makini na siku zote wamekuwa wakitaka haki na utaratibu vifuatwe, kuruhusu miafaka ya rushwa ni hatari zaidi kuliko hicho unachokisema wewe. Nadhani umenielewa Bw. Bukuku.
Mkuu nakuunga mkono kwa mengi uliyoyasema. Hata mimi nilishangazwa sana na kauli hii ya Slaa na Lema. Ni ulimbukeni wakati mwingine ninafikiri. Na ninafikiri kunahitajika retreat; ni lazima Slaa na uongozi wa chadema wakubali kwamba wamekurupuka na wafute kauli zao dhidi ya wale madiwani.
Hata hivyo napenda nikupinge kwamba mkuu wa wilaya ni mteule wa rais, na anamwakilisha rais, kwa hiyo rais ana mamlaka juu ya mkuu wa wilaya. Pia rais ana mamlaka juu ya maamuzi ya yeyote yule katika nchi akiwemo mbunge, diwani na hata balozi ilmradi maamuzi yake yataonekana yanahatarisha mstakabali wa taifa. Lakini kwa level ya Slaa, ninafikiri kulikuwa na haja ya kufanya reconciliation na madiwani wake kabla ya kukurupuka na kutoa tamko kwenye vyombo vya habari.
Binafsi huwa sina shida sana na uwezo wa Slaa ila kinachonitatiza kwa huyu bwana ni wepesi wake wa kutoa matamko, hata yale yanayotokana na "hear say". Hiki kitu si chema kabisa kwa kiongozi wa juu wa chama hata wa nchi.
Shida si hoja,kwani ni ngapi mmeanzisha threads za aina hii na mimi huwa najipitia zangu tu.Tembelea threads zote mlizozianzisha hiyo group yenu ya kina Malaria Sugu,Foxy et al,zile zanye kumtukana Slaa muone kama niko humo.Nimeshangazwa na mtu mwenye taaluma ya ui engineer kuja na thread ya aina hii.Na maneno aliyoyachagua.Unadhani ingekuwa wewe ama malaria sugu ningejali?Nyie ndo makinda na huwa nawapotezea tu.Huyu Injinia ndo tuko naye hapa.
Aliyeanzisha thread ametumia lugha mbovu hata kama ana hoja hajazipangilia.Na kwahiyo msituchagulie namna ya kuanalyze.Kama ni upupu tunasema.We call a spade a spade here and not a big spoon.Nimemwuliza ni kivipi mifano yake imejenga hoja.Pia kauli za kuhusu mtoto mchanga nk.Ungesema wewe wala usingeniona kwenye threads zenu nawajua nyie.Mimi si chadema FYI.Na wewe ndo mpumbavu.