Katika hali ambayo sikuwa najua lakini leo hii baada ya viongozi wa BAVICHA kuwasili hapa kwetu Mpanda Mjini nilivutiwa sana na Gwanda.Sikuishia kulitazama bali ilinibidi niulizie namna ya kulipata ndipo niliwauliza vijana waliokuwa wanayatembeza pale mkutanoni lakini nilistushwa na thamani ya lile Gwanda kumbe huwezi kulipata bila kuwa na TSHS 75,000/= sabini na tano elfu sasa nikajiuliza inakuwaje wanasema WaTZ tumepigika halafu Gwanda liuzwe kwa bei kubwa kiasi hiki.Kweli hapo kuna dhamira ya kututoa kwenye umasikini?Muungwana vitendo!!!!!