TFF na Bodi ya ligi mlisema utafuatilia Rushwa kwenye michezo haswa kipindi hiki ligi ipo mwishoni. Je, mmeona goli walilonyimwa Tabora United?

Ya mwamuzi kumpa mchezaji wa coastal Union red card uliita hii bodi?
Hujui mpira au unajiendekeza ama unafanya makusudi!?
We huoni kama ile ni redcard ya halali!?
Au hukuona kuwa yule beki alimvuta shati Azizi Ki yeye akiwa kama beki wa mwisho!?
Kama hujui sheria sema tukufundishe.
 
Kuna mikakati maalumu (kabambe) imeeandaliwa ili lastborn Simba SC ashike nafasi ya pili Hilo lipo wapi.

Goli walilofunga Tabora united na kudhurumiwa goli HIZO ni Juhudi za wazi kabisa kuwa Simba SC wametengenezewa mazingira ya kushika nafasi ya pili ili Azam FC ashike nafasi ya tatu

TFF na Bodi ya Ligi mnapaswa kutenda haki na siyo kuzungumza huku mpo nyuma ya pazia kuhakikisha timu YENU Pendwa kushika nafasi ya pili
Ubingwa unao,lakini bado unateseka kiasi hili?!! Hizi roho za kichawi ni za ajabu sana
 
Hii yanga IPO hapo sio kwa sababu ya uwezo bali ni siasa,fitna za nje ya uwanja,uchawi na makafara ya ng'ombe na watu,na siasa kwa kiwango cha juu mno.

Tena mimi sitishwi kabisa na mchezaji wao yeyote maana ni nguvu za majini tu.
Alikuwa anayabeba Mudahir lakini sasa amekabidhiwa Aziz Ki
Bado timu ni tia maji tia maji
 
Wana Simba tusimame na timu yetu mi nawaambia mkiwafata Yanga na propaganda zao timu itawashinda..
Huu huu wanaouita uonevu wao wameafanyiwa favour na marefa mara nyingi zaidi yetu..
kila nikikumbuka simba amewahi kuwa na viporo 9 huwa naona ligi yetu ya ajabu sana
 
Hii yanga IPO hapo sio kwa sababu ya uwezo bali ni siasa,fitna za nje ya uwanja,uchawi na makafara ya ng'ombe na watu,na siasa kwa kiwango cha juu mno.

Tena mimi sitishwi kabisa na mchezaji wao yeyote maana ni nguvu za majini tu.
Alikuwa anayabeba Mudahir lakini sasa amekabidhiwa Aziz Ki
Bado timu ni tia maji tia maji
kweli mkuu usajili wa simba ni mzuri kuliko yanga ila yanga wachawi sana hadi CAF amewahi wapiga faini kwa sababu ya ulozi
 
Hii ligi kuna mambo yanashangaza sana. Mamlaka za mpira na serikali zisipokuwa makini ipo siku ligi yetu itapata scandal kubwa. Kwa mfano katika mechi nne za mwisho kumaliza msimu simba wanacheza tatu wakiwa nyumbani, yanga wanacheza mbili na Azam wanacheza moja tu nyumbani nyingine 3 wanacheza away.
 
5imba huwaga hawanunuagi mechi maboko mengi ya marefa kwenye mechi zao,huwaga ya kibinadamu tuseme tu refa kapitiwa.
Refa alipitiwa pia kuwanyima goli halali Kagera na pia kukubali goli la Max dhidi ya Ihefu, pia alipitiwa kuwapa kadi nyekundu Zabona Mayombya na Lameck Lawi ambazo zilifutwa
 
kweli mkuu usajili wa simba ni mzuri kuliko yanga ila yanga wachawi sana hadi CAF amewahi wapiga faini kwa sababu ya ulozi
Lete ushahidi hapa kuwa Simba amewahi kupigwa faini na CAF kwa sababu ya ulozi, ukileta mie najitoa JF
 
Wana Simba tusimame na timu yetu mi nawaambia mkiwafata Yanga na propaganda zao timu itawashinda..
Huu huu wanaouita uonevu wao wameafanyiwa favour na marefa mara nyingi zaidi yetu..
Shida timu lenu bovu aisee...
Alafu sii poa kabisaa..
Goli like bana.. haya Mambo ya hovyo
 
Lete ushahidi hapa kuwa Simba amewahi kupigwa faini na CAF kwa sababu ya ulozi, ukileta mie najitoa JF
download (10).jpeg

Screenshot_20240507_063805_Chrome.jpg

Haya tunasubiri ujitoe au hapo mlikuwa mnaota moto.
 
Wana Simba tusimame na timu yetu mi nawaambia mkiwafata Yanga na propaganda zao timu itawashinda..
Huu huu wanaouita uonevu wao wameafanyiwa favour na marefa mara nyingi zaidi yetu..
mh! mbona unaisema yanga kwani jana mlicheza na yanga ...?
 
Hujui mpira au unajiendekeza ama unafanya makusudi!?
We huoni kama ile ni redcard ya halali!?
Au hukuona kuwa yule beki alimvuta shati Azizi Ki yeye akiwa kama beki wa mwisho!?
Kama hujui sheria sema tukufundishe.
Wanaosimamia hizo sheria wameiondoa sasa
 
Mechi ya Jana tatizo sio rushwa Bali uwezo mdogo wa mwamuzi, muda mwingi alikuwa mbali na matukio sijui Kama alipasi coper test
 
Back
Top Bottom