Tendo la kunywa maji wakati wa hotuba kina tija gani?

Hivi kuna mtu huku jamvini leo 2011 hajui wala hataki kujuwa umuhimu wa kunywa maji wakati unatoa speech ndefu? Mkullo ametoa speech ya budget kwa zaidi ya saa 2! Kunywa maji kama mtu anatoa speech ndefu is a human-thing. Angalia wanasiasa wa nchi zingine wakati zingine.Maybe tufundishane nini umuhimu wa maji mwilini!!!!

mwaka 2010 mwanzoni nlikuwa natokea morocco kwenda studio ,nlipopita pale biafra nkasikia mhubiri Mwakasege anasema,Mungu kampa afya njema,ana uwezo wa kuhubiri masaa 10 bila kuomba maji wala kuanguka,wala sauti kukoroma,pia akasema hana kumbukumbu ya mtu mwenye afya yoyote anayeweza kuomba maji wakati anaongea mambo ya maana. Kwa kuwa sina imani naye sikukatisha safari yangu,nkatoweka ila maneno yake yalinikaa moyoni. Nimechunguza nkaona kweli,ebu jaribu kuchunguza ijumaa misikitini kama kuna mtu anaenda na maji ya kunywa,na hawa watu wanaongea sana na kwa msisitizo mkubwa. Pia hata makanisani mapadre au wachungaji hawaendi na maji wala hawasafiri na ambulance nyuma. Jumapili iliyopita nlipowasha tv sa4 asubui ikafunguka Trenet. Nkamsikia yule mzee mwenge, Mwingira akikejeli eti ktk msafara kutembea na ambulance nyuma ni kujihisi umarehemu umarehemu ivi. Mwenye kumbukumbu ataweza kudhibitisha aya. Tusichukulie vijineno ivi kama stori,watawala wetu wanaiga utaratibu mbaya ambao hata akina mch.mtikila urejea na kusema afya za watawala zinawafanya wasiwe na uwezo wa kufikiria maendeleo. Watawala wasizoee utaratibu huu waweza kuleta taswira isiyo halali ktk jamii.
 
hapo umelonga ingukuwa katika mahubiri yanakuwepo pipa zima poleni sio maji yalee ni ni iiiiiiiiii,
kuwa uyajue sio kuwa upate pesa na gari zuri,
sayansi gani amabayo wahubiri wa dini waiijue upo sawa mshika dau mzee wa upako 6hrs but water hamna iwe wao wanaokaa katika viyoyozi acha hizo bwana umesoma hadi wapi mbona elimu bongo haitukomboi.
Conquest- degree is nothing in tz than forn 4 of kenya so whatsss.
 
baaaaa muhoneni huyu nae eti yupo kisanyansi zaid basi mwangalie anavaa suruali chini ya ****** na heleni ,hakuna maji hapo ingekuwa wote tunatembea na vibuyu mbona hao wamasai wenye vibuyu hawanyi kama hao vingozi wako huwaga wanazuga pointless wanazozitoa
cONQUEST-GET UP STAND UP "BOB MARLEY"
 
watu wanajifanya kubobea biologia,sijui ya std2 au3? Ni wapi elimu ya biolojia inasema ukiwa unaendelea na zoezi unywe maji? Kwanza unapishana na biolojia kwa kuwa ktk zoezi lolote ikiwemo kula,kuongea au michezo hupaswi kunywa. Mara nyingi wanaoamua kutafuna pipi laini,kunywa maji mbele za watu au kulamba midomo,hufanya ivo kulainisha kinywa au midomo. Na wataalam wa magonjwa mbalimbali wanajua kwa nini midomo ukauka,upauka au kukauka koo kwa mtu asiyefanya kazi ngumu, au mtu anayetumia madawa makali yakiwemo madawa ya kulevya. Katika ili simshauri rais wangu afanye tabia iyo wataalam watamregard visivyo. Kwa kuwa binadamu anashauriwa kunywa takriban litre 1.5 mpaka3 ,mh anaweza kunywa hata litre nzima kabla ya kuja ukumbini na akanywa hata litre nzima baada ya hotuba. Mwl nyerere aliweza,mkapa akaweza,itakuaje mrithi asiweze?

Ohh My God!!! Kweli tutafika??
 
Speakers are usually offered a glass of water as they are preparing to speak. Although this may help you swallow or temporarily relieve a dry mouth, it is not the most important water you could drink if you want smooth and comfortable voice production.
That’s the water you drink several hours before you speak or sing.
Here’s how it works:
The water has to go through the digestive system to be distributed to the mucosal cells in the throat. This will determine if the mucous is thick or runny. You want runny.
Yes, you do. Do you enjoy working to clear your throat or to hear strange sounds and voice irregularities as you speak? Thought not. You want a nice slick mucosal lining on the vocal folds so they vibrate easily as you speak.
Hit the water or juice several hours before you speak and you will enjoy easy and clear voice production. You have certainly heard of the many health benefits of adequate hydration. Well, this is one worth speaking about.
If you want to learn more about how Dr. Fleming can help you improve your communication skills, please call her at telephone 415.391.9179 or send her an email at query@speechtraining.com
Carol Fleming, Ph.D., is the author of “It’s the Way You Say It”! Becoming Articulate, Well-spoken and Clear. A comprehensive guide to vocal development and improvement of communication skills. To get your own copy, go to Amazon.com: It's the Way You Say It: Becoming Articulate, Well-spoken, and Clear (9781450215169): Ph.D Carol A. Fleming: Books
 
Mnaambiwa msome masomo ya sayansi mnajishaua.Hivi uliwahi sikia somo la biologia?
Hewa ikipita kooni ngozi pale inakauka, hivyo kuathiri sauti.
Maji ni ya kurudisha unyevu pale kooni, hili ni tatizo la kibinadamu hasa wazee.

Kumbe JK ni mzee! na kule kuanguka anguka kunasababishwa na nini?
 
Ngoja nipate glass ya maji kwanza ndo nikujibu....!!!Wanadamu tumetofautiana sana kiafya, kitabia, kimitazamo, mazoea nk! Inawezekana kwa kiongozi kaiga tu, au kashauriwa na dr. feki (kama yule anayepasua goti badala ya kichwa), au kweli afya yake mgogoro yaani spana mkononi! Kwa watu kama wahubiri nadhani uzoefu na labda (neema) vinawasaidia! Kumbuka kazi yao kubwa ni kusoma, kuomba/kusali, na kuhubiri/ kufundisha. Ushauri wa bure kutoka dr. mimi: Kama kazi yako ni kuhutubia,kuhubiri sana weka mazoea ya kula nanasi kwa wingi kabla ya shughuli hiyo inaimarisha na kulinda vile vifuko vya sauti/hewa? Ha ha haaa! Wapi glass yangu ya maji...?!
 
Ni mikogo ya wanasi-hasa. Hakuna kingine zaidi ya hicho.
Du!! pole sana MKUU!! mwanadamu anatakiwa kunywa si chini ya lita 3 za maji kwa siku. Pia ni lazima ujue maji mengi yaliyoko mwilini hutoka kwa njia nyingi..ikiwa ni pamoja na mvuke kupitia kinywani...sasa mtu anapoongea wewe unafikiri kitatokea nini? ni suala la kiafya zaidi..maji mengi yatapotea...so ni muhimu kuyarejesha. Pia inawezekana JK kashauriwa na daktari wake.
 
KWA jk SI UNAJUA HUWA ANADONDOKA SAANA JUKWAANI MAJI YALE YANAGLUCOSE HUMSAIDIA ASIPOTEZE NGUVU NA KUDONDOKA!
 
Back
Top Bottom