Nyingine ntapiga na wewe tukiwa lile eneo letu, then wadau hapa watulinganishe...
Picha ya kwanza nilikuwa home office, hata nikiweka hizo trays nilizoona watu wananishauri niweke za IN and OUT naweza kushindwa ku-manage.
Rev Masanilo alishafika ofisi ambayo si ya nyumbani, anaweza kuelewa mpangilio wa ofisini upoje