Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,578
- 19,463
Kuna video nyingi sana zinasamaa zikiwaonyesha wafuasi wa Simba wakiilalamikia kampuni ya GSM kushirikiana na timu nyingine za ligi kuu kupanga matokeo ya kuipendelea Yanga. Kama malalamiko hayo ni kweli basi kuna uvunjaji wa sheria za nchi zinazozuia rushwa; hivyo TAKUKURU inatakiwa ilifanyia kazi jambo hilo.
Vile vile kupanga matoke kwenye michezo ni kosa linapigwa vita sana na vyombo vyote vinavyosimamia michezo duniani. Watu kulalamika kuwa Ligi kuu ya Tanzania inaruhusu watu kupanga matokeo ya mpira wa miguu. Malalamiko hayo yanaishushia hadhi ligi yetu ambayo miaka ya vivi karibuyni imekuwa ikipanda ngazi kwa kasi sana Afrika.
Nashauri watu wote wanatoa lawama hizo watafutwe na vyombo husika hivyo watakiwe watoe ushahidi kusudi culprits wakamatwe ili kutunza hadhi ya ligi yettu. Na wakishindwa kutoa ushahdi basi washtakiwe kwa defamation na kuadhibiwa kwa mujibu wa sheria.
Vile vile kupanga matoke kwenye michezo ni kosa linapigwa vita sana na vyombo vyote vinavyosimamia michezo duniani. Watu kulalamika kuwa Ligi kuu ya Tanzania inaruhusu watu kupanga matokeo ya mpira wa miguu. Malalamiko hayo yanaishushia hadhi ligi yetu ambayo miaka ya vivi karibuyni imekuwa ikipanda ngazi kwa kasi sana Afrika.
Nashauri watu wote wanatoa lawama hizo watafutwe na vyombo husika hivyo watakiwe watoe ushahidi kusudi culprits wakamatwe ili kutunza hadhi ya ligi yettu. Na wakishindwa kutoa ushahdi basi washtakiwe kwa defamation na kuadhibiwa kwa mujibu wa sheria.