Tetesi: Airtel kubadilika tena!!!

Hizo si biashara kama biashara nyingine? sioni cha ajabu, hapo sheria mpya ya "capital gain" iko upande wetu, kama imeuzwa, lakini inawezeekaana tu kuwa wanachukuwa "franchise" ili wafanyiwe menejimenti na orange kwani ni wazoefu zaidi wa Africa.

Sioni ubaya wowote.

Shamba la bibi halina ubaya wowote.

Unaingia na gia ya kupalilia ukivuna tuu sepa.

Hata kama mie ningekuwa investor nisingeona ubaya wowote.
 
Dah haya no wonder why Tanzania is still poor.
Tuanze na Serena ishabadilishwa majina kibao.

Kilimanjaro kempsk sa hii inaitwa Hyat regency (kwa maandish madogo) THE KILIMANJARO hapo hawajabilisha maana ni ujanja tu huo.

Airtel.. ilianza kama celtel ikaja zain

tuje tigo. buzz mobitel

fly 540
sasa ni fastjet.

Hao wote kila wakibadilisha tunawapa tax holiday almost 5 years eti wajaribu biashara kama wenzao wameshindwa si waweke biashara nyingine hivi tutakua wajinga mpaka lini kuvumilia hii hali? si wazungu wanatucheka huu mradi ushakuwa wa wachache sasa.
Hakuna tax holiday kwaajili tu umebadili jina... inaonekana watanzania wengi hatuijui nchi yetu? Kwahiyo hata ukabahatika kukutana na mtu anataka kuwekeza kumbe wengi wetu hatuna information za kuwapa.. ndio maana wakenya wanatudharau..!
 
Na kikwete atakwenda kukata utepe wakati wa kubadilisha jina kama alivyo fanya kutoka Zain kwenda Airtel.
Kweli Rais tunae.
 
Hakuna tax holiday kwaajili tu umebadili jina... inaonekana watanzania wengi hatuijui nchi yetu? Kwahiyo hata ukabahatika kukutana na mtu anataka kuwekeza kumbe wengi wetu hatuna information za kuwapa.. ndio maana wakenya wanatudharau..!
Mkuu funguka basi utuepushe na hii dharau.
 
Hata promoshen wanazotangaza ni wizi mtupu. Sasa hivi line yao natumia kwa internet tu. Sio kwa kupiga. Nimepiga cm dkk tatu tsh. 300 off. Hapa tgo na vd heshima...
 
Dah haya no wonder why Tanzania is still poor.
Tuanze na Serena ishabadilishwa majina kibao.

Kilimanjaro kempsk sa hii inaitwa Hyat regency (kwa maandish madogo) THE KILIMANJARO hapo hawajabilisha maana ni ujanja tu huo.

Airtel.. ilianza kama celtel ikaja zain

tuje tigo. buzz mobitel

fly 540
sasa ni fastjet.

Hao wote kila wakibadilisha tunawapa tax holiday almost 5 years eti wajaribu biashara kama wenzao wameshindwa si waweke biashara nyingine hivi tutakua wajinga mpaka lini kuvumilia hii hali? si wazungu wanatucheka huu mradi ushakuwa wa wachache sasa.


mzee hapo kwenye Fly 540 na Fastjet umechemka mkuu sababu Fly 540 bado wana operate kwa nchi ya Kenya na walichokifanya Fastjet ni kununua routes za fly 540 TZ.... sio kwamba Fly 540 ilibadilishwa kuwa Fastjet
 
Nina ishukuru sana ''eateli mane'' kwani sikukatwa kitu maana pangechika aisee....
 
Ngoja tupate fursa ya uwakala wa kubandika matangazo kwenye nguzo za umeme na kwenye miembe
 
Huu ni mkakati wanaouendeleza wa kukwepa kulipa kodi,
Nasikia wawekezaji hupewa miaka mitano ya majaribio bila kulipa kodi, ila miaka mitano ikiisha ndo wanaanza kulipa kodi.
Sasa kinachoonekana hapa ni kukwepa kulipa kodi na kubadili jina wakijidai wamefilisika na kumuuzia kampuni mtu mwingine.
Hiyo sheria ilishabadilishwa zamani... siku kodi inakusanywa kwa kwenda mbele
 
Wengi wetu hapa tunaaply CIVICS kujibu mambo yasiyo hitaji siasa, kwani jina likibadilika linabadilika Tanzania Pekee? Zain walikuwa wanaoperate nchi nyingi za Africa na walipo badili kwenda Airtel ilikuwa ni kwa nchi zote, sasa hapa tunapo anza porojo tunaonekana ni waajabu kabisa,

Na hii ishu ya Kubadili Majina ilisha wahi kutolewa Ufafanuzi wa Kina kabisa Bungeni na Mimi nikiwa Mmoja wapo nilimuelewa Waziri vizuri sana, Tatizo Hii nchi ni kugeuza story za kwenye vijiwe vya kahawa kuwa story za Ukweli

Kubadili Jina la Biashara hakuwezi kumfanya Mmiliki kuendela Kupewa Tax holiday, na nivizuri tukujua kwanza Tax holiday aplication zake zikoje na inafanya vipi kazi,
 
Sasa ni wazi kuwa iliyokuwa kampuni ya Celtel, ikawa zain na sasa airtel imeogewa kwa kujibadilisha majina. siku si nyingi itakuwa rasmi chini ya makaburu hivyo kuitwa Orange Tanzania. chanzo cha kuaminika kinachofanya ndani ya company hiyo kimedokeza wafanyakaz wanajiandaa kimawazo kubadilika na kuzoea "orange Tanzania" kwa usalama wake jina linahifadhiwa

kama itakuwa kweli! sijui ile ndoa kati ya TTCL na AirTel ambayo serikali watupa matumaini ipo katika hatua nzuri ya kuivunjwa kama itawezekana tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom