Tegeta: Wanajeshi wanapiga raia baada ya mwenzao kushambuliwa na wananchi

Wanaume wa daa mnakimbia mtu hana hata bunduki piga mawe mkitokahapo mnakwenda kuwaonea wake zenu nyama nyie
 
Keko: Askari Magereza watembeza kichapo kwa raia usiku kucha




UKONGA MOMBASA, DAR: Polisi watembeza kichapo kwa raia. Yadaiwa kuna askari kauawa na raia

Nawashauri msipende kujifanya mnapambana na Askari, we ukiona askari ameingia anga zako jitahidi upate ID yake Kama ni jina kamili, picha au namba yake then nenda kalalamike kikosini au kituoni kwake, ukiona wanakuzingua nenda makao makuu alafu uone kinachompata nakuhakikishia utamhurumia tu.

Sasa hizi habari za kupambana na Askari zitaendelea kuwagharimu sana wahusika.
Askari hawapigi raia bila sababu wala kuchokozwa, ukiona raia anapigwa na Askari ujue raia wamelikoroga wenyewe.

Poleni watu wa Tegeta.
Ni ujinga wa hali ya juu raia kupambana na askari.Ile hali ya uaskari haikubaliki kushindwa mbele ya raia
 
Naunga mkono hoja. Jeshini kuna taratibu za kinidhamu na ndio maana kuna Court-martial na Military Police.
La kuzingatia ni kutoa taarifa sehemu husika (Jeshini MP) na taratibu nyingine hufuata. Ukitaka kushindana nao kimtaani madhara yake ni kama hayo. Kuna siku maeneo ya Kawe nilishuhudia wahuni wakivurugwa na jamaa mmoja (Mwanajeshi wa Ngerengere). Dakika mbili tu palikuwa hapatoshi na kulikuwa na utulivu wa hali ya juu. Raia tuwe makini tunapodili na Wanajeshi. Hawa jamaa wana mafunzo ya kuondoa uhai kwa sekunde kadhaa na wala isimsumbue nafsi yake. Wakati kuna wakina sisi hata kuchinja kuku (mtetea) ni zoezi pevu.
Mkuu zile product za ngere ngere hazifai
 
Kwani sheria inasema ukimfumania mke wa mtu umpige ?
wote wamevunja sheria,walofumania na wakampia mwanajeshi na wanajeshi walokwenda kulipiza kisasi.
 
Mkuu zile product za ngere ngere hazifai
Ni balaa mkuu. Jamaa alikuwa amevaa pensi na Tshirt yake wahuni wakamchukulia poa. Kwa muonekano ni janki tu unaweza kifikiri ni hawa masharondondo. Kumbe ni walking killing machine. Aliwavuruga jamaa mpaka sisi Raia tuliokuwa pembeni tunashuhudia tulishika adabu. Polisi walipofika eneo la tukio wakamchukua. Baada ya dakika kadhaa akarudi pale na mwenyeji wake (kaka yake). Ndio tukahabarishwa kwamba jamaa ni Mjeda wa ngerengere. Alikuja mjini mara moja tu. Nilichoka kabisa mkuu.
 
Kwahiyo ndio na hao wanajeshi wachukue sheria mkononi?
Unajua maana ya Jeshi au Mwanajeshi mkuu!? Ndio maana wanajeshi huwa wanakuwa na sehemu zao maalum za makazi, kazi na burudani (Officers mess). Ikiwa mwanajeshi yuko uraiani na ikatokea sintofahamu akapigwa kinachofuata ni reaction kama hiyo katika eneo husika. Japo kosa linaweza kuwa ni la mwanajeshi, lakini haikupi Raia mamlaka ya kujichukulia sheria mkononi. Kuna taratibu za kinidhamu hufuatwa na mwanajeshi husika atapata adhabu stahiki kutokana na sheria za Kijeshi (Marshall Law).
 
Kwani ni kikosi kizima..?Wanaume wa Dar bana....tokeni na mapanga na marungu muone kama watabaki
 
Hizi habari za maafisa wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kupiga raia zimekuwa zikijirudia mara kwa mara humu,nlisikia za FFU siku si nyingi,mara nkaona humuhumu nyingine inasema askari magereza wanapiga raia,leo tena wanajeshi wanapiga raia,daah ifike mahali itoshe sasa. Haya yote ndo yanayopelekea chuki kati ya raia na maafisa wa vyombo hivi.
 
Kwani alibaka? Au aliiba yeye kapewa kwa makubaliano maalum
Kufumaniwa maana yake ni nini mkuu?
Makubaliano na mume huyo mzizi mwenzie au?
Wangemtia kilema cha ushoga tu huyo wala wasingepigwa maana angenyamaza kimya...
 
Kufumaniwa maana yake ni nini mkuu?
Makubaliano na mume huyo mzizi mwenzie au?
Wangemtia kilema cha ushoga tu huyo wala wasingepigwa maana angenyamaza kimya...
Hapo aliyefumaniwa ni mwanamke akingonoka na huyo mjeshi. Na huyo mjeshi angekutwa na mkewe akiwa na mke wa raia ,pia tungesema mjeshi kafumaniwa .Hivyo hapo wakupigwa ni mwanamke kwa vile kachepuka. Cjui kama nimeeleweka au nimevuruga
 
Hivyo wewe unamfumania mkeo then unampiga uliyemkuta naye halafu baada ya hapo maisha na mkeo yanaendelea kama kawa . Huo ndio uwehu sasa
 
Back
Top Bottom