Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
JF mpango mzima,namwambia ukweli anayebolonga baaasi! Hakuna kumpumbaza mtu hapa kweli itabaki kweli no MAGUMASHI.
sikutegemea premier member kama wewe utoe comment kama hii
Weweee shaurakoEebana eeh! kumbe kijamaa kifupi namna hiyo...... lol
basi unadhani wanaweza kuja na kutoa compliment? noo.. hawakubali kukosea au hata in the same good "humor" kuonesha kuwa they were unnecessarily harsh. Bwana mdogo katoka kiukweli.
Hivi kwanini watu wanatumia muda mwingi kujadili mavazi ya Max na sio mchango wake kwa taifa? Kwani angevaa batiki lake zuri au shati la kitenge cha urafiki linampunguzia vipi thamani yake katika ubora wa kile anachobuni, kukifanya na kukiendeleza!
Nilidhani watu wangejadili jinsi ya kuboresha mtandao huu au kwenda Next level, badala yake tumejikita kujadili mtu na si issue.
Ni maoni tu.
I know you are entitled to your opinion and all but it's okay to loosen up every once in while and have room for some levity. You can't be serious all the time. Otherwise life would be so boring.
Umenifanya nicheke sana.4. Body language inaonyesha kuwa he was more exited kuchomekwa mle kwenye picha than anything else wakati huyu bwana is a CEO of an influential website in Tanzania...anaonekana ana woga na pia possibly embarrassed for some reasons...(steeve Dii atatufanyia analysis zaidi)[/IMG]
Kama nilivyosema bado kuna room for improvement
Nyingine ntapiga na wewe tukiwa lile eneo letu, then wadau hapa watulinganishe...lets wait for the next picture...
Hapo amekaa! Akisimama ni Peter Crouch....
Steve D ndio mambo gani tena hayo...!? Hata kama ndivyo alivyo lakini uoni kaanzisha kitu chenye urefu na mapana yasio mithirika?
Ah ah ah, ndio maana na wewe baada ya kuona jina lako Steve D ni fupi ukaongeza dabo i, sio?
Aaaah wewe umeona hivyo?
Au kwenu mnapima urefu hata kama mtu amekaa? Huyo bwana huwezi kusema eti kijamaa kifupi, ni mtu wa kati yaani si mrefu wala si mfupi!
Hongera sana Max kwa kujaribu. Hayo ni mafanikio unayopaswa kumshukuru MUNGU kwa kukupa uelewa wa hivyo vitu!! Hongera sana na MUNGU akuzidishie hekima, busara na uchapa kazi!!
Watu bana eti status ya mtu ni kuvaa suti viatu sijui vya Italy na designer. Jamani tujifunze Uzalendo na tuwe mfano. Kweli Japo wakoloni bado wameondka w bado wanatutawala kifikra.
Tena wewe Maxence Chongesha Viatu vyako vya skuna/moka kwa wapare ukuze ajira. Ukitaka suti ya kwendea harusini Shonesha kwa mafundi wakali wa ndani. Then uje utumbie hapa ili na sisi tuwasupport watanzania wenzetutu. Tuachane na kutawaliwa na ukoloni.
Kwa nchi zetu ambazo ni Joto almost throught out the year kwanza nashangaa wa nini eti suti iwe ndo Vazi ramsi tena la kiofisi . Pili mtu kama Profession yake ni Civil engineer au Technician kwa nini Ulazimishe avae suti. Hii inaonesha kunabaadhi ya watu ngi mawazo yetu yako kisiasa siasa tu.
Max Hizo Pamba unazopiga hazina tatizo kabisa . Usiwasikilize wanasiasa. Nakupa Ushauri nenda mbali zaidi Moka zako chongesha hapa hapa bongo. Trouugh watu kama nyie industrykama "Bora" zinaweza kufufuka teh tehe teh
Nawasilisha
akivaa suti mtasema anaringa na ni fisadi ...amevaa casual wear mnasema hajui kupiga pamba ...
engineers always dress in casual wear
sikutegemea premier member kama wewe utoe comment kama hii
Kwa kweli kuna vitu nimejifunza na ninaendelea kujifunza - kweli kabisa kama angevaa mabatiki si ndio angeonekana hafai kabisa.
Some of the things said here are purely mean and diabolically insensitive. Watu wanapitisha hukumu ya mtu kwa maisha yake yote kwa picha moja na kusema vitu ambavyo are totally inappropriate. Wekeni na picha zenu basi na nyinyi tujue mnavyojua kuvaa na kujipamba. Iiish!!
Mkuu, nilikuuliza kiutani mwanzoni, mwenyewe Mkuu Max kakuruhusu kutumia taswira yake, nikaambiwa niishughurishe akili yangu...! Ona sasa jinsi walivyoshupalia hiyo picha...! Yaani wala hawajui may be ni siku ya Jumamosi/pili na ofisi inaruhusu siku hizo kuvaa vile unapenda...! I don't know.
easy easy!......dude don't take it serious............just learnt that JFs are happy to see the real Max.......i see nothing personal......TGIF just having fun...........
basi unadhani wanaweza kuja na kutoa compliment? noo.. hawakubali kukosea au hata in the same good "humor" kuonesha kuwa they were unnecessarily harsh. Bwana mdogo katoka kiukweli.
Hivi kwanini watu wanatumia muda mwingi kujadili mavazi ya Max na sio mchango wake kwa taifa? Kwani angevaa batiki lake zuri au shati la kitenge cha urafiki linampunguzia vipi thamani yake katika ubora wa kile anachobuni, kukifanya na kukiendeleza!
Nilidhani watu wangejadili jinsi ya kuboresha mtandao huu au kwenda Next level, badala yake tumejikita kujadili mtu na si issue.
Ni maoni tu.