- Thread starter
- #21
Kama kusingekuwa na umuhimu wa hizo Gwanda basi zisingezungushwa pale kwenye mkutano sasa walikuja nazo ili zifanye nini?kumbe kununua Gwanda ni lazima nilikuwa sijuwi
Kama kusingekuwa na umuhimu wa hizo Gwanda basi zisingezungushwa pale kwenye mkutano sasa walikuja nazo ili zifanye nini?kumbe kununua Gwanda ni lazima nilikuwa sijuwi
Mi ninachotaka watengeneze mengi lakini siyo kwa bei ya 75,000/= ni kubwa sana na ndiyo maana wanachama wengi hawana hili gwanda pia wengine ukiwakuta wamevaa basi ni shati lake tu chini jeans.Naanza kupata wasiwasi inawezekana wanafanya mtindo wa kugawana wanachanga pesa halafu mmoja anadaka suruali mwingine shati sasa hii ndiyo nini.Punguzeni bei bana watu wayanunue.Ni aibu wale vijana wamezunguka mkutano mzima lakini Gwanda hazikununuliwa.
Asante mkuu, nilidhani utakuwa kwenye sura ya kwanza kwa nilichokiandika lakini mpaka sasa najua upo upande wa pili wa nilichokiandika, nashukuru mkuu na umeeleweka kwa hiki ulichonijibuHapa hapa ndiyo eneo sahihi ya kusema jambo kama hili huwezi kusema wananchi wamepigika lakini bado we unauza sare kwa bei kubwa ya 75,000/=Nafikiri hata wewe uliooona thread hii umestuka na ndiyo maana umeamua kucomment kwa sababu bila kutetea hii hoja utaonekana ushabikii chama chako vizuri shida yako akili yako umeikalia kwa kutumia tofali.
Hapa kwenye red pamenivunja mbavu kweli, haya ndo matatizo ya watanzania wengi, hawapendi kupanda, wao kila kitu wanata iwe mtelemko tuMkuu, mi hata sikioni kilichokufanya uje kulia hapa.
Kwanza, kuwa mwanachama wa chadema, nadhani, siyo lazima uvae gwanda.
Pili, hata kuvaa gwanda peke yake hakukufanyi automatically kuwa mwanachama mzuri wa chadema. Unaweza kuwa mwananchama mzuri bila kuvaa gwanda. Ingawa kuvaa gwanda ni vizuri zaidi maana unachangia pia pesa kwa ajili ya uendeshaji wa shughuli za chama chenu.
Tatu, kama unaona magwanda yao ni ghali mno, unaweza kwenda 'kule kwingine' ambako unapata kofia na tshirt bure, na ubwabwa juu!
Mauaji ya singida yamefikaje tena hapa kwenye hii thread mkuuPicha ile haitawaondoka wana Singida, mauaji yale ni kinyama haijapata kutokea. Tunashukuru wauaji wanaendelea kukabiliana na mkono wa sheria japo walioagiza mauaji haya wanaendelea kutembelea magari yenye AC
Shati moja la kijani la magamba ni sh.50000 na zaidi,full gwanda toka juu mpaka chini ni sh.75000,chagua hapo,wapi nafuu.
Katika hali ambayo sikuwa najua lakini leo hii baada ya viongozi wa BAVICHA kuwasili hapa kwetu Mpanda Mjini nilivutiwa sana na Gwanda.Sikuishia kulitazama bali ilinibidi niulizie namna ya kulipata ndipo niliwauliza vijana waliokuwa wanayatembeza pale mkutanoni lakini nilistushwa na thamani ya lile Gwanda kumbe huwezi kulipata bila kuwa na TSHS 75,000/= sabini na tano elfu sasa nikajiuliza inakuwaje wanasema WaTZ tumepigika halafu Gwanda liuzwe kwa bei kubwa kiasi hiki.Kweli hapo kuna dhamira ya kututoa kwenye umasikini?Muungwana vitendo!!!!!
Katika hali ambayo sikuwa najua lakini leo hii baada ya viongozi wa BAVICHA kuwasili hapa kwetu Mpanda Mjini nilivutiwa sana na Gwanda.Sikuishia kulitazama bali ilinibidi niulizie namna ya kulipata ndipo niliwauliza vijana waliokuwa wanayatembeza pale mkutanoni lakini nilistushwa na thamani ya lile Gwanda kumbe huwezi kulipata bila kuwa na TSHS 75,000/= sabini na tano elfu sasa nikajiuliza inakuwaje wanasema WaTZ tumepigika halafu Gwanda liuzwe kwa bei kubwa kiasi hiki.Kweli hapo kuna dhamira ya kututoa kwenye umasikini?Muungwana vitendo!!!!!
Wachaga hao, bado hujauliza CD ya mauaji ya Arusha. Duka la mzee Mtei halitegemei ruzuku tu.
kwani suti sh ngapi? Au HUJAWAHI VAA SUTI?Katika hali ambayo sikuwa najua lakini leo hii baada ya viongozi wa BAVICHA kuwasili hapa kwetu Mpanda Mjini nilivutiwa sana na Gwanda.Sikuishia kulitazama bali ilinibidi niulizie namna ya kulipata ndipo niliwauliza vijana waliokuwa wanayatembeza pale mkutanoni lakini nilistushwa na thamani ya lile Gwanda kumbe huwezi kulipata bila kuwa na TSHS 75,000/= sabini na tano elfu sasa nikajiuliza inakuwaje wanasema WaTZ tumepigika halafu Gwanda liuzwe kwa bei kubwa kiasi hiki.Kweli hapo kuna dhamira ya kututoa kwenye umasikini?Muungwana vitendo!!!!!
Nilifikiri utakuja na jipya!!Nafikiri taratibu mnaanza kunielewa ninachosema