Kuna Tetesi Kua Mishahara Ya Walimu Itaongezwa Mwezi Huu Na JK.Je Wadau Kuna Ukweli??
mkuu ni ukweli maana kabla hajasema anafurahi magufuli kuikosoa serikali aliongelea swala la waalimu maana kuna tetesi zimemfikia walimu wanamuunga mkono mgombea mwenye vipaumbele vya elimu hivyo mwezi huu au ujao tegemeeni mvua ya baraka
sipendaki mtu ambaye anapenda kujadili tetesi za mambo ya mshahara halafu ni mwisho wa mwezi!! ukisubiri siku hizi chache ili ujue ukweli uepuke majungu utapungia kilo ngapi?? hii ni simple tu leo tarehe ngapi hadi uumize kichwa usiaubiri
Wanadai Kama Kuna Marekebisho Utachelewa Hadi Tar30
Kwani Wanaongeza Ili Uwape Kura?
We ongeza hata laki kwa kila mwl. but mabadiliko lazima..!!